1Basi, tusonge mbele kwa yale yaliyokomaa na kuyaacha nyuma yale mafundisho ya mwanzo ya Kikristo. Hatuhitaji kuweka msingi tena kwa kurudia yale mafundisho ya mwanzo kama vile kuachana na matendo ya kifo, kumwamini Mungu;
1Bunun için, ölü işlerden tövbe etmenin ve Tanrı'ya inanmanın temelini, vaftizler, elle kutsama, ölülerin dirilişi ve sonsuz yargıyla ilgili öğretinin temelini yeni baştan atmadan Mesih'le ilgili temel öğretileri aşarak yetkinliğe doğru ilerleyelim.
2mafundisho juu ya ubatizo na kuwekewa mikono; ufufuo wa wafu na hukumu ya milele.
3Tanrı izin verirse, bunu yapacağız.
3tusonge mbele! Hayo tutayafanya, Mungu akitujalia.
4Bir kez aydınlatılmış, göksel armağanı tatmış ve Kutsal Ruh'a ortak edilmiş, Tanrı sözünün iyiliğini ve gelecek çağın güçlerini tatmış oldukları halde yoldan sapanları yeniden tövbe edecek duruma getirmeye olanak yoktur. Çünkü Tanrı'nın Oğlunu âdeta yeniden çarmıha geriyor, âleme maskara ediyorlar.
4Maana watu wanaoiasi imani yao inawezekanaje kuwarudisha watubu tena? Watu hao walikwisha kuwa katika mwanga wa Mungu, walikwisha onja zawadi ya mbinguni na kushirikishwa Roho Mtakatifu;
7Üzerine sık sık yağan yağmuru emen ve kimler için işleniyorsa onlara yararlı bitkiler üreten toprağı Tanrı bereketli kılar.
5walikwisha onja wema wa neno la Mungu na nguvu za ulimwengu ujao,
8Ama dikenli bitki ve devedikeni üreten toprak yararsızdır, lanetlenmeye yakındır, sonu yanmaktır.
6kisha wakaiasi imani yao! Haiwezekani kuwarudisha watubu tena, kwa sababu wanamsulubisha tena Mwana wa Mungu na kumwaibisha hadharani.
9Size gelince, sevgili kardeşler, böyle konuştuğumuz halde, durumunuzun daha iyi olduğuna, yani kurtuluşa uygun düştüğüne eminiz.
7Mungu huibariki ardhi ambayo huipokea mvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuotesha mimea ya faida kwa mkulima.
10Tanrı adaletsiz değildir. Emeğinizi ve kutsallara hizmet etmiş olarak ve etmeye devam ederek O'nun adına gösterdiğiniz sevgiyi unutmaz.
8Lakini kama ardhi hiyo ikiota miti ya miiba na magugu, haina faida; karibu italaaniwa na Mungu na mwisho wake ni kuchomwa moto.
11Ümidinizden doğan tam güvenceye kavuşmanız için her birinizin sona dek aynı gayreti göstermesini arzu ediyoruz.
9Lakini, ingawa twasema namna hii, wapenzi wetu, tunalo tumaini kubwa juu ya hali yenu. Tunajua kwamba mmepokea baraka zile bora za wokovu wenu.
12Tembel olmamanızı, vaat edilenleri iman ve sabır aracılığıyla miras alanların örneğine uymanızı istiyoruz.
10Mungu hakosi haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake katika huduma mliyowapa na mnayowapa sasa watu wake.
13Tanrı İbrahim'e vaatte bulunduğu zaman, üzerine ant içecek daha üstün biri olmadığı için kendi üzerine ant içerek şöyle dedi:
11Hamu yetu ni kwamba kila mmoja wenu aonyeshe bidii hiyohiyo mpaka mwisho, ili yale mnayotumainia yapate kutimia.
14«Seni kutsadıkça kutsayacağım ve soyunu çoğalttıkça çoğaltacağım.»
12Msiwe wavivu, bali muwe kama wale wanaoamini na wenye uvumilivu na hivyo wanapokea yake aliyoahidi Mungu.
15Ve böylece sabırla dayanan İbrahim vaade erişti.
13Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
16İnsanlar kendilerinden daha üstün biri üzerine ant içerler. Onlar için ant, söyleneni doğrular ve her tartışmayı sona erdirir.
14Mungu alisema: "Hakika nitakubariki na nitakupa wazawa wengi."
17Tanrı da, kendi amacının değişmezliğini vaadin mirasçılarına daha açıkça belirtmek isteyerek vaadini bir yeminle pekiştirdi.
15Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo alipokea kile alichoahidiwa na Mungu.
18Öyle ki, önümüze konan ümide tutunmak için Tanrı'ya sığınan bizler, Tanrı'nın yalan söylemesi olanaksız olan bu iki değişmez şey aracılığıyla büyük cesaret bulalım.
16Watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu zaidi kuliko wao, na kiapo hicho husuluhisha ubishi wote.
19Canlarımız için gemi demiri gibi sağlam ve güvenilir olan bu ümit, perdenin öte tarafına geçer.
17Naye Mungu aliimarisha ahadi yake kwa kiapo; na kwa namna hiyo akawaonyesha wazi wale aliowaahidia kwamba hatabadili nia yake.
20İsa, Melkisedek düzenine göre sonsuza dek başkâhin olup bizim uğrumuza oraya öncümüz olarak geçti.
18Basi, kuna vitu hivi viwili: ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.
19Tunalo tumaini hilo kama nanga ya maisha yetu. Tumaini hilo ni imara na thabiti, nalo lapenya lile pazia la hekalu la mbinguni mpaka patakatifu ndani.
20Yesu ametangulia kuingia humo kwa niaba yetu, na amekuwa kuhani mkuu milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.