Swahili: New Testament

Turkish

Luke

2

1Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote chini ya utawala wake wajiandikishe.
1O günlerde Sezar Avgustus bütün Roma dünyasında bir nüfus sayımının yapılması için buyruk çıkardı.
2Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Siria.
2Bu ilk sayım, Kiriniusun Suriye valiliği zamanında yapıldı.
3Basi, wote waliohusika walikwenda kujiandikisha, kila mtu katika mji wake.
3Herkes yazılmak için kendi kentine gitti.
4Yosefu pia alifanya safari kutoka mjini Nazareti mkoani Galilaya. Kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa Daudi alikwenda mjini Bethlehemu mkoani Yuda alikozaliwa Mfalme Daudi.
4Böylece Yusuf da, Davutun soyundan ve torunlarından olduğu için Celilenin Nasıra Kentinden Yahudiye bölgesine, Davutun kenti Beytleheme gitti.
5Alikwenda kujiandikisha pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mja mzito.
5Orada, hamile olan nişanlısı Meryemle birlikte yazılacaktı.
6Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,
6Onlar oradayken, Meryemin doğurma vakti geldi ve ilk oğlunu doğurdu. Onu kundağa sarıp bir yemliğe yatırdı. Çünkü handa yer yoktu.
7akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
8Aynı yörede, sürülerinin yanında nöbet tutarak geceyi kırlarda geçiren çobanlar vardı.
8Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
9Rabbin bir meleği onlara göründü ve Rabbin görkemi çevrelerini aydınlattı. Büyük bir korkuya kapıldılar.
9Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.
10Melek onlara, ‹‹Korkmayın!›› dedi. ‹‹Size, bütün halkı çok sevindirecek bir haber müjdeliyorum: Bugün size, Davutun kentinde bir Kurtarıcı doğdu. Bu, Rab olan Mesihtir.
10Malaika akawaambia, "Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote.
12İşte size bir işaret: Kundağa sarılmış ve yemlikte yatan bir bebek bulacaksınız.››
11Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.
13Birdenbire meleğin yanında, göksel ordulardan oluşan büyük bir topluluk belirdi. Tanrıyı överek, ‹‹En yücelerde Tanrıya yücelik olsun, Yeryüzünde Onun hoşnut kaldığı insanlara Esenlik olsun!›› dediler.
12Na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini."
15Melekler yanlarından ayrılıp göğe çekildikten sonra çobanlar birbirlerine, ‹‹Haydi, Beytleheme gidelim, Rabbin bize bildirdiği bu olayı görelim›› dediler.
13Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema:
16Aceleyle gidip Meryemle Yusufu ve yemlikte yatan bebeği buldular.
14"Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!"
17Onları görünce, çocukla ilgili kendilerine anlatılanları bildirdiler.
15Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha."
18Bunu duyanların hepsi, çobanların söylediklerine şaşıp kaldılar.
16Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini.
19Meryem ise bütün bu sözleri derin derin düşünerek yüreğinde saklıyordu.
17Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
20Çobanlar, işitip gördüklerinin tümü için Tanrıyı yüceltip överek geri döndüler. Her şeyi, kendilerine anlatıldığı gibi bulmuşlardı.
18Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
21Sekizinci gün, çocuğu sünnet etme zamanı gelince, Ona İsa adı verildi. Bu, Onun anne rahmine düşmesinden önce meleğin kendisine verdiği isimdi.
19Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.
22Musanın Yasasına göre arınma günlerinin bitiminde Yusufla Meryem çocuğu Rabbe adamak için Yeruşalime götürdüler.
20Wale wachungaji walirudi makwao huku wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa yote waliyokuwa wamesikia na kuona; yote yalikuwa kama walivyokuwa wameambiwa.
23Nitekim Rabbin Yasasında, ‹‹İlk doğan her erkek çocuk Rabbe adanmış sayılacak›› diye yazılmıştır.
21Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
24Ayrıca Rabbin Yasasında buyrulduğu gibi, kurban olarak ‹‹bir çift kumru ya da iki güvercin yavrusu›› sunacaklardı.
22Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na Sheria ya Mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.
25O sırada Yeruşalimde Şimon adında bir adam vardı. Doğru ve dindar biriydi. İsrailin avutulmasını özlemle bekliyordu. Kutsal Ruh onun üzerindeydi.
23Katika Sheria ya Bwana imeandikwa: "Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana."
26Rabbin Mesihini görmeden ölmeyeceği Kutsal Ruh aracılığıyla kendisine bildirilmişti.
24Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Bwana.
27Böylece Şimon, Ruhun yönlendirmesiyle tapınağa geldi. Küçük İsanın annesi babası, Kutsal Yasanın ilgili kuralını yerine getirmek üzere Onu içeri getirdiklerinde, Şimon Onu kucağına aldı, Tanrıyı överek şöyle dedi:
25Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha Mungu, jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye.
29‹‹Ey Rabbim, verdiğin sözü tuttun; Artık ben, kulun huzur içinde ölebilirim.
26Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Masiha wa Bwana.
30Çünkü senin sağladığın, Bütün halkların gözü önünde hazırladığın kurtuluşu, Ulusları aydınlatıp Halkın İsraile yücelik kazandıracak ışığı Gözlerimle gördüm.››
27Basi, akiongozwa na Roho Mtakatifu, Simeoni aliingia Hekaluni; na wazazi wa Yesu walipomleta Hekaluni mtoto wao ili wamfanyie kama ilivyotakiwa na Sheria,
33İsanın annesiyle babası, Onun hakkında söylenenlere şaştılar.
28Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu na kusema:
34Şimon onları kutsayıp çocuğun annesi Meryeme şöyle dedi: ‹‹Bu çocuk, İsrailde birçok kişinin düşmesine ya da yükselmesine yol açmak ve aleyhinde konuşulacak bir belirti olmak üzere belirlenmiştir.
29"Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani.
35Senin kalbine de adeta bir kılıç saplanacak. Bütün bunlar, birçoklarının yüreğindeki düşüncelerin açığa çıkması için olacak.››
30Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu utokao kwako,
36Anna adında çok yaşlı bir kadın peygamber vardı. Aşer oymağından Fanuelin kızıydı. Genç kız olarak evlenip kocasıyla yedi yıl yaşadıktan sonra dul kalmıştı. Şimdi seksen dört yaşındaydı. Tapınaktan ayrılmaz, oruç tutup dua ederek gece gündüz Tanrıya tapınırdı.
31ambao umeutayarisha mbele ya watu wote:
38Tam o sırada ortaya çıkan Anna, Tanrıya şükrederek Yeruşalimin kurtuluşunu bekleyen herkese İsadan söz etmeye başladı.
32Mwanga utakaowaangazia watu wa mataifa, na utukufu kwa watu wako Israeli."
39Yusufla Meryem, Rabbin Yasasında öngörülen her şeyi yerine getirdikten sonra Celileye, kendi kentleri Nasıraya döndüler.
33Baba na mama yake Yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
40Çocuk büyüyor, güçleniyor ve bilgelikte yetkinleşiyordu. Tanrının lütfu Onun üzerindeydi.
34Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, "Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;
41İsanın annesi babası her yıl Fısıh Bayramında Yeruşalime giderlerdi.
35na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako."
42İsa on iki yaşına gelince, bayram geleneğine uyarak yine gittiler.
36Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.
43Bayramdan sonra eve dönerlerken küçük İsa Yeruşalimde kaldı. Bunu farketmeyen annesiyle babası, çocuğun yol arkadaşlarıyla birlikte olduğunu sanarak bir günlük yol gittiler. Sonra Onu akrabalar ve dostlar arasında aramaya başladılar.
37Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa Hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.
45Bulamayınca Onu araya araya Yeruşalime döndüler.
38Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa Yerusalemu.
46Üç gün sonra Onu tapınakta buldular. Din öğretmenleri arasında oturmuş, onları dinliyor, sorular soruyordu.
39Hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na Sheria ya Bwana, walirudi makwao Nazareti, mkoani Galilaya.
47Onu dinleyen herkes, zekâsına ve verdiği yanıtlara hayran kalıyordu.
40Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa pamoja naye.
48Annesiyle babası Onu görünce şaşırdılar. Annesi, ‹‹Çocuğum, bize bunu niçin yaptın? Bak, babanla ben büyük kaygı içinde seni arayıp durduk›› dedi.
41Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka.
49O da onlara, ‹‹Beni niçin arayıp durdunuz?›› dedi. ‹‹Babamın evinde bulunmam gerektiğini bilmiyor muydunuz?››
42Mtoto alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
50Ne var ki onlar ne demek istediğini anlamadılar.
43Baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.
51İsa onlarla birlikte yola çıkıp Nasıraya döndü. Onların sözünü dinlerdi. Annesi bütün bu olup bitenleri yüreğinde sakladı.
44Walidhani alikuwa pamoja na kundi la wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na marafiki.
52İsa bilgelikte ve boyda gelişiyor, Tanrı'nın ve insanların beğenisini kazanıyordu.
45Kwa kuwa hawakumwona, walirudi Yerusalemu wakimtafuta.
46Siku ya tatu walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
47Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.
48Wazazi wake walipomwona walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza, "Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni."
49Yeye akawajibu, "Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?"
50Lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.
51Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote moyoni mwake.
52Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.