Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

11

1ESTABA entonses malango un taotao, naanña si Lasaro, taotao Betania, un songsong iyon Maria yan si Marta cheluña.
1Mtu mmoja aitwaye Lazaro, mwenyeji wa Bethania, alikuwa mgonjwa. (Kijiji cha Bethania kilikuwa mahali walipokaa Maria na Martha, dada yake.
2Si Maria uje y pumalae inggüente y Señot, ya jasaosao y adengña ni y gaponiluña, ya y cheluña, as Lasaro, estaba malango.
2Maria ndiye yule aliyempaka Bwana marashi na kumpangusa kwa nywele zake. Lazaro, kaka yake, ndiye aliyekuwa mgonjwa.)
3Manmanago y mañeluña famalaoan guiya güiya ilegñija: Señot, estagüe, ayo y unguaeya esta malango.
3Basi, hao dada wakatuma ujumbe huu kwa Yesu: "Bwana, rafiki yako ni mgonjwa!"
4Ya jajungog si Jesus, ilegña: Este na chetnot ti güiya y para matae, lao para minalag gui as Yuus, para y Lajin Yuus umaonra pot güiya.
4Yesu aliposikia hivyo akasema, "Ugonjwa huo hautaleta kifo, ila ni kwa ajili ya kumtukuza Mungu; ameugua ili kwa njia hiyo Mwana wa Mungu atukuzwe."
5Ya jaguaeya si Jesus si Marta yan y cheluña yan si Lasaro.
5Yesu aliwapenda Martha, dada yake na Lazaro.
6Anae jajungog, na estaba malango, ayo na tiempo sumagagüe dos dias güije na lugat anae gaegue.
6Alipopata habari kwamba Lazaro ni mgonjwa, Yesu aliendelea kukaa mahali hapo alipokuwa kwa siku mbili zaidi.
7Ya despues di este ilegña ni y disipuluña: Nije tafanmalag Judea talo.
7Kisha akawaambia wanafunzi wake, "Twendeni tena Yudea!"
8Ylegñija nu güiya y disipulo sija: Rabi, pago didide nae maquequechague jao ni Judio sija na unmafagas ni y acho: Ada untalo guato güije?
8Wanafunzi wakamwambia, "Mwalimu! Muda mfupi tu umepita tangu Wayahudi walipotaka kukuua kwa mawe, nawe unataka kwenda huko tena?"
9Manope si Jesus: Taya y un jaane dose ora? y jumajanao gui jaane, ti siña matompo, sa manlilie y candet este na tano.
9Yesu akajibu, "Je, saa za mchana si kumi na mbili? Basi, mtu akitembea mchana hawezi kujikwaa kwa kuwa anauona mwanga wa ulimwengu huu.
10Ya y jumajanao an puenge, matompo, sa taya candet guiya güiya.
10Lakini mtu akitembea usiku atajikwaa kwa maana mwanga haumo ndani yake."
11Jasangan estesija, ya despues di este ilegña nu sija: Lasaro, amigonmame maego: ya bae janao para uyayajo gui maegoña.
11Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, "Rafiki yetu Lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha."
12Entonses ilegñija nu güiya y disipulosija: Señot, yaguin maego, mauleg jumuyong.
12Wanafunzi wake wakamwambia, "Bwana, ikiwa amelala, basi atapona."
13Ya jasangan este si Jesus gui tinataeña: sija jajaso na umadingan na dumescansañaeñaejon gui maegoña.
13Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.
14Ayo nae si Jesus ilegña claro nu sija: Lasaro, güiya matae.
14Basi, Yesu akawaambia waziwazi, "Lazaro amekufa;
15Magof yo sa taegüe yo güije, pot causa y jamyo, para injenggue; nitafanmalag y ya güiya.
15Lakini nafurahi kwa ajili yenu kwamba sikuwako huko, ili mpate kuamini. Haya, twendeni kwake."
16Si Tomas, ayo y naanña si Didimo, ilegña nu y otro disipulo sija: ufanmalagjit locue, nije tafanmatae yan güiya.
16Thoma (aitwaye Pacha) akawaambia wanafunzi wenzake, "Twendeni nasi tukafe pamoja naye!"
17Mato si Jesus ya jasoda na estaba cuatro na jaane gui naftan.
17Yesu alipofika huko alikuta Lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
18Y Betania jijot guiya Jerusalem, buente quince na estadio.
18Kijiji cha Bethania kilikuwa karibu na Yerusalemu umbali upatao kilomita tatu.
19Ya megae na Judio sija manmato gui as Marta ya si Maria para uconsuela pot y cheluñija.
19Wayahudi wengi walikuwa wamefika kwa Martha na Maria kuwafariji kwa kifo cha kaka yao.
20Entonses si Marta, anae jajungog na si Jesus mamamaela, jajanao güe para urisibe: ya estaba si Maria matatachong gui guima.
20Basi, Martha aliposikia kwamba Yesu alikuwa anakuja, akaenda kumlaki; lakini Maria alibaki nyumbani.
21Pot enao si Marta ilegña as Jesus: Señot yaguin mojon gaeguejao güine y chelujo ti umatae.
21Martha akamwambia Yesu, "Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!
22Lao jutungo pago, todo y ungagao si Yuus, ninaejao as Yuus.
22Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa."
23Ylegña si Jesus nu güiya: Ucajulo talo y chelumo.
23Yesu akamwambia, "Kaka yako atafufuka."
24Si Marta ilegña nu güiya: Guajo jutungo na ucajulo gui quinajulon manmatae gui uttimo na jaane.
24Martha akamjibu, "Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho."
25Ylegña nu güiya si Jesus: Guajo y quinajulon manmatae yan y linâlâ; ayo y jumonggue yo, achogja esta matae, ulâlâ talo;
25Yesu akamwambia, "Mimi ndimi ufufuo na uzima. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi:
26Ya todo ayo y lâlâ ya jumonggue yo, ti umatae para todo y tiempo. Unjonggue este?
26na kila anayeishi na kuniamini, hatakufa kamwe. Je, waamini hayo?"
27Ylegña nu güiya: Si Señot, guinin jujonggue na jago ayo na Cristo, Lajin Yuus, güiya na para umamaela gui tano.
27Martha akamwambia, "Ndiyo Bwana! Naamini kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni."
28Anae munjayan jasangan este, mapos ya jaagang gui secreto si Maria cheluña, ilegña: Si Maestro estagüe ya inagagangejao.
28Baada ya kusema hayo, Martha alikwenda kumwita Maria, dada yake, akamwabia faraghani, "Mwalimu yuko hapa, anakuita."
29Anae jajungog, cajulo gusisija ya jumanao asta guiya güiya.
29Naye aliposikia hivyo, akainuka mara, akamwendea Yesu.
30(Ya asta pago ti mafato si Jesus gui sengsong, lao gaegue güije na lugat anae si Marta jagas sineda güe.)
30Yesu alikuwa hajaingia kijijini, ila alikuwa bado mahali palepale Martha alipomlaki.
31Entonces y Judiosija na manestaba gui guima yan güiya, y maconsuela güe, anae jalie si Maria cajulo gusisija ya mapos, madalalag güe, pineloñija na ufalag y naftan para utanges güije.
31Basi, Wayahudi waliokuwa nyumbani pamoja na Maria wakimfariji walipomwona ameinuka na kutoka nje ghafla, walimfuata. Walidhani alikuwa anakwenda kaburini kuomboleza.
32Ya si Maria anae mato gui lugat anae estaba si Jesus ya jalie, japodong gui adengña, ya ilegña: Señot yaguin gaeguejao güine ti umatae y chelujo.
32Basi, Maria alipofika mahali pale Yesu alipokuwa na kumwona, alipiga magoti, akamwabia, "Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!"
33Anae si Jesus jalie na tumatanges, yan y Judio sija ni manamamamaela yan güiya manatanges, umugong gui espiritu, ya inestotba,
33Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye wanalia pia, alijawa na huzuni na kufadhaika moyoni.
34Ya ilegña: Mano nae unpolo güe? Ilegñija nu güiya: Señot, maela ya unlie.
34Kisha akawauliza, "Mlimweka wapi?" Wakamwambia, "Bwana, njoo uone."
35Si Jesus tumanges.
35Yesu akalia machozi.
36Ylegñija entonses y Judio sija: Estagüe, taegüenao jaguflie güe!
36Basi, Wayahudi wakasema, "Tazameni jinsi alivyompenda!"
37Lao palo guiya sija ilegñija: Ti siña este na ubaba y atadog y bachet, fatinas ni este ti umatae?
37Lakini baadhi yao wakasema, "Je, huyu aliyemfumbua macho yule kipofu, hakuweza kumfanya Lazaro asife?"
38Ya si Jesus jaumugong talo guiya güiya, ya mato gui naftan. Güiya un liyang ya mapoluye un acho gui sanjiloña.
38Basi, Yesu akiwa amehuzunika tena moyoni, akafika kaburini. Kaburi lenyewe lilikuwa pango, na lilikuwa limefunikwa kwa jiwe.
39Ylegña si Jesus: Najanao y acho. Si Marta, chelun y matae, ilegña nu güiya: Señot, mutong esta, sa finatae cuatro na jaane.
39Yesu akasema, "Ondoeni hilo jiwe!" Martha, dada yake huyo aliyekufa, akamwambia, "Bwana, amekwishaanza kunuka; amekaa kaburini siku nne!"
40Si Jesus ilegña nu güiya: Ti guinin jusangane jao na guin manjonggue jao, unlie y minalag Yuus.
40Yesu akamwambia, "Je, sikukwambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?"
41Ayo nae sija janajanao y acho, Ya si Jesus tumalag julo ya ilegña: Tata, grasias junaejao sa guinin unjungog yo.
41Basi, wakaliondoa lile jiwe. Yesu akatazama juu mbinguni, akasema, "Nakushukuru Baba kwa kuwa wewe wanisikiliza.
42Ya guajo jutungo na siempre unjungungog yo; lao pot y linajyan taotao ni gaegue gui oriyajo, jusangan este, para ujajonggue na jagoyo tumago.
42Najua kwamba unanisikiliza daima. Lakini nimesema hayo kwa ajili ya watu hawa waliopo hapa ili wapate kuamini kwamba wewe ndiwe uliyenituma."
43Anae munjayan jasangan este, umaagang ni dangculo na inagang: Lasaro maela juyong.
43Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"
44Entonses ayo y guine matae, jumuyong, magogode dos canaeña yan y adeng nu y bendas; ya y mataña mafalulutan nu y sudario. Ylegña nu sija si Jesus: Pula ya inpilo ya ujanao.
44Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, "Mfungueni, mkamwache aende zake."
45¶ Pot este megae na Judio sija na manmato gui as Maria ya jalie y finatinas Jesus, majonggue güe.
45Basi, Wayahudi wengi waliokuwa wamefika kwa Maria walipoona kitendo hicho alichokifanya Yesu wakamwamini.
46Lao guajo guiya sija na manmapos para Fariseo sija, ya jasangane sija y finatinas Jesus.
46Lakini baadhi yao walikwenda kwa Mafarisayo wakatoa taarifa ya jambo hilo alilofanya Yesu.
47¶ Ayo nae y manmagas y mamale yan y Fariseo sija, mandaña ya janaetnon y sinedrio ya ilegñija: Jafa tafatinas? Sa este na taotao mamatitinas megae na señat sija?
47kwa hiyo makuhani wakuu na Mafarisayo wakafanya kikao cha Baraza kuu, wakasema, "Tufanye nini? Mtu huyu anafanya ishara nyingi mno.
48Yaguin tapolo taegüenao, todo y taotao manmanjonggue guiya güiya: ya ufanmamaela y Romano sija ya u janajanao y sagata yan y tanota.
48Tukimwacha tu watu wote watamwamini, nao Waroma watakuja kuliharibu Hekalu letu na taifa letu!"
49Lao si Caefas uno guiya sija, güiya magas na pale güije na sacan, mansinangane: Jamyo ti intingo jafa!
49Hapo, mmoja wao aitwaye Kayafa, ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, akawaambia, "Ninyi hamjui kitu!
50Ni injaso na mauleg para jita sa un taotao matae pot y taotao sija, para munga na todo y nasion ufanmalingo.
50Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?"
51Lao este ti jasangan guine güiyaja; lao güiya y magas na pale güije na sacan ya japrofetisa na si Jesus umatae pot y nasion.
51Yeye hakusema hivyo kwa hiari yake mwenyewe, bali kwa vile alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo, alibashiri kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa lao;
52Ya ti pot ayoja na nasion; lao locue para ufandaña gui unoja y famaguon Yuus ni y jagas manmachalapon.
52na wala si kwa ajili yao tu, bali pia apate kuwaleta pamoja watoto wa Mungu waliotawanyika.
53Ya desde ayo na jaane manafaesen entre para sija umapuno.
53Basi, tangu siku hiyo viongozi wa Wayahudi walifanya mipango ya kumwua Yesu.
54Ya si Jesus ti jumajanao gui publico gui entalo Judio sija; lao mapos güije para y tano na jijot gui jalomtano, guiya un siuda na mafananaan Efraim; ya sumaga güe güije yan y disipuluña.
54Kwa hiyo, Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi, bali alitoka hapo, akaenda mahali karibu na jangwa, katika mji uitwao Efraimu. Akakaa huko pamoja na wanafunzi wake.
55¶ Ya y pascuan Judio sija estaba jijot; ya megae gui tano mangajulo guiya Jerusalem antes di pascua para ujanagasgas sija.
55Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa karibu, na watu wengi walikwenda Yerusalemu ili wajitakase kabla ya sikukuu hiyo.
56Ya manmanaligao as Jesus, ya manadingan entre sija gui templo, ya ilegñija: Jafa jinasonmiyo, nu güiya, ti umamaela gui guipot.
56Basi, wakawa wanamtafuta Yesu; nao walipokusanyika pamoja Hekaluni wakaulizana, "Mwaonaje? Yaonekana kwamba haji kabisa kwenye sikukuu, au sivyo?"
57Ya y prinsipin y mamale sija yan y Fariseo manmanae tinago na yaguin jaye tumungo mano nae gaegue, umasangan para inquene güe.
57Makuhani wakuu na Mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko Yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.