Swahili: New Testament

Turkish

Colossians

1

1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo,
1Tanrının isteğiyle Mesih İsanın elçisi atanan ben Pavlus ve kardeşimiz Timoteostan, Kolosede bulunan, Mesihe ait kutsal ve sadık kardeşlere selam! Babamız Tanrıdan sizlere lütuf ve esenlik olsun.
2tunawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
3Sizler için dua ederken Tanrıya, Rabbimiz İsa Mesihin Babasına her zaman şükrediyoruz.
3Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.
4Çünkü Mesih İsaya iman ettiğinizi ve bütün kutsalları sevdiğinizi duyduk.
4Maana tumesikia juu ya imani yenu katika Kristo Yesu na juu ya upendo wenu kwa watu wote wa Mungu.
5İmanınız ve sevginiz göklerde sizin için saklı bulunan umuttan kaynaklanıyor. Bu umudun haberini gerçeğin bildirisinden, size daha önce ulaşan Müjdeden aldınız. Müjde, onu işittiğiniz ve Tanrının lütfunu gerçekten anladığınız günden beri aranızda olduğu gibi, bütün dünyada da meyve vermekte, yayılmaktadır.
5Wakati ujumbe ule wa kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni kwa mara ya kwanza, mlipata kusikia juu ya lile tumaini linalopatikana kwake. Kwa sababu hiyo imani na upendo wenu vinategemea jambo lile mnalotumainia ambalo mmewekewa salama mbinguni.
7Müjdeyi bizim adımıza Mesihin güvenilir hizmetkârı olan sevgili emektaşımız Epafrastan öğrendiniz.
6Habari Njema inazidi kuzaa matunda na kuenea ulimwenguni kote kama vile ilivyofanya kwenu ninyi tangu siku ile mliposikia juu ya neema ya Mungu na kuitambua ilivyo kweli.
8Ruhtan kaynaklanan sevginizi de bize o bildirdi.
7Mlijifunza juu ya neema ya Mungu kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu, ambaye ni mfanyakazi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
9Bunu işittiğimiz günden beri biz de sizler için dua etmekten, tam bir bilgelik ve ruhsal anlayışla Tanrının isteğini bütünüyle bilmenizi dilemekten geri kalmadık.
8Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.
10Rabbe yaraşır biçimde yaşamanız, Onu her yönden hoşnut etmeniz, her iyi işte meyve vererek Tanrıyı tanımakta ilerlemeniz için dua ediyoruz.
9Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba Mungu awajazeni ujuzi kamili wa mapenzi yake, awajazeni hekima yote na elimu iletwayo na Roho wake.
11Her şeye sevinçle katlanıp sabredebilmeniz için Onun yüce gücüne dayanarak bütün kudretle güçlenmenizi diliyoruz.
10Hapo mtaweza kuishi kama anavyotaka Bwana na kutenda daima yanayompendeza. Maisha yenu yatakuwa yenye matunda ya kila namna ya matendo mema na mtazidi kukua katika kumjua Mungu.
12Bizi kutsalların ışıktaki mirasına ortak olmaya yeterli kılan Babaya şükretmeniz için dua ediyoruz.
11Mungu awajalieni nguvu kwa uwezo wake mtukufu ili mweze kustahimili kila kitu kwa uvumilivu.
13O bizi karanlığın hükümranlığından kurtarıp sevgili Oğlunun egemenliğine aktardı.
12Na kwa furaha, mshukuruni Baba aliyewawezesha ninyi kuwa na sehemu yenu katika mambo yale Mungu aliyowawekea watu wake katika utawala wa mwanga.
14Onda kurtuluşa, günahlarımızın bağışına sahibiz.
13Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi,
15Görünmez Tanrının görünümü, bütün yaratılışın ilk doğanı Odur.
14ambaye kwa njia yake tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa.
16Nitekim yerde ve gökte, görünen ve görünmeyen her şey -tahtlar, egemenlikler, yönetimler, hükümranlıklar- Onda yaratıldı. Her şey Onun aracılığıyla ve Onun için yaratıldı.
15Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana; ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
17Her şeyden önce var olan Odur ve her şey varlığını Onda sürdürmektedir.
16Maana kwa njia yake vitu vyote viliumbwa duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana: wenye enzi, watawala, wakuu na wenye mamlaka. Vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake.
18Bedenin, yani kilisenin başı Odur. Her şeyde ilk yeri alsın diye başlangıç olan ve ölüler arasından ilk doğan Odur.
17Kristo alikuwako kabla ya vitu vyote; kwa kuungana naye, vyote vyadumu mahali pake.
19Çünkü Tanrı bütün doluluğunun Onda bulunmasını uygun gördü.
18Yeye ni kichwa cha mwili wake, yaani kanisa; yeye ni chanzo cha uhai wa huo mwili. Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza aliyefufuliwa kutoka wafu, ili awe na nafasi ya kwanza katika vitu vyote.
20Mesihin çarmıhta akıtılan kanı aracılığıyla esenliği sağlamış olarak yerdeki ve gökteki her şeyi Onun aracılığıyla kendisiyle barıştırmaya razı oldu.
19Maana Mungu alipenda utimilifu wote uwe ndani yake.
21Yaptığınız kötülükler yüzünden bir zamanlar düşüncelerinizde Tanrıya yabancı ve düşmandınız.
20Kwa njia yake Mungu alivipatanisha naye vitu vyote naam, viumbe vyote mbinguni na duniania; alileta amani kwa damu ya Kristo msalabani.
22Şimdiyse Mesih sizi Tanrının önüne kutsal, lekesiz ve kusursuz olarak çıkarmak için öz bedeninin ölümü sayesinde sizi Tanrıyla barıştırdı.
21Hapo kwanza ninyi pia mlikuwa mbali na Mungu na mlikuwa adui zake kwa sababu ya fikira zenu na matendo yenu maovu.
23Yeter ki, duyduğunuz Müjdenin verdiği umuttan kopmadan, imanda temellenip yerleşmiş olarak kalın. Ben Pavlus, göğün altındaki bütün yaratılışa duyurulan bu Müjdenin hizmetkârı oldum.
22Lakini sasa, kwa kifo cha Mwanae aliyeishi hapa duniani, Mungu amewapatanisha naye, kusudi awalete mbele yake mkiwa watakatifu, safi na bila lawama.
24Sizin için acı çektiğime şimdi seviniyorum. Mesihin, kendi bedeni, yani kilise uğruna çektiği sıkıntılardan eksik kalanlarını kendi bedenimde tamamlıyorum.
23Mnapaswa, lakini kuendelea kuwa imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo Habari Njema ambayo imekwisha hubiriwa kila kiumbe duniani.
25Tanrının sizin yararınıza bana verdiği görevle kilisenin hizmetkârı oldum. Görevim, Tanrının sözünü, yani geçmiş çağlardan ve kuşaklardan gizlenmiş, ama şimdi Onun kutsallarına açıklanmış olan sırrı eksiksiz duyurmaktır.
24Na sasa nafurahi kuteseka kwa ajili yenu, maana kwa mateso yangu hapa duniani, nasaidia kukamilisha kile kilichopungua bado katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa.
27Tanrı kutsallarına bu sırrın uluslar arasında ne denli yüce ve zengin olduğunu bildirmek istedi. Bu sırrın özü şudur: Mesih içinizdedir. Bu da size yüceliğe kavuşma umudunu veriyor.
25Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake,
28Her insanı Mesihte yetkinleşmiş olarak Tanrıya sunmak için herkesi uyararak ve herkesi tam bir bilgelikle eğiterek Mesihi tanıtıyoruz.
26ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele, lakini sasa amewajulisha watu wake.
29O'nun kudretle bende etkin olan gücüne dayanarak uğraşıp emek vermemin amacı da budur.
27Mpango wa Mungu ni kuwajulisha watu wake siri hii kuu na tukufu ambayo ni kwa ajili ya watu wote. Na, siri yenyewe ndiyo hii: Kristo yuko ndani yenu, na jambo hilo lamaanisha kwamba ninyi mtaushiriki utukufu wa Mungu.
28Kwa sababu hiyo tunamhubiri Kristo kwa watu wote; tunawaonya na kuwafundisha wote kwa hekima yote, ili tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa katika kuungana na Kristo.
29Kwa madhumuni hayo mimi nafanya kazi na kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi ndani yangu.