1Mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alikuwa anatawala mkoa wa Yudea. Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo, ndugu yake, alikuwa mkuu wa mikoa ya Iturea na Trakoniti. Lusania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
1Sezar Tiberiusun egemenliğinin on beşinci yılıydı. Yahudiyede Pontius Pilatus valilik yapıyordu. Celileyi Hirodes, İtureya ve Trahonitis bölgesini Hirodesin kardeşi Filipus, Aviliniyi Lisanias yönetiyordu.
2na Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu mjini Yerusalem. Wakati huo ndipo neno la Mungu lilipomjia Yohane, mwana wa Zakariya, kule jangwani.
2Hanan ile Kayafa başkâhinlik ediyorlardı. Bu sırada Tanrı çölde bulunan Zekeriya oğlu Yahyaya seslendi.
3Basi, Yohane akaenda katika sehemu zote zilizopakana na mto Yordani, akihubiri watu watubu na kubatizwa ili Mungu awaondolee dhambi.
3O da Şeria Irmağının çevresindeki bütün bölgeyi dolaşarak insanları, günahlarının bağışlanması için tövbe edip vaftiz olmaya çağırdı.
4Ndivyo ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: "Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake; nyosheni mapito yake.
4Nitekim Peygamber Yeşayanın sözlerini içeren kitapta şöyle yazılmıştır: ‹‹Çölde haykıran, ‹Rabbin yolunu hazırlayın, Geçeceği patikaları düzleyin› diye sesleniyor.
5Kila bonde litafukiwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa; palipopindika patanyooshwa, njia mbaya zitatengenezwa.
5‹Her vadi doldurulacak, Her dağ ve her tepe alçaltılacak. Dolambaçlı yollar doğrultulacak, Engebeli yollar düzleştirilecek.
6Na, watu wote watauona wokovu utokao kwa Mungu."
6Ve bütün insanlar Tanrının sağladığı kurtuluşu görecektir.› ››
7Basi, Yohane akawa anawaambia watu wengi waliofika ili awabatize: "Enyi kizazi cha nyoka! Ni nani aliyewadokezea kwamba mngeweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?
7Yahya, vaftiz olmak için kendisine gelen kalabalıklara şöyle seslendi: ‹‹Ey engerekler soyu! Gelecek gazaptan kaçmak için sizi kim uyardı?
8Basi, onyesheni kwa matendo kwamba mmetubu. Msianze sasa kusema: Sisi ni watoto wa Abrahamu. Nawaambieni hakika, Mungu anaweza kuyageuza mawe haya yawe watoto wa Abrahamu!
8Bundan böyle tövbeye yaraşır meyveler verin! Kendi kendinize, ‹Biz İbrahimin soyundanız› demeye kalkmayın. Ben size şunu söyleyeyim: Tanrı, İbrahime şu taşlardan da çocuk yaratabilir.
9Lakini, sasa hivi shoka limewekwa tayari kukata mizizi ya miti. Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni."
9Balta ağaçların köküne dayanmış bile. İyi meyve vermeyen her ağaç kesilip ateşe atılır.››
10Umati wa watu ukamwuliza, "Tufanye nini basi?"
10Halk ona, ‹‹Öyleyse biz ne yapalım?›› diye sordu.
11Akawajibu, "Aliye na nguo mbili amgawie yule asiye na nguo; aliye na chakula afanye vivyo hivyo."
11Yahya onlara, ‹‹İki mintanı olan birini mintanı olmayana versin; yiyeceği olan yiyeceği olmayanla paylaşsın›› yanıtını verdi.
12Nao watoza ushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, "Mwalimu, tufanye nini?"
12Bazı vergi görevlileri de vaftiz olmaya gelerek, ‹‹Öğretmenimiz, biz ne yapalım?›› dediler.
13Naye akawaambia, "Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa."
13Yahya, ‹‹Size buyrulandan çok vergi almayın›› dedi.
14Nao askari wakamwuliza, "Na sisi tufanye nini?" Naye akawajibu, "Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu."
14Bazı askerler de, ‹‹Ya biz ne yapalım?›› diye sordular. O da, ‹‹Kaba kuvvetle ya da yalan suçlamalarla kimseden para koparmayın›› dedi, ‹‹Ücretinizle yetinin.››
15Wote walikuwa wanatazamia kitu fulani; basi, wakaanza kujiuliza mioyoni mwao kuhusu Yohane: kuwa labda yeye ndiye Kristo.
15Halk umut içinde bekliyordu. Yahyayla ilgili olarak herkesin aklında, ‹‹Acaba Mesih bu mu?›› sorusu vardı.
16Hapo Yohane akawaambia wote, "Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi ambaye sistahili hata kumfungulia kamba za viatu vyake. Yeye atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
16Yahya ise hepsine şöyle yanıt verdi: ‹‹Ben sizi suyla vaftiz ediyorum, ama benden daha güçlü Olan geliyor. Ben Onun çarıklarının bağını çözmeye bile layık değilim. O sizi Kutsal Ruhla ve ateşle vaftiz edecek.
17Yeye ni kama mtu anayeshika mikononi mwake chombo cha kupuria nafaka, aipure nafaka yake, akusanye ngano ghalani mwake, na makapi ayachome kwa moto usiozimika."
17Harman yerini temizlemek ve buğdayı toplayıp ambarına yığmak için yabası elinde hazır duruyor. Samanı ise sönmeyen ateşte yakacak.››
18Hivyo, pamoja na mawaidha mengine mengi, Yohane aliwahimiza watu akiwahubiria Habari Njema.
18Yahya başka birçok konuda halka çağrıda bulunuyor, Müjdeyi duyuruyordu.
19Lakini Yohane alimgombeza Herode, mkuu wa mkoa, kwa sababu alikuwa amemchukua Herodia, mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; na pia kwa ajili ya mabaya yote aliyokuwa amefanya.
19Ne var ki bölgenin kralı Hirodes, kardeşinin karısı Hirodiyayla ilgili olayı ve kendi yapmış olduğu bütün kötülükleri yüzüne vuran Yahyayı hapse attırarak kötülüklerine bir yenisini ekledi.
20Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.
21Bütün halk vaftiz olduktan sonra İsa da vaftiz oldu. Dua ederken gök açıldı ve Kutsal Ruh, bedensel görünümde, güvercin gibi Onun üzerine indi. Gökten, ‹‹Sen benim sevgili Oğlumsun, senden hoşnudum›› diyen bir ses duyuldu.
21Watu wote walipokuwa wamekwisha batizwa, Yesu naye alibatizwa. Na alipokuwa akisali, mbingu zilifunguka,
23İsa görevine başladığı zaman otuz yaşlarındaydı. Yusufun oğlu olduğu sanılıyordu. Yusuf da Eli oğlu,
22na Roho Mtakatifu akamshukia akiwa na umbo kama la njiwa. Sauti ikasikika kutoka mbinguni: "Wewe ndiwe Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe."
24Mattat oğlu, Levi oğlu, Malki oğlu, Yannay oğlu, Yusuf oğlu,
23Yesu alipoanza kazi yake hadharani, alikuwa na umri upatao miaka thelathini, na watu walidhani yeye ni mwana wa Yosefu, mwana wa Heli.
25Mattitya oğlu, Amos oğlu, Nahum oğlu, Hesli oğlu, Nagay oğlu,
24Heli alikuwa mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yanai, mwana wa Yosefu,
26Mahat oğlu, Mattitya oğlu, Şimi oğlu, Yosek oğlu, Yoda oğlu,
25mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Hesli, mwana wa Nagai,
27Yohanan oğlu, Reşa oğlu, Zerubbabil oğlu, Şealtiel oğlu, Neri oğlu,
26mwana wa Maathi, mwana wa Matathia, mwana wa Shemeni, mwana wa Yoseki, mwana wa Yuda,
28Malki oğlu, Addi oğlu, Kosam oğlu, Elmadam oğlu, Er oğlu,
27mwana wa Yohanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
29Yeşu oğlu, Eliezer oğlu, Yorim oğlu, Mattat oğlu, Levi oğlu,
28mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
30Şimon oğlu, Yahuda oğlu, Yusuf oğlu, Yonam oğlu, Elyakim oğlu,
29mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Mathati, mwana wa Lawi,
31Mala oğlu, Menna oğlu, Mattata oğlu, Natan oğlu, Davut oğlu,
30mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yosefu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliakimu,
32İşay oğlu, Ovet oğlu, Boaz oğlu, Salmon oğlu, Nahşon oğlu,
31mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
33Amminadav oğlu, Ram oğlu, Hesron oğlu, Peres oğlu, Yahuda oğlu,
32mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
34Yakup oğlu, İshak oğlu, İbrahim oğlu, Terah oğlu, Nahor oğlu,
33mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa Hesroni, mwana wa Feresi, mwana wa Yuda,
35Seruk oğlu, Reu oğlu, Pelek oğlu, Ever oğlu, Şelah oğlu,
34mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
36Kenan oğlu, Arpakşat oğlu, Sam oğlu, Nuh oğlu, Lemek oğlu,
35mwana wa Serugi, mwana wa Reu, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
37Metuşelah oğlu, Hanok oğlu, Yeret oğlu, Mahalalel oğlu, Kenan oğlu,
36mwana wa Kainani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Noa, mwana wa Lameki,
38Enoş oğlu, Şit oğlu, Adem oğlu, Tanrı Oğlu'ydu.
37mwana wa Mathusala, mwana wa Henoki, mwana wa Yaredi, mwana wa Mahalaleli, mwana wa Kenani,
38mwana wa Enosi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, aliyekuwa wa Mungu.