1 神借着儿子说话
1Hapo zamani, Mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii,
2在这末后的日子,却借着他的儿子向我们说话。 神已经立他作万有的承受者,并且借着他创造了宇宙(“宇宙”或译:“诸世界”或“众世代”)。
2lakini siku hizi za mwisho, amesema nasi kwa njia ya Mwanae. Yeye ndiye ambaye kwa njia yake Mungu aliumba ulimwengu na akamteua avimiliki vitu vyote.
3他是 神荣耀的光辉,是 神本质的真象,用自己带有能力的话掌管万有;他作成了洁净罪恶的事,就坐在高天至尊者的右边。
3Yeye ni mng'ao wa utukufu wa Mungu, na mfano kamili wa hali ya Mungu mwenyewe, akiutegemeza ulimwengu kwa neno lake lenye nguvu. Baada ya kuwapatia binadamu msamaha wa dhambi zao, aliketi huko juu mbinguni, upande wa kulia wa Mungu Mkuu.
4他所承受的名比天使的名更尊贵,所以他远比天使崇高。
4Mwana ni mkuu zaidi kuliko malaika, kama vile jina alilopewa na Mungu ni kuu zaidi kuliko jina lao.
5 神的儿子比天使崇高 神曾对哪一个天使说过:“你是我的儿子,我今日生了你”呢?或者说:“我要作他的父亲,他要作我的儿子”呢?
5Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "Wewe ni Mwanangu; Mimi leo nimekuwa Baba yako." Wala hakusema juu ya malaika yeyote: "Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu."
6 神差遣长子到世上来的时候,又说:“ 神所有的天使都要拜他。”
6Lakini Mungu alipokuwa anamtuma Mwanae mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, alisema: "Malaika wote wa Mungu wanapaswa kumwabudu."
7论到天使,说:“ 神用风作他的使者,用火焰作他的仆役。”
7Lakini kuhusu malaika, Mungu alisema: "Mungu awafanya malaika wake kuwa pepo, na watumishi wake kuwa ndimi za moto."
8但是论到儿子,却说:“ 神啊!你的宝座是永永远远的,你国的权杖,是公平的权杖。
8Lakini kumhusu Mwana, Mungu alisema: "Utawala wako ee Mungu, wadumu milele na milele! Wewe wawatawala watu wako kwa haki.
9你喜爱公义,恨恶不法,所以, 神,就是你的 神,用喜乐的油膏抹你,胜过膏抹你的同伴。”
9Wewe wapenda uadilifu na kuchukia uovu. Ndiyo maana Mungu, Mungu wako amekuweka wakfu na kukumiminia furaha kubwa zaidi kuliko wenzako."
10又说:“主啊!你起初立了地的根基,天也是你手的工作。
10Pia alisema: "Bwana, wewe uliumba dunia hapo mwanzo, mbingu ni kazi ya mikono yako.
11天地都要毁灭,你却长存;天地都要像衣服一样渐渐残旧,
11Hizo zitatoweka, lakini wewe wabaki daima, zote zitachakaa kama vazi.
12你要把天地像外套一样卷起来,天地就像衣服一样被更换;只有你永不改变,你的年数也没有穷尽。”
12Utazikunjakunja kama koti, nazo zitabadilishwa kama vazi. Lakini wewe ni yuleyule daima, na maisha yako hayatakoma."
13 神可曾向哪一个天使说:“你坐在我的右边,等我使你的仇敌作你的脚凳”呢?
13Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: "Keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako."
14天使不都是服役的灵,奉差遣为那些要承受救恩的人效劳吗?
14Malaika ni roho tu wanaomtumikia Mungu, na Mungu huwatuma wawasaidie wale watakaopokea wokovu.