1问安
1Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo.
2愿恩惠平安从父 神和主耶稣基督临到你们。
2Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
3主再来时必施行审判弟兄们,我们应该常常为你们感谢 神,这是合适的。因为你们的信心格外长进,你们众人彼此相爱的心也在增加。
3Ndugu, tunapaswa kushukuru Mungu daima kwa ajili yenu. Inafaa kwetu kufanya hivyo kwani imani yenu inakua sana na kupendana kwenu kunaongezeka sana.
4所以我们在 神的众教会里,亲自夸奖你们,因为你们在所受的一切迫害患难中,仍然存着坚忍和信心。
4Ndio maana sisi tunajivunia ninyi katika makanisa ya Mungu. Tunaona fahari juu ya jinsi mnavyoendelea kuamini na kustahimili katika udhalimu wote na mateso mnayopata.
5这正是 神公义判断的明证,使你们可以算是配得上他的国;你们也是为了 神的国而受苦。
5Hayo yote yanathibitisha kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na matokeo yake ninyi mtastahili Utawala wake ambao kwa ajili yake mnateseka.
6 神既然是公义的,主耶稣和他有能力的天使从天上显现在火焰中的时候,就使你们这些受灾难的人,可以和我们同享安息;却以灾难报应那些把灾难加给你们的人。
6Mungu atafanya jambo la haki: atawalipa mateso wale wanaowatesa ninyi,
7
7na kuwapeni nafuu ninyi mnaoteseka, na sisi pia. Atafanya jambo hilo wakati Bwana atakapotokea kutoka mbinguni pamoja na malaika wake na wakuu
8又要报应那些不认识 神、不听从我们主耶稣的福音的人。
8na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu.
9当主来的时候,他们要受永远沉沦的惩罚,就是离开主的面和他权能的荣光。在那一天,他要在圣徒身上得着荣耀,又要在所有信徒身上受到尊崇(你们也在他们当中,因为你们信了我们向你们所作的见证)。
9Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu,
10
10wakati atakapokuja Siku ile kupokea utukufu kutoka kwa watu wake na heshima kutoka kwa wote wanaoamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.
11因此,我们常常为你们祷告,愿我们的 神看你们是配得上所蒙的召,又用大能成就你们所羡慕的一切良善和信心的工作,
11Ndiyo maana tunawaombeeni daima. Tunamwomba Mungu wetu awawezeshe muyastahili maisha aliyowaitia myaishi. Tunamwomba, kwa uwezo wake, atimize nia yenu ya kutenda mema na kukamilisha kazi yenu ya imani.
12使我们主耶稣的名,照着我们的 神和主耶稣基督的恩,在你们身上得着荣耀,你们也在他身上得着荣耀。
12Kwa namna hiyo, jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu kutoka kwenu, nanyi mtapata utukufu kutoka kwake kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.