聖經新譯本 (Simplified)

Swahili: New Testament

Revelation

3

1给撒狄教会的信
1"Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye na roho saba za Mungu na nyota saba. Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa!
2你要警醒,把那些剩下来将要死的坚强起来;因为我见你的行为在我 神面前是不完全的。
2Amka! Imarisha chochote chema kilichokubakia kabla nacho hakijatoweka kabisa. Maana, mpaka sasa, sijayaona matendo yako kuwa ni makamilifu mbele ya Mungu wangu.
3所以,你应当回想你是怎样领受、怎样听见的;应该遵守,也应该悔改。你若不警醒,我就要像贼来到一样。我什么时候来到你那里,你决不能知道。
3Kumbuka, basi, yale uliyofundishwa na jinsi ulivyoyasikia, uyatii na ubadili nia yako mbaya. Usipokesha nitakujia ghafla kama mwizi, na wala hutaijua saa nitakapokujia.
4然而在撒狄你还有几名是未曾玷污自己衣服的,他们要身穿白衣与我同行;因为他们是配得上的。
4Lakini wako wachache huko Sarde ambao hawakuyachafua mavazi yao. Hao wanastahili kutembea pamoja nami wakiwa wamevaa mavazi meupe.
5得胜的,也必这样身穿白衣,我决不从生命册上涂抹他的名,我还要在我父和他的众天使面前,承认他的名。
5"Wale wanaoshinda, watavikwa mavazi meupe kama hao. Nami sitayafuta majina yao kutoka katika kitabu cha uzima; tena nitawakiri kwamba ni wangu mbele ya Baba yangu na mbele ya malaika wake.
6圣灵向众教会所说的话,有耳的就应当听。’
6"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
7给非拉铁非教会的信“你要写信给在非拉铁非教会的使者,说:‘那圣洁的、真实的,拿着大卫的钥匙,开了就没有人能关,关了就没有人能开的(“拿着大卫的钥匙......没有人能开的”引自赛22:22),这样说:
7"Kwa malaika wa kanisa la Filadelfia andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aliye mtakatifu na wa kweli, ambaye anao ule ufunguo wa Daudi, na ambaye hufungua na hakuna mtu awezaye kufungua.
8我知道你的行为,看哪!我已经在你面前给你一道开着的门,是没有人能关的;因为你有一点点力量,也遵守我的道,没有否认我的名。
8Nayajua mambo yako yote! Sasa, nimefungua mbele yako mlango ambao hakuna mtu awezaye kuufunga; najua kwamba ingawa huna nguvu sana, hata hivyo, umezishika amri zangu, umelitii neno langu wala hukulikana jina langu.
9看哪!从撒但的一党,就是自称是犹太人,其实不是犹太人,而是说谎的人中,我要使他们一些人来在你脚前下拜,并且知道我已经爱了你。
9Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe ni wadanganyifu. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako wapate kujua kwamba kweli nakupenda wewe.
10你既然遵守了我忍耐的道,我也必定保守你脱离那试炼的时候;这就是那将要临到普天下,来试炼住在地上的人的时候。
10Kwa kuwa wewe umezingatia agizo langu la kuwa na uvumilivu, nami pia nitakutegemeza salama wakati ule wa dhiki inayoujia ulimwengu mzima kuwajaribu wote wanaoishi duniani.
11我必快来!你要持守你所有的,不要让人拿走你的冠冕。
11Naja kwako upesi! Linda, basi, ulicho nacho sasa, ili usije ukanyang'anywa na mtu yeyote taji yako ya ushindi.
12得胜的,我要叫他在我 神的圣所里作柱子,他决不再出去,我也要把我 神的名,和我 神的城的名,就是那从天上、从我 神那里降下来的新耶路撒冷,以及我的新名,都写在他身上。
12"Wale wanaoshinda nitawafanya wawe minara katika Hekalu la Mungu wangu, na hawatatoka humo kamwe. Pia nitaandika juu yao jina la Mungu wangu na jina la mji wa Mungu wangu, yaani Yerusalemu mpya, mji ambao utashuka kutoka juu mbinguni kwa Mungu wangu. Tena nitaandika juu yao jina langu jipya.
13圣灵向众教会所说的话,有耳的就应当听。’
13"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!
14给老底嘉教会的信“你要写信给在老底嘉教会的使者,说:‘那位阿们的,忠信真实的见证人, 神创造万有的根源,这样说:
14"Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: "Huu ndio ujumbe kutoka kwake yeye aitwaye Amina. Yeye ni shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu.
15我知道你的行为,你不冷也不热;我巴不得你或冷或热。
15Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo: baridi au moto.
16因为你好像温水,不热也不冷,所以我要把你从我口中吐出去。
16Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika!
17你说:我是富足的,已经发了财,毫无缺乏。却不知你是困苦的、可怜的、贫穷的、瞎眼的、赤身的。
17Wewe unajisema, Mimi ni tajiri; ninajitosheleza, sina haja ya kitu chochote. Kumbe, hujui kwamba wewe ni mnyonge, unahitaji kuhurumiwa, maskini, kipofu tena uko uchi!
18我劝你向我买精炼的金子,使你富足;又买白衣穿上,使你赤身的羞耻不会显露出来;也买眼药膏抹你的眼睛,使你可以看见。
18Nakushauri ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto upate kuwa tajiri kweli. Tena afadhali ununue pia vazi jeupe, uvae na kufunika aibu ya uchi wako. Nunua pia mafuta ukapake machoni pako upate kuona.
19凡是我所爱的,我就责备管教;所以你要热心,也要悔改。
19Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo kaza moyo, achana na dhambi zako.
20看哪!我站在门外敲门;如果有人听见我的声音就开门的,我要进到他那里去,我要跟他在一起,他也要跟我在一起吃饭。
20Sikiliza! Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia nyumbani kwake na kula chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami.
21得胜的,我必定赐他和我一同坐在我的宝座上,正像我得了胜和我父一同坐在他的宝座上一样。
21"Wale wanaoshinda nitawaketisha pamoja nami juu ya kiti changu cha enzi, kama vile mimi mwenyewe nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu juu ya kiti chake cha enzi.
22圣灵向众教会所说的话,有耳的就应当听。’”
22"Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!"