聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

1 John

4

1怎样认出 神的灵
1Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni.
2你们可以这样认出 神的灵:凡是承认耶稣基督是成了肉身来的,那灵就是出于 神。
2Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.
3凡是不承认耶稣基督是成了肉身来的,那灵就不是出于 神,而是敌基督者的灵;你们听过他要来,现在他已经在世上了。
3Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
4孩子们,你们是属于 神的,并且已经胜过他们,因为那在你们里面的比那在世上的更大。
4Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
5他们是属于世界的,因此讲论属世的事,世界也就听从他们。
5Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.
6我们是属于 神的,认识 神的就听从我们,不属于 神的就不听从我们。这样,我们就可以辨别真理的灵和谬妄的灵了。
6Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
7 神是爱亲爱的,我们应当彼此相爱,因为爱是从 神那里来的。凡是爱人的,都是从 神生的,并且认识 神。
7Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu.
8不爱人的,就不认识 神,因为 神就是爱。
8Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
9 神差遣他的独生子到世上来,要使我们借着他而活; 神的爱就在我们中间显明了。
9Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.
10不是我们爱 神,而是 神爱我们,差遣他的儿子为我们的罪作了赎罪祭,这就是爱了。
10Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
11亲爱的, 神既然这样爱我们,我们也应当彼此相爱。
11Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.
12从来没有人见过 神,我们若彼此相爱, 神就住在我们里面,他的爱也在我们里面得到成全了。
12Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.
13 神把他的灵赐给我们,我们就知道我们是住在他里面,他也住在我们里面。
13Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.
14父差遣子作世人的救主,这是我们见过的,并且现在作见证。
14Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.
15凡承认耶稣是 神的儿子的, 神就住在他里面,他也住在 神里面。
15Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu.
16 神对我们的爱,我们已经明白了,而且相信了。 神就是爱;住在爱里面的,就住在 神里面, 神也住在他里面。
16Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.
17这样,爱在我们里面就得到成全,使我们在审判的日子,可以坦然无惧。因为他怎样,我们在这世上也怎样。
17Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo.
18爱里没有惧怕,完全的爱可以把惧怕驱除,因为惧怕含有刑罚,惧怕的人在爱里还没有完全。
18Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu.
19我们爱,因为 神先爱我们。
19Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
20人若说“我爱 神”,却恨他的弟兄,就是说谎的。不爱看得见的弟兄,就不能爱看不见的 神。
20Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.
21爱 神的,也应当爱弟兄,这就是我们从 神领受的命令。
21Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.