聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

1 Peter

5

1务要牧养 神的羊群
1wazee! Mimi niliye mzee ninalo ombi moja kwenu wazee wenzangu. Mimi mwenyewe nilishuhudia kwa macho yangu mateso ya Kristo na natumaini kuushiriki ule utukufu utakaofunuliwa. Mimi nawaombeni
2务要牧养你们中间的羊群,按着 神的旨意照顾他们。不是出于勉强,而是出于甘心;不是因为贪财,而是出于热诚;
2mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa hiari kama atakavyo Mungu. Fanyeni kazi hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali kwa moyo wenu wote.
3也不是要辖制托付你们的羊群,而是作他们的榜样。
3Msiwatawale kwa mabavu hao waliowekwa chini ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi.
4到了牧长显现的时候,你们必定得着那永不衰残的荣耀冠冕。
4Na wakati Mchungaji Mkuu atakapotokea, ninyi mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.
5照样,你们青年人要顺服年长的。就是你们各人也要彼此以谦卑为装束,因为“ 神敌挡骄傲的人,赐恩给谦卑的人。”
5Kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. Ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yasema: "Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu."
6所以你们要谦卑,服在 神大能的手下,到了时候,他必叫你们升高。
6Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.
7你们要把一切忧虑卸给 神,因为他顾念你们。
7Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.
8你们要谨守、警醒。你们的仇敌魔鬼,好像吼叫的狮子走来走去,寻找可以吞吃的人;
8Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.
9你们要用坚强的信心抵挡他,因为知道你们在世上的弟兄,也经历过同样的苦难。
9Muwe imara katika imani na kumpinga, mkijua kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa na mateso hayohayo.
10但满有恩典的 神,就是在基督里召你们进入他永远荣耀的那一位,在你们受了短暂的苦难之后,必定亲自成全你们,坚固你们,赐力量给你们,建立你们。
10Lakini mkisha teseka muda mfupi, Mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara.
11愿权能归给他,直到永远。阿们。
11Kwake uwe uwezo milele! Amina.
12劝勉和祝福我借着我认为忠心的弟兄西拉,简略地写了这封信劝勉你们,又向你们证实这是 神真正的恩典;你们要在这恩典上站立得住。
12Nimewaandikieni barua hii fupi kwa msaada wa Silwano, ndugu ambaye namjua na kumwamini. Nataka kuwapeni moyo na kushuhudia kwamba jambo hili ni neema ya Mungu kweli. Kaeni imara katika neema hiyo.
13在巴比伦与你们同蒙拣选的,和我儿子马可都问候你们。
13Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.
14你们要用爱心彼此亲嘴问安。愿平安归与你们所有在基督里的人。
14Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani ninyi mlio wake Kristo.