1问安为基督耶稣被囚禁的保罗,和提摩太弟兄,写信给我们所爱的,又一同作工的腓利门,
1Mimi Paulo, mfungwa kwa ajili ya Kristo Yesu, na ndugu Timotheo, ninakuandikia wewe Filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
2和亚腓亚姊妹,并我们的战友亚基布,以及在你家里的教会。
2na kanisa linalokutana nyumbani kwako, na wewe dada Afia, na askari mwenzetu Arkupo.
3愿恩惠平安从我们的父 神和主耶稣基督临到你们。
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana yesu Kristo.
4称赞腓利门我听见你对主耶稣和众圣徒有爱心和信心,我每逢祷告提到你的时候,就常常感谢我的 神。
4Kila wakati ninaposali nakukumbuka wewe Filemoni, na kumshukuru Mungu
5
5maana nasikia habari za imani yako kwa Bwana wetu Yesu na upendo wako kwa watu wote wa Mungu.
6愿你与众人分享你的信心的时候,会产生功效,使我们可以知道在我们中间的一切善事,都是为基督作的。
6Naomba ili imani hiyo unayoshiriki pamoja nasi ikuwezeshe kuwa na ujuzi mkamilifu zaidi wa baraka zote tunazopata katika kuungana kwetu na Kristo.
7弟兄啊,众圣徒的心既然从你得到舒畅,我也因你的爱心,得到更大的喜乐和安慰。
7Ndugu, upendo wako yameniletea furaha kubwa na kunipa moyo sana! Nawe umeichangamsha mioyo ya watu wa Mungu.
8为欧尼西慕请求我在基督里虽然可以放胆吩咐你作应作的事,
8Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
9然而像我这上了年纪的保罗,现在又是为基督耶稣被囚禁的,宁愿凭着爱心请求你,
9Lakini kwa sababu ya upendo, ni afadhali zaidi nikuombe. Nafanya hivi ingawa mimi ni Paulo, balozi wa Kristo Yesu, na sasa pia mfungwa kwa ajili yake.
10就是为我在囚禁时所生的儿子欧尼西慕求你;
10Basi, ninalo ombi moja kwako kuhusu mwanangu Onesimo, ambaye ni mwanangu katika Kristo kwani nimekuwa baba yake nikiwa kifungoni.
11他从前对你没有什么好处,但现在对你我都有好处。
11Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.
12我现在打发他亲自回到你那里去;他是我所心爱的。
12Sasa namrudisha kwako, naye ni kama moyo wangu mimi mwenyewe.
13我本来想把他留在我这里,使他在我为福音被囚禁时,可以替你服事我。
13Ningependa akae nami hapa anisaidie badala yako wakati niwapo kifungoni kwa sababu ya Habari Njema.
14但还没有得到你的同意,我就不愿意这样作,好叫你的善行不是出于勉强,而是出于甘心。
14Lakini sitafanya chochote bila kibali chako. Sipendi kukulazimisha unisaidie, kwani wema wako unapaswa kutokana na hiari yako wewe mwenyewe na si kwa kulazimika.
15也许他暂时离开你,正是为了使你永远得着他,
15Labda Onesimo aliondoka kwako kwa kitambo tu, kusudi uweze tena kuwa naye daima.
16不再是奴仆,而是高过奴仆,是亲爱的弟兄。对我固然是这样,对你来说,不论按肉身或在主内的关系,更是这样。
16Na sasa yeye si mtumwa tu, ila ni bora zaidi ya mtumwa: yeye ni ndugu yetu mpenzi. Na wa maana sana kwangu mimi, na kwako atakuwa wa maana zaidi kama mtumwa na kama ndugu katika Bwana.
17所以,你要是把我看作同伴,就接纳他好像接纳我一样。
17Basi, ikiwa wanitambua mimi kuwa mwenzako, mpokee tena kama vile ungenipokea mimi mwenyewe.
18如果他使你受了损失,或欠你什么,都记在我的帐上。
18Kama alikuwa amekukosea kitu, au alikuwa na deni lako, basi, unidai mimi.
19“我必偿还”,这是我保罗亲手写的。用不着我说,甚至你的生命,你也是欠我的。
19Naandika jambo hili kwa mkono wangu mwenyewe: Mimi Paulo nitalipa! (Tena sina haja ya kusema kwamba wewe unalo deni kwangu la nafsi yako.)
20所以弟兄啊!让我在主里得到你的帮助,使我的心在基督里得着畅快。
20Haya, basi, ndugu yangu, nifanyie jambo hilo kwa ajili ya jina la Bwana; burudisha moyo wangu kama ndugu katika Kristo.
21我深信你会听从,也知道你所作的必超过我所说的,因此才写信给你。
21Naandika nikitumaini kwamba utanikubalia ombi langu; tena najua kwamba utafanya hata zaidi ya haya ninayokuomba.
22同时,还请你为我预备住的地方,因为我盼望借着你们的祷告,可以获得释放到你们那里去。
22Pamoja na hayo, nitayarishie chumba kwani natumaini kwamba kwa sala zenu, Mungu atanijalia niwatembeleeni.
23问候的话为基督耶稣的缘故和我一同坐监的以巴弗,
23Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.
24以及我的同工马可、亚里达古、底马、路加都问候你。
24Nao akina Marko, Aristarko, Dema na Luka, wafanyakazi wenzangu, wanakusalimu.
25愿主耶稣基督的恩惠常与你们同在。(“与你们同在”原文作“与你们的心灵同在”;好些抄本在这书末有“阿们”一词。)
25Nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.