1ESTESIJA jusangane jamyo para chamiyo, fanmatotompo.
1"Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.
2Infanmayute juyong gui sinagoga sija; junggan, y tiempo ufato nae jayeja y pumuno jamyo, jinasoña na jafatinas y checho Yuus.
2Watu watawatenga ninyi na masunagogi yao. Tena, wakati unakuja ambapo kila atakayewaua ninyi atadhani anamhudumia Mungu.
3Ya estesija infanfinatinas, sa ti jatungo y Tata, ni guajo.
3Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.
4Ya estesija guinin jusangane jamyo, na yaguin ufato ayo na ora, injaso estesija, jaftaemanoja y jusangane jamyo.
4Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. "Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
5Lao pago bae jujanao para ayo y tumago yo; ya taya uno guiya jamyo ufaesen yo: Para mano jao?
5Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: Unakwenda wapi?
6Lao pot y jusangane jamyo nu estesija y pinite esta bula y corasonmiyo.
6Kwa kuwa nimewaambieni mambo hayo mmejaa huzuni mioyoni mwenu.
7Lao jusangane jamyo ni minagajet, na maulegñaja para jamyo na jujanao; sa yaguin ti jumanao yo, y Consoladot ti umamaela guiya jamyo; lao yaguin jumanao yo, junamamaela güe guiya jamyo.
7Lakini, nawaambieni ukweli: afadhali kwenu mimi niende zangu, maana nisipokwenda Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, basi, nitamtuma kwenu.
8Sa yaguin ufato güe, ujusga y tano ni isao yan y tininas yan y juisio:
8Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.
9Y isao sa sija ti majonggue yo;
9Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;
10Y tininas sa bae jujanao para y Tata, ya jocog nae inliiyo;
10kuhusu uadilifu, kwa sababu naenda zangu kwa Baba, nanyi hamtaniona tena;
11Y juisio sa y magas este y tano esta jajusga.
11kuhusu hukumu kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amekwisha hukumiwa.
12Guaja yo megae na güinaja trabia para jusangane jamyo; lao ti siña jamyo insingon pago.
12"Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.
13Lao yaguin ufato ayo y Espiritun minagajet, güiya infanfinanue jamyo todo y minagajet; sa ti usangan pot güiyaja, lao todosija, jiningogña, ayosija usangan: yan ayosija y umasusede despues, inninafanmanatungo jamyo.
13Lakini atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza kwenye ukweli wote; maana hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, bali atawaambieni yote atakayosikia, na atasema mambo yatakayokuwa yanakuja.
14Güiya ufannae yo minalag sa mañuñule y güinaja na guiya guajo ya ujasangane jamyo.
14Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu.
15Todosija y güinajan Tata, iyoco; ayo mina, jusangan na mañuñule y güinaja na guiya guajo ya ujasangane jamyo.
15Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho Mtakatifu atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu.
16Trabia dididija na tiempo, ti inlie yo talo; ya y otro biaje dididija na tiempo inlie yo.
16"Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona!"
17Ya y palo disipulo ilegñija entre sija uno yan otro: Jafa muna ilegña este nu jita? Dididija na tiempo ti inlie yo; ya y otro biaje, dididija na tiempo inlie yo: sa bae jujanao para as Tata?
17Hapo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana, "Ana maana gani anapotwambia: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona? Tena anasema: Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!"
18Ayo nae ilegñija: Jafa este muna ilegña? Dididija na tiempo? Ti tatungo jafa ilegña.
18Basi, wakawa wanaulizana, "Ana maana gani anaposema: Bado kitambo kidogo? Hatuelewi anaongelea nini."
19Lao jatungoja si Jesus na manmalago na umafaesen güe, ya ilegña nu sija: Manafaesen entre jamyo jafa y ilelegco: Dididija na tiempo ya ti inlie yo; ya otro biaje, dididija na tiempo inlie yo?
19Yesu alijua kwamba walitaka kumwuliza, basi akawaambia, "Je, mnaulizana juu ya yale niliyosema: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona?
20Magajet ya magajet y jusangane jamyo: infananges yan infanugungñaejon, lao y tano umagof; ya jamyo infantriste, lao y tristenmiyo umabira para minagof.
20Nawaambieni kweli, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi: mtaona huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
21Y palaoan yaguin para ufañago guaja pinitiña, sa mato y oraña; lao yaguin munjayan jafañago y patgon, mafeta nu y pinitiña, pot y minagofña na esta mañago un taotao gui tano.
21Wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.
22Pago jamyo locue magajet na infantriste; lao yaguin manaliijit talo, ufanmagof corasonmiyo, ya taya siña munajanao y minagofmiyo guiya jamyo.
22Ninyi pia mna huzuni sasa; lakini nitawajieni tena, nanyi mtajaa furaha mioyoni mwenu, na furaha hiyo hakuna mtu atakayeiondoa kwenu.
23Ayo na jaane ti infaesen yo ni jafa. Magajet y magajet y jusangane jamyo, todosija y ingagao y Tata, infanninae pot y naanjo.
23Siku hiyo hamtaniomba chochote. Kweli nawaambieni, chochote mtakachomwomba Baba kwa jina langu, atawapeni.
24Asta pago taya ingagagao pot y naanjo: gagao ya inresibi, ya ubula y minagofmiyo.
24Mpaka sasa hamjaomba chochote kwa jina langu. Ombeni nanyi mtapata ili furaha yenu ikamilike.
25¶ Estesija guinin jusangane jamyo gui acomparasion sija; lao ufato y ora na ti jusangane jamyo gui acomparasion sija, lao jusangane jamyo claro y güinajan Tata.
25"Nimewaambieni mambo hayo kwa mafumbo. Lakini wakati utakuja ambapo sitasema tena nanyi kwa mafumbo, bali nitawaambieni waziwazi juu ya Baba.
26Ayo na jaane infanmangagao pot y naanjo: lao ada ti jusangane jamyo na guajo jutayuyute jamyo gui Tata;
26Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa niaba yenu;
27Sa y Tata mangüinaeya jamyo, sa esta inguaeya yo, ya injenggue na mamaela yo guinin as Yuus.
27maana yeye mwenyewe anawapenda ninyi, kwa sababu ninyi mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.
28Mamaela yo guinin as Tata, ya matoyo gui tano: lao judingo talo y tano, sa bae janao para as Tata.
28Mimi nilitoka kwa Baba, nikaja ulimwenguni; na sasa nauacha ulimwengu na kurudi kwa Baba."
29Y disipuluña ilegñija: Estagüe, pago na unsangan claro, ya taya acomparasion unsangan.
29Basi, wanafunzi wake wakamwambia, "Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.
30Pago intingo na jago untungo todosija; ya ti unnesesita ni jaye unfinaesenjao: pot este injenggue na jago mamaela guinin as Yuus.
30Sasa tunajua kwamba wewe unajua kila kitu, na huna haja ya kuulizwa maswali na mtu yeyote; kwa hiyo tunaamini kwamba umetoka kwa Mungu."
31Maninepe sija as Jesus: Injenggue pago?
31Yesu akawajibu, "Je, mnaamini sasa?
32Estagüe na ufato y ora, ya esta mato pago, na cada uno ujanao para y iyoña, ya indingo yo namaesaja; lao trabia ti guajoja namaesaja sa jumajame an Tata.
32Wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo ninyi nyote mtatawanyika kila mtu kwake, nami nitaachwa peke yangu. Kumbe, lakini mimi siko peke yangu, maana Baba yu pamoja nami.
33Estesija jusangane jamyo, para infangaepas guiya guajo. Infangaemasâpet gui tano; lao mantiene y minatatnganmiyo, sa guajo esta jugana y tano.
33Nimewaambieni mambo haya ili mpate kuwa na amani katika kuungana nami. Ulimwenguni mtapata masumbuko; lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu!"