1YA manmato palo taotao sija guinin Judea, ya jafanagüe y mañelo ilegñija: Yaguin ti manmasirconsida jamyo taemano y costumbren Moises, ti siña jamyo mansatbo.
1Basi, watu wengine walifika Antiokia kutoka Yudea wakaanza kuwafundisha wale ndugu wakisema, "Kama hamtatahiriwa kufuatana na mapokeo ya Sheria ya Mose, hamtaweza kuokolewa."
2Ya anae megae na inaguaguat yan finaesen as Pablo yan Barnabé yan sija, y maneio jaayeg si Pablo yan si Barnabé, yan palo guiya sija, para ujafanjanao julo Jerusalem guiya apostoles yan manamco pot este na finaesen.
2Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya Paulo na Barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la Antiokia waende Yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
3Enao mina anae manmaesgaejon ni y iglesia gui jinanaoñija, manmalofan y inanaco Finesia, yan Samaria, ya masasangan claro y manmañotsot y Gentiles; ya ninafangosmagof y mañelo todos.
3Basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia Foinike na Samaria waliwaeleza watu jinsi mataifa mengine yalivyomgeukia Mungu. Habari hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote.
4Ya anae manmato Jerusalem, manmaresibe gui iglesia yan y apostoles, yan y manamco; ya jadeclara todo y finatinas Yuus pot sija.
4Walipofika Yerusalemu walikaribishwa na kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.
5Lao mangajulo güije palo sija y inetnon Fariseo ni y manmanjonggue, ya ilegnija: Nesesita ufanmasirconsida sija, yan ufanmatago ya ujaadaje y tinago Moises.
5Lakini waumini wengine waliokuwa wa kikundi cha Mafarisayo walisimama, wakasema, "Ni lazima watu wa mataifa mengine watahiriwe na kufundishwa kuifuata Sheria ya Mose."
6Ya mandaña y apostoles yan y manamco para ujajasuye este.
6Basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalum wa kuchunguza jambo hilo.
7Ya anae esta megae na finaesen, cumajulo si Pedro ya ilegña nu sija: Mañelo lalaje, intingoja jafa na manayeg si Yuus guiya jamyo, apmam na tiempo, na y Gentiles ujajungog y sinangan y ibangelio pot y pachotjo, ya ujajonggue.
7Baada ya majadiliano marefu, Petro alisimama, akasema, "Ndugu zangu, ninyi mnafahamu kwamba hapo awali Mungu alipenda kunichagua mimi miongoni mwenu niihubiri Habari Njema, ili watu wa mataifa wapate kusikia na kuamini.
8Yan si Yuus, ni y tumungo y corason, janafantestigo sija, yan janae ni y Espiritu Santo, jaftaemanoja y jafatinas guiya jita;
8Naye Mungu anayejua mioyo ya watu, alithibitisha kwamba amewakubali kwa kuwapa nao Roho Mtakatifu kama alivyotupa sisi.
9Ya taya japolo dinesparejo entre sija yan jita, janafangasgas y corasonñija ni y jinenggue.
9Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.
10Ya jafa pago mina intietienta si Yuus, para inpelo y yugo gui agaga y disipulo sija, na ni y mañaenata ni jita tisiña jacatga?
10Sasa basi, kwa nini kumjaribu Mungu kwa kuwatwika hao waumini mzigo ambao wala babu zetu, wala sisi hatukuweza kuubeba?
11Lao tajonggue na pot y grasian y Señot Jesus utafansatbo, taegüije iya sija.
11Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tunaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu."
12¶ Ayonae manmamatquilo todo y linajyan taotao, ya maatituye si Pablo yan Barnabé ni y jasasangan y señot sija yan y mannamanman jafatinas si Yuus gui entalo Gentiles pot sija.
12Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza miujiza na maajabu ambayo Mungu alitenda kwa mikono yao kati ya watu wa mataifa mengine.
13Ya anae manmamatquilo, manope si Santiago ilegña: Mañelo lalaje, ecungogyo.
13Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: "Ndugu zangu, nisikilizeni!
14Jasangan si Simeon jaftaemano si Yuus ni y jabisita finena y Gentiles, para ufangone guiya sija taotao para y naanña.
14Simoni ameeleza jinsi Mungu hapo awali alivyojishughulisha na watu wa mataifa mengine, akachagua baadhi yao wawe watu wake.
15Yan pot este na manparejo y sinangan y profeta sija, ni y esta manmatugue:
15Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama Maandiko Matakatifu yasemavyo:
16Anae esta munjayan estesija, jutalo mague, ya jujatsa y tabernaculon David, ni y podong; yan jujatsa talo y manmayulang güije, yan juplanta julo;
16Baada ya mambo haya nitarudi. Nitaijenga tena ile nyumba ya Daudi iliyoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kuijenga tena.
17Para y manetenjan na taotao, ujaaligao yi Señot, yan todo y Gentiles ni y umafanaan y naanjo.
17Hapo watu wengine wote, watu wa mataifa yote niliowaita wawe wangu, watamtafuta Bwana.
18Ilegña y Señot ni y janamatungo estesija desde y tutujon y tano.
18Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale.
19Enaomina y jinasoco taegüine, na mungajit umatborota ayo sija y manguinin y entalo y Gentiles, ya jabira sija para as Yuus.
19"Kwa hiyo, uamuzi wangu ni huu: tusiwataabishe watu wa mataifa wanomgeukia Mungu.
20Lao utatuguie sija, ya ujafañuja gui pinetlilon y idolos, yan y inábale, yan y neñicot na gâgâ, yan y jâgâ.
20Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa najisi kwa kutambikiwa sanamu za miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.
21Sa si Moises gui manmalofan na generasion, guaja gui cada siuda para ufanpredica güe ya utaetae layña gui sinagoga cada sabado na jaane.
21Kwa maana kwa muda mrefu maneno ya Mose yamekuwa yakihubiriwa katika kila mji na kusomwa katika masunagogi yote kila siku ya Sabato."
22Ayonae yañija y apostoles yan y manamco yan todo y iglesia, na umanafanjanao y manmaayeg na taotao gui inetnonñija para Antioquia para ufañija yan si Pablo yan Barnabé; y naanñija, si Judas y apiyiduña Barsabas, yan si Silas, manmagas na taotao sija gui entre y mañelo:
22Mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Basi, wakamchagua Yuda aitwaye pia Barsaba, na Sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
23Ya manmangue carta pot sija, taegüine: Y apostoles yan manamco na mañelo, jasaluda y mañelo na Gentiles ni y mangaegue guiya Antioquia yan Siria yan Silisia:
23Wakawapa barua hii: "Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko Antiokia, Siria na Kilikia.
24Sa injingog na palo ni y manjanao guinin iya jame, maninatborota jamyo ni y sinangan, janataelaye y antenmiyo; lao ti manmannae jam ni enao na tinago:
24Tumesikia kwamba watu wengine kutoka huku kwetu waliwavurugeni kwa maneno yao, wakaitia mioyo yenu katika wasiwasi. Lakini wamefanya hivyo bila ya idhini yoyote kutoka kwetu.
25Jinasonmame na mandañajam unoja, para innafanjanao y manmaayeg na taotao para jamyo, yan y güinaeyanmame as Pablo yan Barnabé,
25Hivyo, tumeamua kwa pamoja kuwachagua watu kadhaa na kuwatuma kwenu pamoja na wapenzi wetu Barnaba na Paulo,
26Taotao sija na janapeligro y jaanenñija pot y naan y Señot Jesucristo.
26ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
27Enaomina innajanao si Judas yan Silas, ni y infansinangane locue ni y pachotñija taegüineja.
27Kwa hiyo, tunawatuma Yuda na Sila kwenu; hawa watawaambieni wao wenyewe haya tuliyoandika.
28Sa y jinason y Espiritu Santo, yan jame, na munga mapolo gui jilomiyo mas dangculo na catga qui y manesesita.
28Basi, Roho Mtakatifu na sisi tumekubali tusiwatwike mzigo zaidi ya mambo haya muhimu:
29Na infañuja gui nengcano ni y manmaofrese y idolos, yan y jâgâ, yan y neñicot na gâgâ, yan y inábale; ya yaguin inadaje jamyo estesija, infatinas mauleg. Adios jamyo todos.
29Msile vyakula vilivyotambikiwa sanamu; msinywe damu; msile nyama ya mnyama aliyenyongwa; na mjiepushe na uasherati. Mtakuwa mmefanya vema kama mkiepa kufanya mambo hayo. Wasalaam!"
30¶ Ya anae manajanao, manmato Antioquia: ya janafandaña y linajyan taotao, maentrega y catta;
30Baada ya kuwaaga, hao wajumbe walielekea Antiokia ambako waliita mkutano wa waumini, wakawapa hiyo barua.
31Ni y anae munjayan mataetae, ninafansenmagof, pot y consuelo.
31Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.
32Ya si Judas yan Silas manprofeta locue, ya japagat y mañelo ni y megae na sinangan, yan janafitme sija.
32Yuda na Sila, ambao nao walikuwa manabii, walizungumza na hao ndugu kwa muda mrefu wakiwatia moyo na kuwaimarisha.
33Ya mañaga güije didide na tiempo, despues manafanjanao en pas ni y mañelo, para y manmatago sija.
33Baada ya kukaa huko kwa muda fulani, ndugu wa Antiokia waliwaaga wakiwatakia amani, kisha wakarudi kwa wale waliokuwa wamewatuma.
34Lao si Silas ninamagof na ufañasagaja güije.
34Lakini Sila aliamua kubaki.
35Si Pablo yan si Barnabé mañasaga gui Antioquia, na mamananagüe, yan manpredidica ni y sinangan y Señot; yan megae palo locue.
35Paulo na Barnaba walibaki huko Antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la Bwana, pamoja na watu wengine wengi.
36¶ Ya anae malofan palo jaane, ilegña si Pablo as Barnabé: Nije tajanao talo ya tabisita ya mañeluta gui cada siuda anae y guinin tapredica y sinangan y Señot, ya utalie jafa chechoñija.
36Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia Barnaba, "Turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la Bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea."
37Ya si Barnabé malago na ujacone gachongñija si Juan, ni y apiyiduña Marcos.
37Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.
38Lao y jinasoña si Pablo, na ti mauleg na ufañija, sa sumuja guiya sija desde Pamfilia, ya ti mandinalalag sija gui checho.
38Lakini Paulo hakupendelea kumchukua Marko, ambaye awali aliwaacha kule Pamfulia na kukataa kushiriki katika kazi yao.
39Ya jumuyong dangculon minaguaguat, ya manadisapatta; ya si Barnabé jacone si Marcos, ya mangama gui batco para Chipre;
39Basi kukatokea ubishi mkali kati yao, na wakaachana. Barnaba akamchukua Marko, wakapanda meli kwenda Kupro.
40Ya si Pablo jayeg si Silas ya mapos, manmaencatga ni y mañelo ni y grasian Yuus.
40Naye Paulo akamchagua Sila, na baada ya ndugu wa mahali hapo kumweka chini ya ulinzi wa neema ya Bwana, akaondoka.
41Ya jumanao todo inanco Siria yan Silisia, janafanfitme y inetnon mangilisyano sija.
41Katika safari hiyo alipitia Siria na Kilikia akiyaimarisha makanisa.