Swahili: New Testament

Turkish

Romans

9

1Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
1Mesihe ait biri olarak gerçeği söylüyorum, yalan söylemiyorum. Vicdanım da söylediklerimi Kutsal Ruh aracılığıyla doğruluyor.
2Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
2Yüreğimde büyük bir keder, dinmeyen bir acı var.
3kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
3Kardeşlerimin, soydaşlarım olan İsraillilerin yerine ben kendim lanetlenip Mesihten uzaklaştırılmayı dilerdim. Evlatlığa kabul edilenler, Tanrının yüceliğini görenler onlardır. Antlaşmalar, buyrulan Kutsal Yasa, tapınma düzeni, vaatler onlarındır.
4Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5Büyük atalar onların atalarıdır. Mesih de bedence onlardandır. O her şeyin üzerinde hüküm süren, sonsuza dek övülecek Tanrıdır! Amin.
5Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina.
6Tanrının sözü boşa çıktı demek istemiyorum. Çünkü İsrail soyundan gelenlerin hepsi İsrailli sayılmaz.
6Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7İbrahimin soyundan olsalar bile, hepsi onun çocukları değildir. Ama, ‹‹Senin soyun İshakla sürecek›› diye yazılmıştır.
7Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Wazao wake watatokana na Isaka."
8Demek ki Tanrının çocukları olağan yoldan doğan çocuklar değildir; İbrahimin soyu sayılanlar Tanrının vaadi uyarınca doğan çocuklardır.
8Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9Çünkü vaat şöyleydi: ‹‹Gelecek yıl bu zamanda geleceğim ve Saranın bir oğlu olacak.››
9Maana ahadi yenyewe ni hii: "Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto."
10Ayrıca Rebeka bir erkekten, atamız İshaktan ikizlere gebe kalmıştı.
10Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11Çocuklar henüz doğmamış, iyi ya da kötü bir şey yapmamışken, Tanrı Rebekaya, ‹‹Büyüğü küçüğüne kulluk edecek›› dedi. Öyle ki, Tanrının seçim yapmaktaki amacı yapılan işlere değil, kendi çağrısına dayanarak sürsün.
11Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
13Yazılmış olduğu gibi, ‹‹Yakupu sevdim, Esavdan ise nefret ettim.››
12Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
14Öyleyse ne diyelim? Tanrı adaletsizlik mi ediyor? Kesinlikle hayır!
13Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia."
15Çünkü Musaya şöyle diyor: ‹‹Merhamet ettiğime merhamet edeceğim, Acıdığıma acıyacağım.››
14Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
16Demek ki bu, insanın isteğine ya da çabasına değil, Tanrının merhametine bağlıdır.
15Maana alimwambia Mose: "Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka."
17Tanrı Kutsal Yazıda firavuna şöyle diyor: ‹‹Gücümü senin aracılığınla göstermek Ve adımı bütün dünyada duyurmak için Seni yükselttim.››
16Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
18Demek ki Tanrı dilediğine merhamet eder, dilediğinin yüreğini nasırlaştırır.
17Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: "Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani."
19Şimdi bana, ‹‹Öyleyse Tanrı insanı neden hâlâ suçlu buluyor? Onun isteğine kim karşı durabilir?›› diyeceksin.
18Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
20Ama, ey insan, sen kimsin ki Tanrıya karşılık veriyorsun? ‹‹Kendisine biçim verilen, biçim verene, ‹Beni niçin böyle yaptın› der mi?››
19Labda utaniuliza: "Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?"
21Ya da çömlekçinin aynı kil yığınından bir kabı onurlu iş için, ötekini bayağı iş için yapmaya hakkı yok mu?
20Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: "Kwa nini umenitengeneza namna hii?"
22Eğer Tanrı gazabını göstermek ve gücünü tanıtmak isterken, gazabına hedef olup mahvolmaya hazırlananlara büyük sabırla katlandıysa, ne diyelim?
21Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
23Yüceltmek üzere önceden hazırlayıp merhamet ettiklerine yüceliğinin zenginliğini göstermek için bunu yaptıysa, ne diyelim?
22Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
24Yalnız Yahudiler arasından değil, öteki uluslar arasından da çağırdığı bu insanlar biziz.
23Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
25Tanrı Hoşea Kitabında şöyle diyor: ‹‹Halkım olmayana halkım, Sevgili olmayana sevgili diyeceğim.››
24Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
26‹‹Kendilerine, ‹Siz halkım değilsiniz› denilen yerde, Yaşayan Tanrının çocukları diye adlandırılacaklar.››
25Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: "Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
27Yeşaya, İsrail için şöyle sesleniyor: ‹‹İsrailoğullarının sayısı Denizin kumu kadar çok olsa da, Ancak pek azı kurtulacak.
26Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai."
28Çünkü Rab yeryüzündeki yargılama işini Tez yapıp bitirecek.››
27Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: "Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
29Yeşayanın önceden dediği gibi: ‹‹Her Şeye Egemen Rab Soyumuzu sürdürecek birkaç kişiyi Sağ bırakmamış olsaydı, Sodom gibi olur, Gomoraya benzerdik.››
28maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote."
30Öyleyse ne diyelim? Aklanma peşinde olmayan uluslar aklanmaya, imandan gelen aklanmaya kavuştular.
29Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: "Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora."
31Aklanmak için Yasanın ardından giden İsrail ise Yasayı yerine getiremedi.
30Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
32Neden? Çünkü imanla değil, iyi işlerle olurmuş gibi aklanmaya çalıştılar ve ‹‹sürçme taşı››nda sürçtüler.
31hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
33Yazılmış olduğu gibi: ‹‹İşte, Siyon'a bir sürçme taşı, Bir tökezleme kayası koyuyorum. O'na iman eden utandırılmayacak.››
32Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: "Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!"