Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

12

1AYO na tiempo, saes na jaane antes de pascua, si Jesus malag Betania anae estaba si Lasaro, ayo y guinin matee, ya si Jesus munacajulo guine y entelo manmatae.
1Siku sita kabla ya sikukuu ya Pasaka, Yesu alifika Bethania alikoishi Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua kutoka wafu.
2Ya manmanmatinas güije un sena, ya si Marta mañeñetbe; ya si Lasaro, güiya uno gui entalo sija na manmatatachong gui lamasa yan güiya.
2Huko walimwandalia chakula cha jioni, naye Martha akawa anawatumikia. Lazaro alikuwa mmoja wa wale waliokuwa mezani pamoja na Yesu.
3Ayo nae si Maria jachule un libra na inggüente, gasgas na natda, guefguaguan, ya japalae y adeng Jesus, ya jasaosao y adengña nu gaponuluña; ya bula y guima ni pao inggüente.
3Basi, Maria alichukua chupa ya marashi ya nardo safi ya thamani kubwa, akampaka Yesu miguu na kuipangusa kwa nywele zake. Nyumba yote ikajaa harufu ya marashi.
4Ayo nae ilegña uno gui disipuluña, si Judas Iscariote lajin Simon, ayo y umintrega güe,
4Basi, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,
5Jafa mina ti mabende este na inggüente pot tres siento denario na salape, ya unumae y mamobble?
5"Kwa nini marashi hayo hayakuuzwa kwa fedha dinari mia tatu, wakapewa maskini?"
6Este ilegña, ti pot inadajiña ni mamobble; lao pot guiya y saque, ya guaja y betsaña, ya jachuchule ayo y sinajguanña.
6Alisema hivyo, si kwa kuwa alijali chochote juu ya maskini, bali kwa sababu alikuwa mweka hazina, na kwa kuwa alikuwa mwizi, mara kwa mara aliiba kutoka katika hiyo hazina.
7Enaomina ilegña si Jesus, Polo güe, para ayo na jaane nae majafot yo, na uadaje este.
7Lakini Yesu akasema, "Msimsumbue huyu mama! Mwacheni ayaweke kwa ajili ya siku ya mazishi yangu.
8Sa y mamobble siempre gagaegue guiya jamyo; lao guajo taegüeyo guiya jamyo.
8Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa nami siku zote."
9¶ Entonses, dangculo na linajyan taotao, gui Judio sija, jatungo na gaegue güe güije, ya manmato, ti pot causan si Jesusja, lao locue para umalie si Lasaro ni guinin janacajulo guine y entelo manmatae.
9Wayahudi wengi walisikia kwamba Yesu alikuwa Bethania. Basi, wakafika huko si tu kwa ajili ya kumwona Yesu, ila pia wapate kumwona Lazaro ambaye Yesu alimfufua kutoka wafu.
10Ya manafaesen entre sija, manmagas y mamale sija, para umapuno locue si Lasaro.
10Makuhani wakuu waliamua pia kumwua Lazaro,
11Sa pot causa di güiya, megae na Judio sija manmalag ayo ya manmanjonggue gui as Jesus.
11Maana kwa sababu ya Lazaro Wayahudi wengi waliwaasi viongozi wao, wakamwamini Yesu.
12¶ Ynagpaña na jaane, dangculo na linajyan taotao, y manmato gui guipot, anae majungog na si Jesus mato guiya Jerusalem,
12Kesho yake, kundi kubwa la watu waliokuja kwenye sikukuu walisikia kuwa Yesu alikuwa njiani kuja Yerusalemu.
13Manmañule ni y ramas y trongcon palma ya manmapos para umaresibe güe ya manaagang: Osana! Dichoso güe ni mamamaela ni y naan y Señot, y Ray Israel!
13Basi, wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki; wakapaaza sauti wakisema: "Hosana! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana. Abarikiwe mfalme wa Israeli."
14Ya anae jasoda si Jesus un patgon na bulico, matachong gui jiloña; taegüije y matugue:
14Yesu akampata mwana punda mmoja akapanda juu yake kama yasemavyo Maandiko:
15Chamo maañao, jago jagan Sion! estagüe y Raymo na mato, matatachong gui jilo un patgon bulico.
15"Usiogope mji wa Sioni! Tazama, Mfalme wako anakuja, Amepanda mwana punda."
16Y finenana, y disipuloña ti jatungo estesija; lao y tiempo anae si Jesus esta cumajulo gui langet, entonses manmajaso na estesija este matugue nu güiya, ya sija guinin manmafatinas este sija yan güiya.
16Wakati huo wanafunzi wake hawakuelewa mambo hayo, lakini Yesu alipokwisha tukuzwa, ndipo walipokumbuka kwamba hayo yalikuwa yameandikwa juu yake, na kwamba watu walikuwa wamemtendea hivyo.
17Y linajyan taotao na estaba mañisija, anae jaagang juyong si Lasaro gui naftan, ya janacajulo gui entalo manmatae, janae testimonio nu güiya.
17Kundi la watu wale waliokuwa pamoja naye wakati alipomwita Lazaro kutoka kaburini, akamfufua kutoka wafu, walisema yaliyotukia.
18Pot enao locue y linajyan taotao manmato ya maresibe güe, sa majungog na munjayan jafatinas este na señat.
18Kwa hiyo umati huo wa watu ulimlaki, maana wote walisikia kwamba Yesu alikuwa amefanya ishara hiyo.
19Pot enao Fariseo sija ilegñija entre sija: Lie na taya probechonmiyo: Estagüe na todo gui jilo y tano manjanao ya dalalag güe.
19Basi, Mafarisayo wakaambiana, "Mnaona? Hatuwezi kufanya chochote! Tazameni, ulimwengu wote unamfuata."
20¶ Ya guaja sija na taotao Griego ni gui ayo sija na mangajulo para uadodora gui guipot:
20Kulikuwa na Wagiriki kadhaa miongoni mwa watu waliokuwa wamefika Yerusalemu kuabudu wakati wa sikukuu hiyo.
21Ayo sija manmato gui as Felipe taotao Betsaida guiya Galilea, ya magagao güe, ilegñija: Señot, manmalagojam inlie si Jesus!
21Hao walimwendea Filipo, mwenyeji wa Bethsaida katika Galilaya, wakasema, "Mheshimiwa, tunataka kumwona Yesu."
22Mato si Felipe ya jasangane si Andres; ya mamaela si Andres yan si Felipe masangane si Jesus.
22Filipo akaenda akamwambia Andrea, nao wawili wakaenda kumwambia Yesu.
23¶ Ya si Jesus maninepe ilegña: Y ora mato na y Lajin taotao uresibe y minalagña.
23Yesu akawaambia, "Saa ya kutukuzwa kwa Mwana wa Mtu imefika!
24Magajet ya magajet jusangane jamyo, na y granon trigo ni ti upodong gui tano, ya umatae, güiya namaesa sumaga; yaguin matae megae na tinegcha uchule.
24Kweli nawaambieni, punje ya ngano hubaki punje tu isipokuwa ikianguka katika udongo na kufa. Kama ikifa, basi huzaa matunda mengi.
25Y gumaeya y linâlâña ufinalaguaejon; y chumatlie y linâlâña güine gui tano, pinipilanja y taejinecog na jaane.
25Anayependa maisha yake, atayapoteza; anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uzima wa milele.
26Yaguin guaja y somesetbe yo, udalalag yo; ya mano nae gaegue yo, ayo locue nae ugaegue y somesetbe yo. Yaguin guaja y somesetbe yo, si Tata uenenra güe.
26Anayetaka kunitumikia ni lazima anifuate, hivyo kwamba popote pale nilipo mimi ndipo na mtumishi wangu atakapokuwa. Mtu yeyote anayenitumikia Baba yangu atampa heshima.
27Pago lebog y antijo: Ya jafa quentosjo? Tata nalibre yo pago na ora! Lao pot este mato yo güine na ora.
27"Sasa roho yangu imefadhaika, na niseme nini? Je, niseme: Baba, usiruhusu saa hii inifikie? Lakini ndiyo maana nimekuja--ili nipite katika saa hii.
28Tata, namalag y naanmo! Pot enao mato guine y langet un inagang, ilegña: Estaba junamalag, ya bae junamalag otro biaje.
28Baba, ulitukuze jina lako." Hapo sauti ikasema kutoka mbinguni, "Nimelitukuza, na nitalitukuza tena."
29Y linajyan taotao na mangaegue ya injingog ilegñija: guinin julo este. Palo ilegñija: Un angjet sumangane güe.
29Umati wa watu waliokuwa wamesimama hapo walisikia sauti hiyo, na baadhi yao walisema, "Malaika ameongea naye!"
30Ynepe as Jesus ya ilegña: Ti mato este na inagang pot y causaco lao pot y causanmiyo.
30Lakini Yesu akawaambia, "Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.
31Pago gaegue y juisio nu este na tano. Pago y magas este na tano umayute juyong.
31Sasa ndio wakati wa ulimwengu huu kuhukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu huu atapinduliwa.
32Ya guajo, yaguin guajo umajatsayo guine y tano, jucone todo para guajoja.
32Nami nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu."
33Ya este masangan para umatungo jafa na finatae nae umatae.
33(Kwa kusema hivyo alionyesha atakufa kifo gani).
34Ynepeña y linajyan taotao: Jame injingog y lay na si Cristo ugaegue para todo y tiempo. Jafa mina unsangan: Na y Lajin taotao nesesita umajatsa? Jaye güe este Lajin taotao?
34Basi, umati huo ukamjibu, "Sisi tunaambiwa na Sheria yetu kwamba Kristo atadumu milele. Wawezaje basi, kusema ati Mwana wa Mtu anapaswa kuinuliwa? Huyo Mwana wa Mtu ni nani?"
35Ayo nae si Jesus ilegña nu sija: Didide na tiempo y candet ugaegue gui entalonmiyo. Fanmamocat mientras guaguaja y candet para jamyo, sa no sea infanguinacha ni y jemjom; sa y jumajanao gui jemjom, ti jatungo para mano nae y jinanaoña.
35Yesu akawaambia, "Mwanga bado uko nanyi kwa muda mfupi. Tembeeni mngali mnao huo mwanga ili giza lisiwapate; maana atembeaye gizani hajui aendako.
36Mientras guaguaja y candet para jamyo, fanmanjonggue ni y candet, para unfamaguon y candet jamyo. Estesija jasangan si Jesus, ya mapos ya umatog pot sija.
36Basi, wakati mnao huo mwanga uaminini ili mpate kuwa watu wa mwanga." Baada ya kusema maneno hayo, Yesu alikwenda zake na kujificha mbali nao.
37¶ Lao achogja jafatinas megae na señat gui menanñija ti majonggue güe.
37Ingawa Yesu alifanya miujiza hii yote mbele yao, wao hawakumwamini.
38Para umacumple y sinangan ni ilegña si Isaias profeta: Señot, jaye jumonggue y sinanganta? Ya y canae y Señot, jaye guinin munamalie?
38Hivyo maneno aliyosema nabii Isaya yakatimia: "Bwana, nani aliyeuamini ujumbe wetu? Na uwezo wa Bwana umedhihirishwa kwa nani?"
39Pot este mina ti siña sija majonggue, sa tomalo jasangan si Isaias:
39Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya tena alisema:
40Janafanbachet y atadogñija, ya janamajetog y corasoñija: Sa ti manmalie ni y atadogñija, ni ujatungo ni y corasonñija, ya sigue mamañotsot, ya guajo juamte sija.
40"Mungu ameyapofusha macho yao, amezipumbaza akili zao; wasione kwa macho yao, wasielewe kwa akili zao; wala wasinigeukie, asema Bwana, ili nipate kuwaponya."
41Estesija jasangan si Isaias, anae jalie minalagña ya inadingane.
41Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.
42¶ Pago na tiempo achogja megae na taotao senmagas, jumonggue gue; lao pot causa y Fariseo sija, ti masangan claro, na no sea mayute gui sinagoga.
42Hata hivyo, wengi wa viongozi wa Wayahudi walimwamini Yesu. Lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.
43Pot jafa muna manmalago sija y inenra y taotao, qui y inenra guine as Yuus.
43Walipendelea kusifiwa na watu kuliko kusifiwa na Mungu
44¶ Si Jesus umagang ilegña: Y jumonggue yo, guajoja, ti jajonggue lao ayo y tumago yo.
44Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule aliyenituma.
45Y umatan yo, güiya umatan y tumago yo.
45Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma.
46Mato yo gui jilo y tano parejoja y candet, para todo ayo y jumonggue yo, ti sumaga gui jemjom.
46Mimi ni mwanga, nami nimekuja ulimwenguni ili wote wanaoniamini wasibaki gizani.
47Y jumungog y sinanganjo ya ti jajonggue, guajo ti jujusga; sa ti mato yo para jufanjusga gui tano, lao para junafanlibre y tano.
47Anayeyasikia maneno yangu lakini hayashiki mimi sitamhukumu; maana sikuja kuhukumu ulimwengu bali kuuokoa.
48Ya y rumechasa yo ya ti rumesibe y sinanganjo, guaja ujinisga güe: Y sinangan ni jusangan, güiya ufanjusga güije uttimo na jaane.
48Asiyeyashika maneno yangu anaye wa kumhukumu: neno lile nililosema ni hakimu wake siku ya mwisho.
49Sa ti guinin juadingan namaesa; lao si Tata ni tumago yo, güiya numae yo tinago ni para jusangan yan y para jucuentos.
49Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.
50Ya jutungo na y tinagoña, güiya linâlâ taejinecog: enaomina ayo sija jusangan; taegüije si Tata guinin jasangane yo, taegüijeja jusasangan.
50Nami najua kuwa amri yake huleta uzima wa milele. Basi, mimi nasema tu yale Baba aliyoniagiza niyaseme."