聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

Matthew

22

1婚筵的比喻(路14:16-24)
1Yesu alisema nao tena kwa kutumia mifano:
2“天国好像一个王,为儿子摆设婚筵。
2"Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.
3他派仆人去叫被邀请的人来参加婚筵。但他们不肯来。
3Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje arusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.
4他再派另一些仆人去,说:‘你们告诉被邀请的人,我已经预备好了筵席,公牛和肥畜已经宰了,一切都预备妥当。来参加婚筵吧!’
4Akawatuma tena watumishi wengine, akisema, Waambieni wale walioalikwa: karamu yangu iko tayari sasa; fahali wangu na ng'ombe wanono wamekwisha chinjwa; kila kitu ni tayari, njoni arusini.
5但那些人却不理会就走了;有的去耕田,有的去作买卖,
5Lakini wao hawakujali, wakaenda zao; mmoja shambani kwake, mwingine kwenye shughuli zake,
6其余的抓住王的仆人,凌辱他们,并且把他们杀了。
6na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.
7王就发怒,派兵消灭那些凶手,焚毁他们的城。
7Yule mfalme akakasirika, akawatuma askari wake wakawaangamize wauaji hao na kuuteketeza mji wao.
8然后对仆人说:‘婚筵已经预备好了,只是被邀请的人不配。
8Kisha akawaambia watumishi wake: Karamu ya arusi iko tayari kweli, lakini walioalikwa hawakustahili.
9所以你们要到大路口,凡遇见的,都请来参加婚筵。’
9Basi, nendeni kwenye barabara na wowote wale mtakaowakuta waiteni waje arusini.
10“那些仆人就走到街上,把所有遇见的,不论好人坏人,都招聚了来,婚筵上就坐满了人。
10Wale watumishi wakatoka, wakaenda njiani, wakawaleta watu wote, wabaya na wema. Nyumba ya arusi ikajaa wageni.
11王进来与赴筵的人见面,看见有一个人没有穿着婚筵的礼服,
11"Mfalme alipoingia kuwaona wageni, akamwona mtu mmoja ambaye hakuvaa mavazi ya arusi.
12就对他说:‘朋友,你没有婚筵的礼服,怎能进到这里来呢?’他就无话可说。
12Mfalme akamwuliza, Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la arusi? Lakini yeye akakaa kimya.
13于是王对侍从说:‘把他的手和脚都绑起来,丢到外面的黑暗里,在那里必要哀哭切齿。’
13Hapo mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni miguu na mikono mkamtupe nje gizani; huko atalia na kusaga meno."
14因为被召的人多,选上的人少。”
14Yesu akamaliza kwa kusema, "Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa."
15以纳税的事问难耶稣(可12:13-17;路20:20-26)法利赛人就去商量,怎样找耶稣的话柄来陷害他。
15Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.
16他们派了自己的门徒和希律党的人一同去问耶稣:“老师,我们知道你为人诚实,照着真理把 神的道教导人,不顾忌任何人,因为你不徇情面。
16Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha Herode. Wakamwuliza, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya Mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako.
17请把你的意见告诉我们,纳税给凯撒,可不可以呢?”
17Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa Kaisari?"
18耶稣看出他们的恶意,就说:“虚伪的人,为什么试探我呢?
18Lakini Yesu alitambua uovu wao, akawaambia, "Enyi
19拿纳税的钱币给我看看。”他们就拿了一个银币给他。
19Nionyesheni fedha ya kulipia kodi." Nao wakamtolea sarafu ya fedha. sarafu ya fedha.
20耶稣问他们:“这是谁的像,谁的名号?”
20Basi, Yesu akawauliza, "Sura na chapa hii ni ya nani?"
21他们回答:“凯撒的。”他就对他们说:“凯撒的应当归给凯撒, 神的应当归给 神。”
21Wakamjibu, "Ni vya Kaisari." Hapo Yesu akawaambia, "Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu."
22他们听了,十分惊奇,就离开他走了。
22Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao.
23人复活后不娶不嫁(可12:18-27;路20:27-40)撒都该人向来认为没有复活的事。那一天,他们前来问耶稣:
23Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo walimwendea Yesu. Hao ndio wale wasemao kwamba wafu hawafufuki.
24“老师,摩西说:‘如果一个人死了,没有儿女,他的弟弟应该娶他的妻子,为哥哥立后。’
24Basi, wakamwambia, "Mwalimu, Mose alisema mtu aliyeoa akifa bila kuacha watoto, lazima ndugu yake amwoe huyo mama mjane, amzalie ndugu yake watoto.
25从前我们这里有兄弟七人,头一个结了婚,没有孩子就死了,留下妻子给他的弟弟。
25Sasa, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.
26第二个、第三个直到第七个都是这样。
26Ikawa vivyo hivyo kwa ndugu wa pili, na wa tatu, mpaka wa saba.
27最后,那女人也死了。
27Baada ya ndugu hao wote kufa, akafa pia yule mama.
28那么,复活的时候,她是这七个人中哪一个的妻子呢?因为他们都娶过她。”
28Je, siku wafu watakapofufuka mama huyo atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale ndugu saba? Maana Wote saba walimwoa."
29耶稣回答他们:“你们错了,因为你们不明白圣经,也不晓得 神的能力。
29Yesu akawajibu, "Kweli mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu!
30复活的时候,人们也不娶也不嫁,而是像天上的使者一样。
30Maana wafu watakapofufuliwa hawataoa wala kuolewa, watakuwa kama malaika mbinguni.
31关于死人复活的事, 神对你们讲过:‘我是亚伯拉罕的 神,以撒的 神,雅各的 神’,你们没有念过吗? 神不是死人的 神,而是活人的 神。”
31Lakini kuhusu suala la wafu kufufuka, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu?
32
32Aliwaambia, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai."
33群众听了他的教训,就十分诧异。
33Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.
34最重要的诫命(可12:28-31)法利赛人听见耶稣使撒都该人无话可说,就聚集在一起。
34Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.
35他们中间有一个律法家,试探耶稣说:
35Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza Yesu kwa kumjaribu,
36“老师,律法中哪一条诫命是最重要的呢?”
36"Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika Sheria ya Mose?"
37他回答:“你要全心、全性、全意爱主你的 神。
37Yesu akamjibu, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote.
38这是最重要的第一条诫命。
38Hii ndiyo amri kuu ya kwanza.
39第二条也和它相似,就是要爱人如己。
39Ya pili inafanana na hiyo: Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.
40全部律法和先知书,都以这两条诫命作为根据。”
40Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili."
41基督是大卫的子孙(可12:35-37;路20:41-44)法利赛人聚在一起的时候,耶稣问他们:
41Mafarisayo walipokusanyika pamoja, Yesu aliwauliza,
42“你们对基督的看法怎样?他是谁的子孙呢?”他们回答:“大卫的子孙。”
42"Ninyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?" Wakamjibu, "Wa Daudi."
43耶稣就说:“那么大卫被圣灵感动,怎么会称他为主呢?他说:
43Yesu akawaambia, "Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema:
44‘主对我的主说:你坐在我的右边,等我把你的仇敌放在你的脚下。’
44Bwana alimwambia Bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako.
45“大卫既然称他为主,他怎么又是大卫的子孙呢?”
45Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo Bwana, anawezaje kuwa mwanawe?"
46没有人能够回答他。从那天起,也没有人敢再问他。
46Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.