Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

15

1GUAJO y magajet na trongconubas ya si Tatajo güiya y magas y fangualuan.
1"Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
2Todo y ramas guiya guajo nu y taetinegcha, janajanao; ya todo ayo y ramas nu y gaetinegcha, janagasgas, para umegae tinegchaña.
2Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
3Pago nae jamyo mangasgas pot y finijo nu y jusangane jamyo.
3Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
4Fañaga guiya guajo, ya guajo guiya jamyo. Taegüije y ramas ti siña mañogcha güiya namaesa, yaguin ti sumaga gui trongconubas, parejoja yan jamyo yaguin ti infañaga guiya guajo.
4Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
5Guajo y trongconubas, jamyo y ramas. Y sumaga guiya guajo, ya guajo guiya güiya, güiya ufañogcha megae; sa apatte di guajo taya siña infatinas.
5"Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
6Yaguin un taotao ti sumaga guiya guajo, umanajanao güe parejoja yan y ramas, ya umalayo, ya jajojoca, ya japopolo gui guafe, ya ufanmasonggue.
6Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
7Yaguin mañaga jamyo guiya guajo, ya y finojo sumaga guiya jamyo, infanmangagao todo y malagomiyo ya jufatinas para jamyo.
7Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
8Este uninamalag si Tatajo, ya infanmanogcha megae; ya taegüenao jamyo y udisipulojo.
8Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
9Taegüenao si Tata jaguaeya yo, guajo parejoja juguaeya jamyo locue; ya fañaga jamyo gui güinaeyaco.
9Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.
10Yaguin inadadaje y tinagojo sija, jamyo infañañaga gui güinaeyaco; parejoja yan guajo juadadaje y tinago y Tatajo ya sumasasaga yo gui güinaeyaña.
10Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
11Estesija jusangane jamyo, para minagofjo usaga guiya jamyo, ya y minagofmiyo ubula.
11Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
12Este y tinagojo, na infanguaeya entre jamyo uno yan otro, calang y juguaeya jamyo.
12Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
13Taya uno guaja güinaeyaña mas dangculo qui este, na y taotao japolo y linâlâfia pot y amiguña sija.
13Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
14Jamyo y amigujo sija, yaguin infatinas jafa y jutago jamyo.
14Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
15Ti jagasja jufanaan jamyo tentago sija, sa y tentago ti jatungo jafa checho y magasña; lao jufanaan jamyo amigo sija; sa todosija ni jujungog gui as Tata, junatungoja jamyo.
15Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.
16Ti jamyo umayig yo, lao guajo jamyo umayig ya jutago jamyo, na infanjanao ya infanmanogcha, ya y tinegchanmiyo usaga; sa todosija y ingagao si Tata pot y naanjo, güiya infanninae.
16Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.
17Estesija jutago jamyo, na infanaguaeya entre jamyo uno yan otro.
17Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
18Yaguin manchinatlie jamyo nu y tano, intingoja na guajo finena chinatlie antes qui jamyo.
18"Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
19Yaguin iyon y tano jamyo y tano uguaeya iyoña: lao ti iyon y tano jamyo, ya guajo jamyo umayig gui tano, ayo muna manchinatlie jamyo nu y tano.
19Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
20Jaso jamyo y sinangan ni munjayan jusangane jamyo: Y tentago ti dangculoña qui y magasña. Yaguin mapetsigue yo, infanmapetsigue jamyo locue; yaguin manadaje y sinanganjo, umanadaje y sinanganmiyo locue.
20Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia.
21Lao todo estesija umafatinas guiya jamyo pot causan y naanjo; sa ti matungo ayo y tumagoyo.
21Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.
22Yaguin ti matoyo, ya ti jusangane sija, taya isaoñija; lao pago taya escusañija pot y isaoñija.
22Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
23Ayo y chumatlie yo, güiya chumatlie si Tata locue.
23Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.
24Yaguin ti jufatinas gui entaloñija chochosija na taya ni uno fumatinas, taya isaoñija; lao pago esta jalie ya jachatlie yo yan si Tata.
24Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.
25Lao este ususede, sa para umacumple y sinangan nu y matugue gui tinagoñija: sija chumatlie yo, sin jafa.
25Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure!
26Lao yaguin mato y Consoladot, ni y junamamaela guinin as Tata, y Espiritu y minagajet nu y mamaela guinin as Tata, güiya infanninae testimonio pot guajo.
26"Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
27Ya jamyo locue infanmannae testimonio, sa guinin manjijita desde y tutujonña.
27Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.