Swahili: New Testament

Turkish

Colossians

2

1Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho.
1Gerek sizler, gerek Laodikyadakiler, gerekse sizler gibi yüzümü hiç görmemiş olanlar için ne denli büyük bir uğraş verdiğimi bilmenizi isterim.
2Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.
2Yüreklerinin cesaret bulmasını, sevgide birleşmelerini dilerim. Öyle ki, anlayışın verdiği tam güvenliğin bütün zenginliğine kavuşsunlar ve Tanrının sırrını, yani bilginin ve bilgeliğin bütün hazinelerinin saklı olduğu Mesihi tanısınlar.
3Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
4Kimse sizi kulağı okşayan sözlerle aldatmasın diye söylüyorum bunu.
4Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.
5Çünkü her ne kadar bedence aranızda değilsem de, ruhça sizinle birlikteyim. Düzenliliğinizi, Mesihe imanınızın sağlamlığını görüp seviniyorum.
5Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.
6Bu nedenle Rab Mesih İsayı nasıl kabul ettinizse, Onda öylece yaşayın.
6Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye.
7Şükranla dolup taşarak Onda köklenin ve gelişin, size öğretildiği gibi imanda güçlenin.
7Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.
8Dikkatli olun! Mesihe değil de, insanların geleneğine, dünyanın temel ilkelerine dayanan felsefeyle, boş ve aldatıcı sözlerle kimse sizi tutsak etmesin.
8Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!
9Çünkü Tanrılığın bütün doluluğu bedence Mesihte bulunuyor.
9Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,
10Siz de her yönetim ve hükümranlığın başı olan Mesihte doluluğa kavuştunuz.
10nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote.
11Ayrıca Mesihin gerçekleştirdiği sünnet sayesinde bedenin benliğinden soyunarak elle yapılmayan sünnetle Onda sünnet edildiniz.
11Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
12Vaftizde Onunla birlikte gömüldünüz, Onu ölümden dirilten Tanrının gücüne iman ederek Onunla birlikte dirildiniz.
12Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu.
13Sizler suçlarınız ve benliğinizin sünnetsizliği yüzünden ölüyken, Tanrı sizi Mesihle birlikte yaşama kavuşturdu. Bütün suçlarımızı O bağışladı.
13Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote;
14Kurallarıyla bize karşı ve aleyhimizde olan yazılı antlaşmayı sildi, onu çarmıha çakarak ortadan kaldırdı.
14alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.
15Yönetimlerin ve hükümranlıkların elindeki silahları alıp onları çarmıhta yenerek açıkça gözler önüne serdi.
15Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.
16Bu nedenle kimse yiyecek içecek, bayram, yeni ay ya da Şabat Günü konusunda sizi yargılamasın.
16Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato.
17Bunlar gelecek şeylerin gölgesidir, aslı ise Mesihtedir.
17Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.
18Sözde alçakgönüllülükte ve meleklere tapınmakta direnen, gördüğü düşlerin üzerinde durarak benliğin düşünceleriyle boş yere böbürlenen, Başa tutunmayan hiç kimse sizi ödülünüzden yoksun bırakmasın. Bütün beden eklemler ve bağlar yardımıyla bu Baştan beslenip bütünlenmekte, Tanrının sağladığı büyümeyle gelişmektedir.
18Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia
20Mesihle birlikte ölüp dünyanın temel ilkelerinden kurtulduğunuza göre, niçin dünyada yaşayanlar gibi, ‹‹Şunu elleme››, ‹‹Bunu tatma››, ‹‹Şuna dokunma›› gibi kurallara uyuyorsunuz?
19na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.
22Bu kuralların hepsi, kullanıldıkça yok olacak nesnelerle ilgilidir; insanların buyruklarına, öğretilerine dayanır.
20Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:
23Kuşkusuz bu kuralların gönüllü tapınma, sözde alçakgönüllülük, bedene eziyet açısından bilgece bir görünüşü vardır; ama benliğin tutkularını denetlemekte hiçbir yararları yoktur.
21"Msishike hiki," "Msionje kile," "Msiguse kile!"
22Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
23Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.