1Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu kwa wale ambao katika maisha yao wameungana na Kristo.
1Böylece Mesih İsaya ait olanlara artık hiçbir mahkûmiyet yoktur.
2Maana, sheria ya Roho iletayo uzima kwa kuungana na Kristo Yesu imenikomboa kutoka katika sheria ya dhambi na kifo.
2Çünkü yaşam veren Ruhun yasası, Mesih İsa sayesinde beni günahın ve ölümün yasasından özgür kıldı.
3Mungu ametekeleza jambo lile ambalo Sheria haikuweza kutekeleza kwa sababu ya udhaifu w binadamu. Mungu alimtuma Mwanae akiwa mwenye mwili sawa na miili yetu sisi wenye dhambi, ili aikabili dhambi, na kwa mwili huo akaiangamiza dhambi.
3İnsan benliğinden ötürü güçsüz olan Kutsal Yasanın yapamadığını Tanrı yaptı. Öz Oğlunu günahlı insan benzerliğinde günah sunusu olarak gönderip günahı insan benliğinde yargıladı.
4Mungu alifanya hivyo kusudi matakwa ya haki ya Sheria yatekelezwe kikamilifu ndani yetu sisi ambao tunaishi, si kwa nguvu za kibinadamu, bali kwa nguvu ya Roho.
4Öyle ki, Yasanın gereği, benliğe göre değil, Ruha göre yaşayan bizlerde yerine gelsin.
5Maana, wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya mwili, hutawaliwa na fikira za mwili. Lakini wale wanaoishi kufuatana na matakwa ya Roho Mtakatifu, hutawaliwa na fikira za Roho.
5Benliğe uyanlar benlikle ilgili, Ruha uyanlarsa Ruhla ilgili işleri düşünürler.
6Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima na amani.
6Benliğe dayanan düşünce ölüm, Ruha dayanan düşünceyse yaşam ve esenliktir.
7Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii.
7Çünkü benliğe dayanan düşünce Tanrıya düşmandır; Tanrının Yasasına boyun eğmez, eğemez de...
8Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
8Benliğin denetiminde olanlar Tanrıyı hoşnut edemezler.
9Lakini ninyi hamuishi kufuatana na matakwa ya mwili, bali kufuatana na matakwa ya Roho, ikiwa Roho wa Mungu anaishi ndani yenu. Yeyote asiye na Roho wa Kristo, huyo si wake Kristo.
9Ne var ki, Tanrının Ruhu içinizde yaşıyorsa, benliğin değil, Ruhun denetimindesiniz. Ama içinde Mesihin Ruhu olmayan kişi Mesihin değildir.
10Lakini kama Kristo yumo ndani yenu, ingawa miili yenu itakufa kwa sababu ya dhambi, kwenu Roho ndiye uhai kwa sababu mmekubaliwa kuwa waadilifu.
10Eğer Mesih içinizdeyse, bedeniniz günah yüzünden ölü olmakla birlikte, aklanmış olduğunuz için ruhunuz diridir.
11Ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Kristo kutoka wafu anaishi ndani yenu, basi huyo aliyemfufua Kristo kutoka wafu ataipa uzima miili yenu yenye hali ya kufa; atafanya hivyo kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu.
11Mesih İsayı ölümden dirilten Tanrının Ruhu içinizde yaşıyorsa, Mesihi ölümden dirilten Tanrı, içinizde yaşayan Ruhuyla ölümlü bedenlerinize de yaşam verecektir.
12Hivyo basi, ndugu zangu, tunalo jukumu, lakini si la kuishi kufuatana na maumbile ya kibinadamu.
12Öyleyse kardeşlerim, borçluyuz ama, benliğe göre yaşamak için benliğe borçlu değiliz.
13Kwa maana, kama mkiishi kufuatana na matakwa ya maumbile ya kibinadamu, hakika mtakufa. Lakini, kama kwa njia ya Roho mnayaua matendo yenu maovu, basi, mtaishi.
13Çünkü benliğe göre yaşarsanız öleceksiniz; ama bedenin kötü işlerini Ruhla öldürürseniz yaşayacaksınız.
14Wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni watoto wa Mungu.
14Tanrının Ruhuyla yönetilenlerin hepsi Tanrının oğullarıdır.
15Kwa maana, Roho mliyempokea si Roho mwenye kuwafanya ninyi watumwa na kuwatia tena hofu; sivyo, bali mmempokea Roho mwenye kuwafanya ninyi watoto wa Mungu, na kwa nguvu ya huyo Roho, sisi tunaweza kumwita Mungu, "Aba," yaani "Baba!"
15Çünkü sizi yeniden korkuya sürükleyecek kölelik ruhunu almadınız, oğulluk ruhunu aldınız. Bu ruhla, ‹‹Abba, Baba!›› diye sesleniriz.
16Naye Roho mwenyewe anajiunga na roho zetu na kuthibitisha kwamba sisi ni watoto wa Mungu.
16Ruhun kendisi, bizim ruhumuzla birlikte, Tanrının çocukları olduğumuza tanıklık eder.
17Basi, kwa vile sisi ni watoto wa Mungu, tutapokea baraka zote Mungu alizowawekea watu wake, na tutashiriki urithi huo pamoja na Kristo; maana, tukiyashiriki mateso yake Kristo, tutaushiriki pia utukufu wake.
17Eğer Tanrının çocuklarıysak, aynı zamanda mirasçıyız. Mesihle birlikte yüceltilmek üzere Mesihle birlikte acı çekiyorsak, Tanrının mirasçılarıyız, Mesihle ortak mirasçılarız.
18Naona kuwa mateso ya wakati huu wa sasa si kitu kamwe kama tukiyafananisha na ule utukufu utakaodhihirishwa kwetu.
18Kanım şu ki, bu anın acıları, gözümüzün önüne serilecek yücelikle karşılaştırılmaya değmez.
19Viumbe vyote vinatazamia kwa hamu Mungu awadhihirishe watoto wake.
19Yaratılış, Tanrı çocuklarının ortaya çıkmasını büyük özlemle bekliyor.
20Kwa maana, viumbe viliwekwa katika hali ya kutojiweza kabisa, si kwa hiari yao, ila vilifanywa hivyo kwa mapenzi ya Mungu. Hata hivyo yapo matumaini,
20Çünkü yaratılış amaçsızlığa teslim edildi. Bu da yaratılışın isteğiyle değil, onu amaçsızlığa teslim eden Tanrının isteğiyle oldu. Çünkü yaratılışın, yozlaşmaya köle olmaktan kurtarılıp Tanrı çocuklarının yüce özgürlüğüne kavuşturulması umudu vardı.
21maana hivyo viumbe navyo vitaokolewa kutoka katika utumwa wa uharibifu, vishiriki uhuru mtukufu wa watoto wa Mungu.
22Bütün yaratılışın şu ana dek birlikte inleyip doğum ağrısı çektiğini biliyoruz.
22Kwa maana tunajua kwamba mpaka hivi sasa, viumbe vyote vinalia kwa maumivu kama ya kujifungua mtoto.
23Yalnız yaratılış değil, biz de -evet Ruhun turfandasına sahip olan bizler de- evlatlığa alınmayı, yani bedenlerimizin kurtulmasını özlemle bekleyerek içimizden inliyoruz.
23Wala si hivyo viumbe peke yake, bali hata sisi tulio na huyo Roho, aliye wa kwanza wa zawadi za Mungu; sisi pia tunalalamika ndani yetu, tukitazamia kufanywa watoto wa Mungu, nazo nafsi zenu zikombolewe.
24Çünkü bu umutla kurtulduk. Ama görülen umut, umut değildir. Gördüğü şeyi kim umut eder?
24Maana kwa matumaini hayo sisi tumekombolewa; lakini tumaini halina maana ikiwa tunakiona kile tunachotumainia. Maana ni nani anayetumaini kile ambacho tayari anakiona?
25Oysa görmediğimize umut bağlarsak, sabırla bekleyebiliriz.
25Kama tunakitumaini kile ambacho hatujakiona bado, basi, tunakingojea kwa uvumilivu.
26Bunun gibi, Ruh da güçsüzlüğümüzde bize yardım eder. Ne için dua etmemiz gerektiğini bilmeyiz, ama Ruhun kendisi, sözle anlatılamaz iniltilerle bizim için aracılık eder.
26Hali kadhalika, naye Roho anatusaidia katika udhaifu wetu. Maana hatujui inavyotupasa kuomba; lakini Roho mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa mlio wa huzuni usioelezeka.
27Yürekleri araştıran Tanrı, Ruhun düşüncesinin ne olduğunu bilir. Çünkü Ruh, Tanrının isteği uyarınca kutsallar için aracılık eder.
27Naye Mungu aonaye mpaka ndani ya mioyo ya watu, anajua fikira ya huyo Roho; kwani huyo Roho huwaombea watu wa Mungu kufuatana na mapenzi ya Mungu.
28Tanrının, kendisini sevenlerle, amacı uyarınca çağrılmış olanlarla birlikte her durumda iyilik için etkin olduğunu biliriz.
28Tunajua kwamba, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi na kuifanikisha pamoja na wote wampendao, yaani wale aliowaita kufuatana na kusudi lake.
29Çünkü Tanrı önceden bildiği kişileri Oğlunun benzerliğine dönüştürmek üzere önceden belirledi. Öyle ki, Oğul birçok kardeş arasında ilk doğan olsun.
29Maana hao aliowachagua tangu mwanzo, ndio aliowateua wapate kufanana na Mwanae, ili Mwana awe wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.
30Tanrı önceden belirlediği kişileri çağırdı, çağırdıklarını akladı ve akladıklarını yüceltti.
30Basi, Mungu aliwaita wale aliokuwa amewateua; na hao aliowaita aliwakubali kuwa waadilifu; na hao aliowakubali kuwa waadilifu aliwashirikisha pia utukufu wake.
31Öyleyse buna ne diyelim? Tanrı bizden yanaysa, kim bize karşı olabilir?
31Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga?
32Öz Oğlunu bile esirgemeyip Onu hepimiz için ölüme teslim eden Tanrı, Onunla birlikte bize her şeyi bağışlamayacak mı?
32Mungu hakumhurumia hata mwanae wa pekee, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote. Ikiwa amefanya hivyo, je, hatatujalia pia mema yote?
33Tanrının seçtiklerini kim suçlayacak? Onları aklayan Tanrıdır.
33Ni nani atakayewashtaki wateule wa Mungu? Mungu mwenyewe huwaondolea hatia!
34Kim suçlu çıkaracak? Ölmüş, üstelik dirilmiş olan Mesih İsa, Tanrının sağındadır ve bizim için aracılık etmektedir.
34Ni nani atakayewahukumu? Hakuna! Maana Kristo ndiye aliyekufa, tena alifufuka kutoka wafu na anakaa upande wa kulia wa Mungu. Yeye anatuombea!
35Mesihin sevgisinden bizi kim ayırabilir? Sıkıntı mı, elem mi, zulüm mü, açlık mı, çıplaklık mı, tehlike mi, kılıç mı?
35Ni nani awezaye kututenga na mapendo ya Kristo? Je, ni taabu, au dhiki, au mateso, au njaa, au ukosefu wa nguo, au hatari, au kuuawa?
36Yazılmış olduğu gibi: ‹‹Senin uğruna bütün gün öldürülüyoruz, Kasaplık koyun sayılıyoruz.››
36Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Kwa ajili yako, twakikabili kifo kutwa kucha: tunatendewa kama kondoo wa kuchinjwa."
37Ama bizi sevenin aracılığıyla bu durumların hepsinde galiplerden üstünüz.
37Lakini, katika mambo haya yote, tumepata ushindi mkubwa kwa msaada wake yeye aliyetupenda.
38Eminim ki, ne ölüm, ne yaşam, ne melekler, ne yönetimler, ne şimdiki ne gelecek zaman, ne güçler, ne yükseklik, ne derinlik, ne de yaratılmış başka bir şey bizi Rabbimiz Mesih İsa'da olan Tanrı sevgisinden ayırmaya yetecektir.
38Maana ninajua hakika kwamba hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: wala kifo, wala uhai; wala malaika, au nguvu nyingine za mbinguni; wala yanayotokea sasa, wala yatakayotokea baadaye; wala mamlaka;
39Wala ulimwengu wa juu, wala wa chini kabisa. Hakuna kiumbe chochote kitakachoweza kututenga na upendo wa Mungu kwetu kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu.