1生命的活水
1Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane.
2(其实不是耶稣亲自施洗,而是他的门徒施洗),
2(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
3就离开了犹太,再往加利利去。
3Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;
4他必须经过撒玛利亚。
4na katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria.
5于是到了撒玛利亚的一座城,名叫叙加;这城靠近雅各给他儿子约瑟的那块地。
5Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu.
6在那里有雅各井。耶稣因为旅途疲倦了,就坐在井旁;那时大约正午。
6Mahali hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, naye Yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
7有一个撒玛利亚妇人来打水。耶稣对她说:“请给我水喝。”
7Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, "Nipatie maji ninywe."
8那时,他的门徒都进城买食物去了。
8(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
9撒玛利亚妇人对耶稣说:“你是犹太人,怎么向我,一个撒玛利亚妇人要水喝呢?”(原来犹太人和撒玛利亚人不相往来。)
9Lakini huyo mwanamke akamwambia, "Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba maji?" (Wayahudi hawakuwa na ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu.)
10耶稣回答她:“你若知道 神的恩赐,和对你说‘请给我水喝’的是谁,你必早已求他,他也必早把活水赐给你了。”
10Yesu akamjibu, "Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekwambia: Nipatie maji ninywe, ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yaliyo hai."
11妇人说:“先生,你没有打水的器具,井又深,你从哪里得活水呢?
11Huyo mama akasema, "Mheshimiwa, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yaliyo hai?
12我们的祖先雅各把这口井留给我们,他自己和子孙以及牲畜都喝这井的水,难道你比他还大吗?”
12Au, labda wewe wajifanya mkuu kuliko babu yetu Yakobo? Yeye alitupa sisi kisima hiki; na yeye mwenyewe, watoto wake na mifugo yake walikunywa maji ya kisima hiki."
13耶稣回答:“凡喝这水的,还要再渴;
13Yesu akamjibu, "Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
14人若喝我所赐的水,就永远不渴。我所赐的水要在他里面成为涌流的泉源,直涌到永生。”
14Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele."
15妇人说:“先生,请把这水赐给我,使我不渴,也不用来这里打水。”
15Huyo mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, nipe maji hayo ili nisione kiu tena; nisije tena mpaka hapa kuteka maji."
16必须用心灵按真理敬拜 神耶稣说:“你去,叫你的丈夫,然后回到这里来。”
16Yesu akamwambia, "Nenda ukamwite mumeo uje naye hapa."
17妇人对他说:“我没有丈夫。”耶稣说:“你说‘没有丈夫’是不错的。
17Huyo mwanamke akamwambia, "Mimi sina mume." Yesu akamwambia, "Umesema kweli, kwamba huna mume.
18你以前有五个丈夫,现在有的并不是你的丈夫;你说这话是真的。”
18Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli."
19妇人说:“先生,我看出你是先知。
19Huyo Mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, naona ya kuwa wewe u nabii.
20我们的祖先在这山上敬拜 神,而你们却说,敬拜的地方必须在耶路撒冷。”
20Babu zetu waliabudu juu ya mlima huu, lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu ni kule Yerusalemu."
21耶稣说:“妇人,你应当信我,时候将到,那时你们敬拜父,不在这山上,也不在耶路撒冷。
21Yesu akamwambia, "Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala kule Yerusalemu.
22你们敬拜你们所不知道的,我们却敬拜我们所知道的,因为救恩是从犹太人出来的。
22Ninyi Wasamaria mnamwabudu yule msiyemjua, lakini sisi tunamjua huyo tunayemwabudu, kwa maana wokovu unatoka kwa Wayahudi.
23然而时候将到,现在就是了,那用心灵按真理敬拜父的,才是真正敬拜的人;因为父在寻找这样敬拜他的人。
23Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka.
24 神是灵,敬拜他的必须用心灵按真理敬拜他。”
24Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."
25妇人说:“我知道那称为基督的弥赛亚要来;他来了,要把一切都告诉我们。”
25Huyo mama akamwambia, "Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu."
26耶稣说:“我这现在跟你说话的就是他。”
26Yesu akamwambia, "Mimi ninayesema nawe, ndiye."
27正在这时候,门徒回来了,见耶稣和一个妇人说话,就很希奇;但是没有人问:“你要什么?”或说:“你为什么跟她说话?”
27Hapo wanafunzi wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. Lakini hakuna mtu aliyesema: "Unataka nini?" au, "Kwa nini unaongea na mwanamke?"
28那妇人撇下了她的水罐,进到城里去,对众人说:
28Huyo mama akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu,
29“你们来,看看一个人,他把我所作的一切都说出来,难道这人就是基督吗?”
29"Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?"
30众人就出城,往耶稣那里去。
30Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.
31庄稼已经熟了当时,门徒对耶稣说:“拉比,请吃。”
31Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: "Mwalimu, ule chakula."
32耶稣说:“我有食物吃,是你们所不知道的。”
32Lakini Yesu akawaambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi."
33门徒就彼此说:“难道有人拿东西给他吃了吗?”
33Wanafunzi wake wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?"
34耶稣说:“我的食物就是遵行差我来者的旨意,并且完成他的工作。
34Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.
35你们不是说‘还有四个月才到收获的时候’吗?我告诉你们,举目向田观看,庄稼已经熟了,可以收割了。
35Ninyi mwasema: Bado miezi minne tu, na wakati wa mavuno utafika! Lakini mimi nawaambieni, yatazameni mashamba; mazao yako tayari kuvunwa.
36收割的人得到工资,也积储五谷直到永生,使撒种的和收割的一同快乐。
36Mvunaji anapata mshahara wake, na anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele; hivyo mpandaji na mvunaji watafurahi pamoja.
37‘这人撒种,那人收割’,这话是真的。
37Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: Mmoja hupanda na mwingine huvuna.
38我派你们去收割你们所没有劳苦的;别人劳苦,你们却享受他们劳苦的成果。”
38Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao."
39因着那妇人作见证的话:“他把我所作的一切都说出来了”,那城里就有许多撒玛利亚人信了耶稣。
39Wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: "Ameniambia mambo yote niliyofanya."
40于是他们来到耶稣那里,求他和他们同住,耶稣就在那里住了两天。
40Wasamaria walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili.
41因着耶稣的话,信他的人就更多了。
41Watu wengi zaidi walimwamini kwa sababu ya ujumbe wake.
42他们就对那妇人说:“现在我们信,不再是因为你的话,而是因为我们亲自听见了,知道这位真是世人的救主。”
42Wakamwambia yule mama, "Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu."
43治好大臣的儿子两天之后,耶稣离开那里,往加利利去。
43Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
44耶稣自己说过:“先知在本乡是不受尊敬的。”
44Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "Nabii hapati heshima katika nchi yake."
45耶稣到了加利利的时候,加利利人都欢迎他,因为他们曾经上耶路撒冷去过节,见过他所行的一切。
45Basi, alipofika Galilaya, Wagalilaya wengi walimkaribisha. Maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya Pasaka, wakayaona mambo yote Yesu aliyotenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
46耶稣又到了加利利的迦拿,就是他变水为酒的地方。有一个大臣,他的儿子在迦百农患病。
46Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu.
47他听见耶稣从犹太到了加利利,就来见他,求他下去医治他的儿子,因为他的儿子快要死了。
47Basi, huyo ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika Galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
48耶稣对他说:“你们若看不见神迹奇事,总是不肯信。”
48Yesu akamwambia, "Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!"
49大臣说:“先生,求你趁我的孩子还没有死就下去吧!”
49Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa."
50耶稣告诉他:“回去吧,你的儿子好了。”那人信耶稣对他说的话,就回去了。
50Yesu akamwambia, "Nenda tu, mwanao yu mzima." Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake.
51正下去的时候,他的仆人迎着他走来,说他的孩子好了。
51Alipokuwa bado njiani, watumishi wake walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima.
52他就向仆人查问孩子是什么时候好转的。他们告诉他:“昨天下午一点钟,热就退了。”
52Naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, "Jana saa saba mchana, homa ilimwacha."
53这父亲就知道,那正是耶稣告诉他“你的儿子好了”的时候,他自己和全家就信了。
53Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: "Mwanao yu mzima." Basi, yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote.
54这是耶稣从犹太回到加利利以后所行的第二件神迹。
54Hii ilikuwa ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipokuwa anatoka Yudea kwenda Galilaya.