聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

2 Corinthians

13

1劝勉和祝福
1Hii ni mara yangu ya tatu kuja kwenu. "Kila tatizo litatatuliwa kwa ushahidi wa watu wawili au watatu," yasema Maandiko.
2我第二次到你们那里去的时候说过,现今不在你们那里,再预先对那些从前犯了罪的和其余的人说:我若再来,必不宽容,
2Nilikwisha sema, na kama ilivyokuwa safari ya pili, sasa nasema tena nikiwa mbali: wale wote waliotenda uovu bila kutubu, na pia wale wengine, nitakapokuja, watakiona cha mtema kuni.
3因为你们在找基督借着我说话的凭据。基督对你们不是软弱的,相反地,在你们身上是有能力的。
3Mtajionea wenyewe kwamba Kristo anasema ndani yangu. Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake yafanya kazi miongoni mwenu.
4他因着软弱被钉死了,却靠着 神的大能活着。我们在他里面也是软弱的,但靠着 神向你们所显的大能,也必与他一同活着。
4Maana hata kama alisulubiwa kwa sababu ya udhaifu, lakini sasa anaishi kwa uwezo wa Mungu. Sisi pia tu dhaifu kwa kuungana naye lakini tutaishi naye kwa uwezo wa Mungu kwa ajili yenu.
5你们应当察验自己是不是持守着信仰,也应当考验自己。难道不晓得基督耶稣是在你们里面吗?(除非你们是经不起考验的人。)
5Jichunguzeni ninyi wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo imani. Jichunguzeni ninyi wenyewe. Je, hamjui kwamba Kristo Yesu yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi ninyi mmeshindwa.
6我盼望你们晓得,我们不是经不起考验的人。
6Lakini natumaini kwamba ninyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.
7我们祈求 神,使你们不作什么恶事。这并不是要显明我们是经得起考验的,而是要你们行善;我们呢,就让我们作经不起考验的人好了!
7Tunamwomba Mungu msifanye uovu wowote, lakini si kusudi tuonekane kama watu waliokwisha faulu, bali mpate kutenda mema, hata kama sisi tunaonekana kuwa tumeshindwa.
8我们不能作什么事违背真理,只能维护真理。
8Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.
9当我们软弱、你们刚强的时候,我们就欢喜;我们所求的,就是要你们完全。
9Tunafurahi kwamba sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; kwa hiyo tunaomba mpate kuwa wakamilifu.
10因此,我趁着不在你们那里的时候,把这些话写给你们,到我来了,就不必凭着主所给我的权柄严厉地对待你们。这权柄不是要拆毁你们,而是要建立你们。
10Basi, ninaandika barua hii nikiwa mbali, ili nitakapofika kwenu nisilazimike kuwa mkali kwenu kwa kutumia ule uwezo alionipa Bwana; naam, uwezo wa kujenga na si wa kubomoa.
11最后,弟兄们,你们要喜乐,要完全,要受安慰,要同心,要和睦。这样,施慈爱赐平安的 神必与你们同在。
11Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, shikeni mashauri yangu, muwe na nia moja; kaeni kwa amani. Naye Mungu wa mapendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
12你们要用圣洁的亲嘴彼此问安。
12Salimianeni kwa ishara ya upendo.
13众圣徒都问候你们。
13(G13-12) Watu wote wa Mungu huku wanawasalimuni.
14愿主耶稣基督的恩惠, 神的慈爱,圣灵的契通,常与你们众人同在。
14(G13-13) Neema ya Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na umoja wa Roho Mtakatifu, viwe nanyi nyote.