1CHAMIYO ninafañachatsaga corasonmiyo: injenggue si Yuus, jenggue yo locue.
1Yesu aliwaambia, "Msifadhaike mioyoni mwenu. Mwaminini Mungu, niaminini na mimi pia.
2Y guima Tatajo nae guaja megae na sagayan: yaguin ti utaegüine mojon jagas jusagane jamyo. Bae jujanao ya jufamauleg y saga para jamyo.
2Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; la sivyo ningalikwisha waambieni. Sasa nakwenda kuwatayarishieni nafasi.
3Yaguin jumanao yo ya jufamauleg y saga para jamyo, jumamaela talo mague ya jucone jamyo yan guajo; sa manoja yo nae sumaga, ayoja locue jamyo.
3Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi.
4Ya mano yo guato, intingo y chalan.
4Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda."
5Ylegña nu güiya si Tomas: Señot, ti intingo para mano jao; ya jafa taemano tungomame nu y chalan?
5Thoma akamwuliza, "Bwana, hatujui unakokwenda, tutawezaje basi, kuijua hiyo njia?"
6Ylegña nu güiya si Jesus: Guajo y chalan, yan y minagajet, yan y linâlâ; taya malag y Tata, yan ti pot guajo.
6Yesu akamjibu, "Mimi ni njia, na ukweli na uzima. Hakuna awezaye kwenda kwa Baba ila kwa kupitia kwangu.
7Yaguin guinin intingoyo, mojon intingo locue y Tatajo; ya desde pago intingo güe ya inlie güe.
7Ikiwa mnanijua mimi mnamjua na Baba yangu pia. Na tangu sasa, mnamjua, tena mmekwisha mwona."
8Ylegña nu guiya si Felipe: Señot, fanue jam nu y Tata ya basta para jame.
8Filipo akamwambia, "Bwana, tuonyeshe Baba, nasi tutatosheka."
9Ylegña nu güiya si Jesus: Megae na tiempo na manjita, ya asta pago ti untungo yo Felipe? Y lumiiyo, jaliija y Tata. Ya jafa muna ilegmo: Fanue jam nu y Tata?
9Yesu akamwambia, "Filipo, nimekaa nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyekwisha niona mimi amemwona Baba. Unawezaje basi, kusema: Tuonyeshe Baba?
10Ti unjonggue na guajo gaegue gui as Tata, ya y Tata gaegue guiya guajo? Sa y finijo nu y jusasangan, ti jusasangan pot guajoja; lao y Tata nu y sumasasaga guiya guajo, ayo fumatinas y chechoña sija.
10Je, huamini kwamba mimi niko ndani ya Baba, naye Baba yuko ndani yangu? Maneno ninayowaambieni nyote siyasemi kwa mamlaka yangu; Baba aliye ndani yangu anafanya kazi yake.
11Jenggue na gaegue yo gui as Tata, ya y Tata gaegue guiya guajo: yaguin ti pot este, jenggueyo pot y checho sija.
11Mnapaswa kuniamini ninaposema kwamba mimi niko ndani ya Baba naye Baba yuko ndani yangu. Ama sivyo, aminini kwa sababu ya mambo ninayofanya.
12Magajet ya magajet y jusangane jamyo: Y jumonggueyo, y checo nu y juchogüe, güiya chumogüe locue; ya mas dangculo na chocho qui este jachogüe; sa jujanao para as Tata.
12Kweli nawaambieni, anayeniamini atafanya mambo ninayofanya mimi; naam, atafanya hata makuu zaidi, maana nakwenda kwa Baba.
13Ya todo y ingagao pot y naanjo, bae jufatinas, sa y Tata uresibe minalagña nu y Lajiña.
13Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.
14Jafaja y ingagaoyo pot y naanjo, bae jufatinas ayo.
14Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.
15Yaguin inguaeya yo, inadaje y tinagojo.
15"Mkinipenda mtazishika amri zangu.
16Sa bae jutayuyut si Tata ya infanninae otro Consoladot para ugaegue guiya jamyo na taejinecog.
16Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele.
17Güiya y Espiritun minagajet nu y tano ti siña umaresibe; sa ti malie güe, ya ti matungo güe; lao jamyo intingo güe; sa sumaga yan jamyo, ya ugaegue guiya jamyo.
17Yeye ni Roho wa kweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu hauwezi kumwona wala kumjua. Lakini ninyi mnamjua kwa sababu anabaki nanyi na yu ndani yenu.
18Ti judingo jamyo güetfano: jumamaela guiya jamyo.
18"Sitawaacha ninyi yatima; nitakuja tena kwenu.
19Dididija talo, y tano ti uliiyo; lao jamyo inliija yo; sa lâlâyo, ya infanlâlâja locue.
19Bado kidogo nao ulimwengu hautaniona tena, lakini ninyi mtaniona; na kwa kuwa mimi ni hai, nanyi pia mtakuwa hai.
20Güije na jaane umasusede na intingo na gaegueyo gui as Tata, ya jamyo guiya guajo ya guajo guiya jamyo.
20Siku ile itakapofika mtajua kwamba mimi niko ndani ya Baba, nanyi mko ndani yangu, nami ndani yenu.
21Y guaja y tinagojo ya jaadadaje, ayo yo gumaeya; ya y gumaeya yo, ugüinaeya as Tata, ya juguaeya güe; ya jufanuegüe nu guajo mamaesa.
21Azipokeaye amri zangu na kuzishika, yeye ndiye anipendaye. Naye anipendaye mimi atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda na kujidhihirisha kwake."
22Ylegña nu güiya si Judas, ti si Iscariote: Señot, jafa muna unfanue jam nu jago namaesa ya ti unfanue y tano?
22Yuda (si yule Iskarioti) akamwambia, "Bwana, itawezekanaje wewe kujidhihirisha kwetu na si kwa ulimwengu?"
23Inepe as Jesus ya ilegña nu güiya: Jaye yo y gumaeya, uadaje y sinanganjo; ya ugüinaeya as Tata, ya jame infatoigüe güe ya insagaye güe.
23Yesu akamjibu, "Mtu akinipenda atashika neno langu, na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa naye.
24Y ti gumaeya yo, ti jaadaje y sinanganjo; ya y sinangan nu y injingog, ti sinanganjo, lao iyon y Tata ni tumago yo.
24Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.
25Estesija jusagane jamyo anae manjijita.
25"Nimewaambieni mambo haya nikiwa bado pamoja nanyi
26Lao ayo y Consoladat y Espiritu Santo; nu si Tata utinago pot y naanjo, güiya infanfinanagüe todosija, ya inninafanjajasoja todo y jusangane jamyo.
26lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni.
27Pas jupoluye jamyo; y pasjo junae jamyo; ti taegüine y ninaen y tano na ninaejo. Chamiyo ninafañachatsaga corasonmiyo ni infanmaañao.
27"Nawaachieni amani; nawapeni amani yangu. Siwapi ninyi kama vile ulimwengu ufanyavyo. Msiwe na wasiwasi, wala msifadhaike.
28Jamyo jagas injingogja jafa y jusagane jamyo, bae jujano, ya jutalo güine mague guiya jamyo. Yaguin inguaeya yo, magajet infanmagof, sa bae jujanao ya jufalag as Tata; sa si Tata dangculoña qui guajo.
28Mlikwisha sikia nikiwaambieni: Ninakwenda zangu, kisha nitarudi tena kwenu. Kama mngalinipenda mngalifurahi kwa sababu ninakwenda kwa Baba, maana yeye ni mkuu kuliko mimi.
29Pago jagas jusangane jamyo antes qui umasusede, para yanguin jasusede, jamyo injenggue.
29Nimewaambieni haya sasa kabla hayajatokea, ili yatakapotokea mpate kuamini.
30Desde pago na tiempo ti jucuentuse jamyo megae, sa y magalagen este na tano ufato, ya taya iyoña guiya guajo;
30Sitasema nanyi tena mambo mengi, maana mtawala wa ulimwengu huu anakuja. Kwangu mimi hawezi kitu;
31Lao y tano ujatungo na juguaeya si Tata, ya jaftaemanoja si Tata jasangane yo, ayo muna jufatinas. Fangajulo ya nije tafanjanao.
31lakini ulimwengu unapaswa kujua kwamba nampenda Baba, na ndiyo maana nafanya kila kitu kama Baba alivyoniamuru. Simameni, tutoke hapa!"