Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

10

1MAGAJET ya magajet y jusangane jamyo, na ti jumalon gui pettan y guelat y quinilo sija, lao ucajulo gui otro lugat, ayo y ladron yan saque.
1Yesu alisema "Kweli nawaambieni, yeyote yule asiyeingia katika zizi la kondoo kwa kupitia mlangoni, bali hupenya na kuingia kwa njia nyingine, huyo ni mwizi na mnyang'anyi.
2Ya y jumalom gui petta, güiya y pastot y quinilo.
2Lakini anayeingia kwa kupitia mlangoni, huyo ndiye mchungaji wa kondoo.
3Ya pot guiya güiya y magas y petta; ya y quinilo sija jajungog y inagangña: ya y gaña quinilo sija jaagang pot y naana, ya jacone sija gui san jiyong.
3Mngoja mlango wa zizi humfungulia, na kondoo husikia sauti yake, naye huwaita kondoo wake kila mmoja kwa jina lake na kuwaongoza nje.
4Anae jacone mapos y todo iyoña sija, güiya jumanao gui sanmenañija: ya quinilo sija madalalag güe, sa matungo y inagangña.
4Akisha watoa nje huwatangulia mbele nao kondoo humfuata, kwani wanaijua sauti yake.
5Lao y taotao juyong, sija ti madalalag güe, lao manmalago guato guinin menaña: sa ti jatungo y inagangña ni taotaoj uyong sija.
5Kondoo hao hawawezi kumfuata mgeni, bali watamkimbia kwa sababu hawaijui sauti yake."
6Este na acomparasion mansinangane as Jesus: lao sija ti jatungo jafa sija mansingane sija.
6Yesu aliwaambia mfano huo, lakini wao hawakuelewa alichotaka kuwaambia.
7¶ Mantinalugua as Jesus ya ilegña nu sija: Magajet ya magajet y jusangane jamyo, na guajo pottan y quinilo sija.
7Basi, akasema tena, "Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.
8Todo y manmamaela antes que guajo, ladron yan saque sija: ya ti manmanjungog y quinilo sija.
8Wale wengine wote waliokuja kabla yangu ni wezi na wanyang'anyi, nao kondoo hawakuwasikiliza.
9Guajo y petta: ya y jumalom guiya guajo, güiya umasatba, y ujalom yan ujuyong ya usoda y pasto.
9Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho.
10Y saque ti umamaela yaguin ti para ufañaque yan ufamuno, yan uyulang; guajo mamaela para uguaja linâlâñija yan para uguaja y dangculo na linâlâñija.
10Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uzima--uzima kamili.
11Guajo y mauleg na pastot: ya y mauleg na pastot y linâlâña japolo pot y quinilo sija.
11"Mimi ni mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo wake.
12Ya y taotao nii maapapase, ya ti pastot; ya ti gaña y quinilo sija, an jalie y lobo ni y mamaela, japolo y quinilo sija ya malago guato; ya y lobo maquinene ya manchinalapon sija quinilo:
12Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwa mwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia. Kisha mbwa mwitu huwakamata na kuwatawanya.
13Malago guato güe sa güiya taotao nii maapapase ya taya inadajiña ni y quinilo sija.
13Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.
14Guajo y mauleg na pastot: sa jutungo y iyoco, ya y iyoco matungo yo.
14Mimi ni mchungaji mwema. Nawajua walio wangu, nao walio wangu wananijua mimi,
15Taegüije y Tata jatungo yo, taegüijija locue guajo jutungo y tata; ya jupolo y linâlâjo pot y quinilo sija.
15kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Mimi nayatoa maisha yangu kwa ajili yao.
16Ya guajayo palo quinilo locue ni taegüe güine na colat, ayo sija locue nesesita yo juchule, ya sija ujajungog y inagangjo; ya uguaja un manadanquinilo yan un pastot.
16Tena ninao kondoo wengine ambao hawamo zizini humu. Inanibidi kuwaleta hao pia, nao wataisikia sauti yangu, na kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja.
17Pot enao na jaguaeya yo si Tata, sa jupolo y linâlâjo, para uchule talo.
17"Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.
18Taya munajanao guiya guajo, lao jupolo pot guajo na maesa. Guaja yo ninasiñajo para jupolo yan guajayo ninasiñajo para jutalo chumule. Este na tinago juresibe guine y Tatajo.
18Hakuna mtu anayeninyang'anya uhai wangu; mimi na nautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa na uwezo wa kuuchukua tena. Hivi ndivyo Baba alivyoniamuru nifanye."
19¶ Ya guaja inaguaguat gui entalo y Judio sija pot este na sinagan sija.
19Kukawa tena na mafarakano kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno haya.
20Ya megae sija ilegñija: Biju guaja güe, ya babagüe; sa jafa inicungog güe?
20Wengi wao wakasema, "Ana pepo; tena ni mwendawazimu! Ya nini kumsikiliza?"
21Ylegñija y palo: Este na sinagan ti sija iyon y biju: Ada siña y biju ubaba y atadog y manbachet?
21Wengine wakasema, "Haya si maneno ya mwenye pepo. Je, pepo anaweza kuyafumbua macho ya vipofu?"
22¶ Ya anae mafatitnas y guipot y inefresengumayuus, guiya Jerusalem, ya ayo na tiempo manenggeng.
22Huko Yerusalemu kulikuwa na sikukuu ya Kutabaruku. Wakati huo ulikuwa wa baridi.
23Ya si Jesus mapos malag y templo, gui corredot Salomon.
23Naye Yesu akawa anatembea Hekaluni katika ukumbi wa Solomoni.
24Ya manetnon guato guiya güiya y Judio sija ya ilegñija nu güiya: Asta ngaean nae unnabuebuente y antita? Yaguin jago yuje na Cristo, sangan ni claro.
24Basi, Wayahudi wakamzunguka, wakamwuliza, "Utatuacha katika mashaka mpaka lini? Kama wewe ndiye Kristo, basi, tuambie wazi."
25Maninepe as Jesus: Guajo jagas jusangane jamyo ya ti injenggue: y checho ni y jufatinas gui naan Tata, estesija manmannanae testimonio nu guajo.
25Yesu akawajibu, "Nimewaambieni, lakini hamsadiki. Kazi ninazozifanya mimi kwa jina la Baba yangu zinanishuhudia.
26Lao jamyo ti injenggue, sa ti jamyo quinilojo; (taegüine guinin jusangane jamyo).
26Lakini ninyi hamsadiki kwa sababu ninyi si kondoo wangu.
27Y gajo quinilo sija jajungog y inagangjo; ya jutungo sija; ya sija madalalag yo.
27Kondoo wangu huisikia sauti yangu; mimi nawajua, nao hunifuata.
28Ya guajo junae sija linâlâñija taejinecog; ya para todo y tiempo taya nae ufanmalingo ya ni jaye ufaninamot sija gui canaejo.
28Mimi nawapa uzima wa milele; nao hawatapotea milele, wala hakuna mtu atakayeweza kuwatoa mkononi mwangu.
29Si Tata ni unaeyo, dangculoña qui todo; ya taya gaesisiña para uamot sija gui canae y Tatajo.
29Baba yangu ambaye ndiye aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote, wale hakuna awezaye kuwatoa mikononi mwake Baba.
30Guajo yan si Tata, jame unoja.
30Mimi na Baba, tu mmoja."
31¶ Tumalo manmañule acho y Judio sija, para umafagas güe.
31Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.
32Maninepe as Jesus: Megae manmauleg na finatinas jufanue jamyo guine as Tatajo; pot jafa na chechoña inquequefagas yo ni y acho?
32Yesu akawaambia, "Nimewaonyesheni kazi nyingi kutoka kwa Baba. Ni ipi kati ya hizo inayowafanya mnipige mawe?"
33Maope güe ni Judio sija ilegñija: Pot y mauleg na chechomo ti infagas jao; lao pot ayo y chatfino contra si Yuus; sa jago, taotaojao, mama Yuusjao.
33Wayahudi wakamjibu, "Hatukupigi mawe kwa ajili ya tendo jema, ila kwa sababu ya kukufuru! Maana wajifanya kuwa Mungu hali wewe ni binadamu tu."
34Maninepe as Jesus: Taegüe güi tinigue gui tinagonmiyo, Guajo umalog: Yuus jamyo?
34Yesu akawajibu, "Je, haikuandikwa katika Sheria yenu: Mimi nimesema, ninyi ni miungu?
35Yaguin manmafanaan Yuus, sija na mamaela gui jiloñija y finijo Yuus (ya y tinigue ti siña maipe);
35Mungu aliwaita miungu wale waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba Maandiko Matakatifu yasema ukweli daima.
36Ylegmiyo ni ayo y jaconsagra y Tata ya matgo guato gui tano: Jago chumatfino as Yuus, sa jusangan: Guajo Lajin Yuus?
36Je, yeye ambaye Baba alimweka wakfu na kumtuma ulimwenguni, mnamwambia: Unakufuru, eti kwa sababu nilisema: Mimi ni Mwana wa Mungu?
37Yaguin jufatitinas y ti iyon Tata, munga injenggue yo.
37Kama sifanyi kazi za Baba yangu msiniamini.
38Lao yaguin jufatinas, achogja ti injenggue yo, jenggue y checho sija: para siña jamyo intingo ya injenggue na si Tata gaegue guiya guajo, ya guajo gaegue guiya Tata.
38Lakini ikiwa ninazifanya, hata kama hamniamini, walau ziaminini hizo kazi mpate kujua na kutambua kwamba Baba yuko ndani yangu, nami niko ndani yake."
39Ya japrocucura talo para umaconegüe: lao güiya mapos gui canaeñija.
39Wakajaribu tena kumkamata lakini akachopoka mikononi mwao.
40Tumalo guato talo gui otro bandan Jordan, ayo na lugat nae finenana managpapange si Juan; ya sumaga güije.
40Yesu akaenda tena ng'ambo ya mto Yordani, mahali Yohane alipokuwa akibatiza, akakaa huko.
41Ya megae manmato guiya güiya ya ilegñija: Si Juan magajet na ni un señat jafatinas; ya magajet todo y sinangan Juan nu este na taotao jumuyong magajet.
41Watu wengi walimwendea wakasema, "Yohane hakufanya ishara yoyote. Lakini yale yote Yohane aliyosema juu ya mtu huyu ni kweli kabisa."
42Ya megae manmanjonggue güije nu güiya.
42Watu wengi mahali hapo wakamwamini.