1Basi, nauliza: je, Mungu amewakataa watu wake? Hata kidogo! Mini binafsi ni Mwisraeli mzawa wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.
1Öyleyse şunu soruyorum: Tanrı kendi halkından yüz mü çevirdi? Kesinlikle hayır! Ben de İbrahim soyundan, Benyamin oymağından bir İsrailliyim.
2Mungu hakuwakataa watu wake aliowateua tangu mwanzo. Mnakumbuka yasemavyo Maandiko Matakatifu juu ya Eliya wakati alipomnung'unikia Mungu kuhusu Israeli:
2Tanrı önceden bildiği kendi halkından yüz çevirmedi. Yoksa İlyas'la ilgili bölümde Kutsal Yazı'nın ne dediğini, İlyas'ın İsrail'e karşı Tanrı'ya nasıl yakındığını bilmez misiniz?
3"Bwana, wamewaua manabii wako na kubomoa madhabahu yako. Ni mimi tu peke yangu niliyebaki, nao wanataka kuniua?"
3«Rab, senin peygamberlerini öldürdüler, senin sunaklarını yıktılar. Yalnız ben kaldım. Beni de öldürmeye çalışıyorlar.»
4Je, Mungu alimjibu nini? Alimwambia: "Nimejiwekea elfu saba ambao hawakumwabudu Baali."
4Tanrı'nın ona verdiği karşılık nedir? «Baal'ın önünde diz çökmemiş yedi bin kişiyi kendime alıkoydum.»
5Basi, ndivyo ilivyo pia wakati huu wa sasa: ipo idadi ya waliobaki ambao Mungu aliwateua kwa sababu ya neema yake.
5Aynı şekilde, şimdiki zamanda da Tanrı'nın lütfuyla seçilmiş küçük bir topluluk vardır.
6Uteuzi wake unatokana na neema yake, na si kwa sababu ya matendo yao. Maana, kama uteuzi wake ungetegemea matendo ya watu, neema yake haingekuwa neema tena.
6Ama bu,lütufla olmuşsa, iyi işlerle olmamış demektir. Aksi halde lütuf artık lütuf olmaz!
7Sasa, je? Watu wa Israeli hawakukipata kile walichokuwa wanakitafuta; lakini wote walioteuliwa walikipata. Wengine walipumbazwa,
7Sonuç ne? İsrail aradığına kavuşamadı, seçilmiş olanlar ise kavuştular. Geriye kalanların da yürekleri nasırlaştırıldı.
8kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao."
8Yazılmış olduğu gibi: «Tanrı, onlara uyuşukluk ruhu verdi. Bugün bile gözleri görmüyor, kulakları işitmiyor.»
9Naye Daudi anasema: "Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.
9Davut da şöyle diyor: «Onların sofrası kendilerine tuzak, kapan, tökez ve ceza olsun.
10Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!"
10Gözleri görmemek üzere kararsın. Bellerini hep bükük tut!»
11Basi, nauliza: je, Wayahudi wamejikwaa hata wakaangamia kabisa? Hata kidogo! Kutokana na kosa lao ukombozi umewajia watu wa mataifa mengine, ili Wayahudi wapate kuwaonea wivu.
11Öyleyse şunu soruyorum: Yahudiler düşmek üzere mi sendelediler? Kesinlikle hayır! Ama onları imrendirmek için , suçlarından ötürü diğer uluslara kurtuluş verildi.
12Kosa la Wayahudi limesababisha baraka nyingi kwa ulimwengu, na utovu wao kwa kiroho umeleta baraka nyingi kwa watu wa mataifa mengine. Basi, ni dhahiri zaidi kwamba utimilifu wao utasababisha baraka nyingi zaidi.
12Eğer Yahudilerin suçu dünyaya zenginlik, bozgunları uluslara zenginlik getirdiyse, bütünlükleri ne kadar daha büyük bir zenginlik getirecektir!
13Basi, sasa nawaambieni ninyi watu wa mataifa mengine: Maadamu mimi nimekuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine, ninajivunia huduma yangu,
13Diğer uluslardan olan sizlere söylüyorum: uluslara elçi olarak gönderildiğim için görevimi yüce sayarım.
14nipate kuwafanya wananchi wenzangu wawaonee ninyi wivu, na hivyo nipate kuwaokoa baadhi yao.
14Böylelikle belki soydaşlarımı imrendirip bazılarını kurtarırım.
15Maana ikiwa kukataliwa kwao kulisababisha ulimwengu upatanishwe na Mungu, itakuwaje wakati watakapokubaliwa na Mungu? Wafu watafufuka!
15Çünkü onların reddedilmesi dünyanın Tanrı'yla barışmasını sağladıysa, kabul edilmeleri ölümden yaşama geçiş değil de nedir?
16Ikiwa kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa wakfu; mizizi ya mti ikiwa mizuri, na matawi yake huwa mazuri pia.
16Eğer hamurun ilk parçası kutsalsa, hamurun tümü kutsaldır. Eğer kök kutsalsa, dallar da kutsaldır.
17Naam, baadhi ya matawi ya mzeituni bustanini yalikatwa, na mahali pake tawi la mzeituni mwitu likapandikizwa. Ninyi watu wa mataifa mengine ndio hilo tawi la mzeituni mwitu; na sasa mnashiriki nguvu na utomvu wa mzeituni bustanini.
17Ama zeytin ağacının bazı dalları kesildiyse, ve sen, yabani zeytin filizi olarak onların yerine aşılanıp öz ağacın semiz köküne ortak oldunsa, dallara karşı övünme. Eğer övünüyorsan, unutma ki, sen kökü taşımıyorsun, kök seni taşıyor.
18Basi, msiwadharau wale waliokatwa kama matawi! Na, hata kama kuna la kujivunia, kumbukeni kwamba si ninyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza ninyi.
19O zaman, «Ben aşılanayım diye dallar kesildi» diyeceksin.
19Lakini utasema: "Matawi yalikatwa kusudi mimi nipandikizwe mahali pake."
20Doğru. Onlar imansızlıktan dolayı kesildiler. Sen ise imanla yerinde duruyorsun. Böbürlenme, kork!
20Sawa! Yalikatwa kwa sababu ya kukosa imani, bali wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; ila uwe na tahadhari.
21Çünkü Tanrı asıl dalları esirgemediyse, seni de esirgemeyecek.
21Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
22Onun için Tanrı'nın iyiliğini ve sertliğini gör. O, düşenlere karşı serttir; ama O'nun iyiliğine bağlı kalırsan, sana iyi davranır. Yoksa sen de kesilip atılırsın!
22Kumbuka, basi, jinsi Mungu alivyo mwema na mkali. Yeye ni mkali kwa wale walioanguka, na ni mwema kwako wewe ikiwa utaendelea katika wema wake; la sivyo, nawe pia utakatwa.
23İmansızlıkta direnmezlerse, Yahudiler de öz ağaca yeniden aşılanacaklar. Çünkü Tanrı'nın onları geri aşılamaya gücü vardır.
23Nao Wayahudi, hali kadhalika; wakiacha utovu wao wa imani, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.
24Eğer sen, doğal yapısı yabani olan zeytin ağacından kesilip doğaya aykırı olarak cins zeytin ağacına aşılandınsa, asıl dalların öz zeytin ağacına aşılanacakları ne kadar daha kesindir!
24Ninyi watu wa mataifa mengine, kwa asili ni kama tawi la mzeituni mwitu, lakini mmeondolewa huko, mkapandikizwa katika mzeituni bustanini mahali ambapo kwa asili si penu. Lakini, Wayahudi kwa asili ni kama mzeituni bustanini, na itakuwa jambo rahisi zaidi kwao kupandikizwa tena katika mti huohuo wao.
25Kardeşler, bilgiçliğe kapılmanızı önleyecek şu sırdan habersiz kalmanızı istemem: İsraillilerden bir bölümünün yüreği, diğer uluslardan kurtulacakların sayısı tamamlanıncaya dek nasırlaşmıştır.
25Ndugu zangu, napenda mjue ukweli huu uliofichika msije mkajiona wenye akili sana. Ukaidi wa Wayahudi ulikuwa ni wa muda tu, mpaka watu wa mataifa mengine watakapokuwa wamemfikia Mungu.
26Sonunda bütün İsrail kurtulacaktır. Yazılmış olduğu gibi: «Kurtarıcı, Siyon'dan gelecek ve Yakup'un soyundan tanrısızlığı uzaklaştıracaktır.
26Hapo ndipo taifa lote la Israeli litakapookolewa, kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: "Mkombozi atakuja kutoka Sioni, atauondoa uovu wa Yakobo.
27Onların günahlarını kaldıracağım zaman kendileriyle yapacağım antlaşma budur.»
27Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao."
28Yahudiler Müjde'yi reddederek sizin uğrunuza Tanrı'ya düşman oldular; ama Tanrı'nın seçimine göre, ataları sayesinde sevilmektedirler.
28Kwa sababu wanaikataa Habari Njema, Wayahudi wamekuwa adui wa Mungu, lakini kwa faida yenu nyinyi watu wa mataifa. Lakini, kwa kuwa waliteuliwa, bado ni rafiki wa Mungu kwa sababu ya baba zao.
29Çünkü Tanrı'nın armağanları ve çağrısı geri alınamaz.
29Maana Mungu akisha wapa watu zawadi zake na kuwateua, hajuti kwamba amefanya hivyo.
30Bir zamanlar Tanrı'nın sözünü dinlemezdiniz, ama şimdi Yahudilerin sözdinlemezliğinin sonucu olarak merhamete kavuştunuz.
30Hapo awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.
31Bunun gibi, Yahudiler de, sizin kavuştuğunuz merhametle merhamete erişmek için şimdi söz dinlemez oldular.
31Hali kadhalika, kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi, Wayahudi wanamwasi Mungu sasa ili nao pia wapokee sasa huruma ya Mungu.
32Çünkü Tanrı, merhametini hepsine göstermek için hepsini sözdinlemezliğin tutsağı kıldı.
32Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote.
33Tanrı'nın zenginliği, bilgeliği ve bilgisi ne derindir! O'nun yargıları ne denli akıl ermez, yolları ne denli anlaşılmazdır!
33Utajiri, hekima na elimu ya Mungu ni kuu mno! Huruma zake hazichunguziki, na njia zake hazieleweki! Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu:
34«Rab'bin düşüncesini kim bildi? Ya da kim O'nun öğütçüsü oldu?»
34"Nani aliyepata kuyajua mawazo ya Bwana? Nani awezaye kuwa mshauri wake?
35«Kim O'na bir şey verdi ki, kendisine geri ödensin?»
35Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?"
36Her şeyin kaynağı O'dur; her şey O'nun aracılığıyla ve O'nun için var oldu. Sonsuza dek O'na yücelik olsun. Amin.
36Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina.