Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Acts

12

1YA ayoja na tiempo, y ray Herodes jaestira y canaeña para unafanlamen palo gui taotao iglesia.
1Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.
2Ya japuno si Santiago chelun Juan ni y espada.
2Alimwua kwa upanga Yakobo ndugu yake Yohane.
3Ya anae jalie na ninafanmagof y Judios, jasigue para ucone si Pedro locue. Ya ayo y jaanen y pan sin lebadura?
3Alipoona kuwa kitendo hiki kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu.)
4Ya anae macone güe, japolo gui calaboso, ya jaentrega y diesisaes na sendalo para upinilan; majasusuye na despues di y pascua umaconie y taotao sija.
4Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka.
5Enao mina si Pedro mapongle gui calaboso: lao y iglesia ti pumapara manmanayuyut as Yuus pot güiya.
5Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
6Ya anae si Herodes canaja quinene gue, güijeja na puenge anae estaba si Pedro na mamaego gui entalo y dos sendalo, ya magogode ni dos na cadena: ya y manmamumulan gui menan y petta, mapupulan y calaboso:
6Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
7Ya estagüe, un angjet y Señot tumotojgue gui oriyaña, ya y candet manina gui jalom y cuatton calaboso: ya japanag si Pedro gui calaguagña ya yinajo, ilegña: Cajulo laguse, ya y cadenaña manbasnag guinin y canaeña.
7Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa akisema, "Amka upesi!" Mara ile minyororo ikaanguka kutoka katika mikono yake.
8Ya y angjet ilegña nu güiya: Dudog jao ya gode y dogamo: ya taegüenao finatinasña. Ya y angjet ilegña nu güiya: Polo y magagumo guiya jago, ya dalalagyo.
8Malaika akamwambia, "Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako." Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, "Vaa koti lako, unifuate."
9Ya jumanao juyong ya jadalalag, ya ti jatungo ayo cao magajet y finatinas y angjet; lao jinasoña na manlie güe vision.
9Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
10Ya anae manmalofan gui finenana yan y mina dos na guatdia, manmato gui trangcan lulug ni y dumalalalaque y siuda; ni y mababa para sija sin jafa; ya manjanao juyong ya manmalofan gui inanaco un chalan; ya enseguidas jumanao y angjet guiya güiya.
10Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.
11Ya anae esta manungo talo si Pedro, ilegña: Pago nae jutungo na magajet na y Señot jatago y angjetna, na unalibreyo gui canae Herodes, yan todo y ninanggan y taotao y Judios.
11Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, "Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa kutoka katika mkono wa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia."
12Ya anae jajaso este na güinaja, mato gui guima Maria nanan Juan, ni y apiyiduña Marcos; anae megae mandadaña ya manmananayuyut.
12Alipotambua hivyo alikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Maria mama yake Yohane aitwaye Marko. Humo watu wengi walikuwa wamekusanyika wakisali.
13Ya anae manyajo si Pedro gui pettan y trangca, un patgon na palaoan mato para umaope, na y naanña si Rode.
13Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.
14Ya anae jatungo na y inagang Pedro, ti jababa y trangca pot y minagofña, lao malago jalom ya mansinangane na tumotojgue si Pedro gui menan y trangca.
14Huyo msichana aliitambua sauti ya Petro akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule mlango, akakimbilia ndani na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama nje mlangoni.
15Ya ilegñija nu guiya: Esta jao caduca. Lao güiya ilelegñaja: Junggan, magajet taegüenao. Ayonae sija ilegñija: Ayo y angjetña.
15Wakamwambia yule msichana, "Una wazimu!" Lakini yeye akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, "Huyo ni malaika wake."
16Lao si Pedro, sisigueja di manyajo: ya anae jababa malie güe, ya ninafansenlujan.
16Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
17Lao mansineñas as Pedro ni y canaeña na ufamacaca, ya mansinangane jaftaemano y Señot anae quinene güe juyong gui calaboso. Ya ilegña: Janao ya unsangane si Santiago ni este sija na güinaja, yan y mañelo. Ya mapos ya malag y otro lugat.
17Petro aliwaashiria kwa mkono wakae kimya, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa gerezani. Kisha akawaambia watoe taarifa ya jambo hilo kwa Yakobo na wale ndugu wengine, halafu akatoka akaenda mahali pengine.
18Ya enseguidas qui manana, ti didide na atboroto gui sendalo sija, manggue si Pedro.
18Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.
19Ya anae jaaligao si Herodes si Pedro ya ti jasoda, janafanmaegsamina y manmanmamumulan ya manago na ufanmapuno. Ya jumanao papa guinin Judea para Sesarea, ya sumaga güije.
19Herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. Hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. Halafu akatoka huko Yudea akaenda Kaisarea ambako alikaa.
20¶ Ya si Herodes gosdangculo binibuña ni y taotao Tiro yan Sidon: lao si ja mandaña un jinasoja para iya güiya, ya manatungo yan Blasto ni y camareron y ray, sa amigonñija, ya manmangagao pas; sa y tanoñija manminantietiene ni y tano y ray.
20Herode alikasirishwa sana na watu wa Tiro na Sidoni. Lakini wao walimpelekea wajumbe. Nao wakafaulu kwanza kumpata Blasto awe upande wao. Blasto alikuwa msimamizi mkuu wa ikulu ya mfalme. Kisha, wakamwendea Herode wakamwomba kuwe na amani, kwa maana nchi yao ilitegemea nchi ya mfalme kwa chakula.
21Ya un tinancho na jaane, minagago si Herodes ni y magagon ray, ya matachong gui tronuña, ya jacuentuse sija un sinangan.
21Siku moja iliyochaguliwa, Herode akiwa amevaa mavazi rasmi na kuketi katika kiti cha kifalme aliwahutubia watu.
22Ya managang y taotao sija, ilegñija: Inagang un yuus, ti inagang taotao.
22Wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, "Hii ni sauti ya mungu, si ya mtu."
23Ya enseguidas pinada ni y angjet y Señot, sa ti janae si Yuus minalag: ya quinano ni ilo ya matae.
23Papo hapo malaika wa Bwana akamwangusha Herode chini kwa sababu hakumpa Mungu hizo sifa. Akaliwa na wadudu, akafa.
24Lao y sinangan Yuus lumadangculo yan mumemegae.
24Neno la Mungu likazidi kuenea na kukua.
25Ya si Barnabé yan Saulo, tumalo guato guinin Jerusalem, anae munjayan y ministroñija, yan jacocone mañisija si Juan y apiyiduña Marcos.
25Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena Yerusalemu wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko.