1ESTESIJA jasangan si Jesus ya tumalag jilo gui langet, ya ilegña: Tata, esta mato y ora; namalag y Lajimo, sa y Lajimo unninamalag locue.
1Yesu alipokwisha sema hayo, alitazama juu mbinguni, akasema, "Baba, saa imefika! Mtukuze Mwanao ili naye Mwana apate kukutukuza.
2Parejaja unnae güe ninasiñaña para todo y catne; ya para todosija y unnae güe, güiya numae sija taejinecog na linâlâ.
2Maana ulimpa Mwanao mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wote hao uliompa.
3Ya este yuje y taejinecog la linâlâ, na intingo jao, na unoja y magajet na Yuus; yan si Jesuscristo nu y jago tumago.
3Na uzima wa milele ndio huu: kukujua wewe uliye peke yako Mungu wa kweli, na kumjua Yesu Kristo uliyemtuma.
4Esta junamalag jao gui tano, ya munjayan y chechojo nu y unnaeyo na juchogüe.
4Mimi nimekutukuza hapa duniani; nimeikamilisha ile kazi uliyonipa nifanye.
5Pago, jagoja Tata, unnamalag yo yan jago na maesa ni ayo na minalag anae estaba jumijita antes di y tano.
5Sasa, Baba, nitukuze mbele yako kwa ule utukufu niliokuwa nao kabla ya kuumbwa ulimwengu.
6Esta jufanue nu y naanmo y taotao nu y unnae yo gui tano; sa iyomo, ya unnae yo; ya sija maadaje y sinanganmo.
6"Nimekufanya ujulikane kwa watu wale ulionipa kutoka duniani. Walikuwa watu wako, nawe ukanipa wawe wangu; nao wamelishika neno lako.
7Pago sija matungo na todosija y unnae yo, sija iyomo.
7Sasa wanajua kwamba kila ulichonipa kimetoka kwako.
8Sa y finijo sija ni y unnae yo, jusangane sija; ya jaresibe, yan jatungo magajet na mamaela yo guinin jago; ya jajonggue na jagoyo tumago.
8Mimi nimewapa ule ujumbe ulionipa nao wameupokea; wanajua kwamba kweli nimetoka kwako, na wanaamini kwamba wewe ulinituma.
9Guajo jutayuyute sija; ti y tano jutayuyute, lao sija y unnaeyo, sa sija iyomo.
9"Nawaombea hao; siuombei ulimwengu, ila nawaombea hao ulionipa, maana ni wako.
10Ya todosija y iyomo, iyoco; ya y iyoco, iyomo; ya guajayo minalag guiya sija.
10Yote niliyo nayo ni yako, na yako ni yangu; na utukufu wangu umeonekana ndani yao.
11Pago taegüe yo gui tano, ya este sija mangaegue gui tano; ya mato yo guiya jago. Tata Santo adaje pot y naanmo, ayo sija y unnaeyo, para ufanunoja, parejo an jita.
11Na sasa naja kwako; simo tena ulimwenguni, lakini wao wamo ulimwenguni. Baba Mtakatifu! Kwa nguvu ya jina lako ulilonipa, tafadhali uwaweke salama ili wawe kitu kimoja kama sisi tulivyo mmoja.
12Anae estaba yo manjajame gui tano, juadadajeja sija pot y naanmo; ayo sija ni y unnaeyo ya juadadajeja ya taya ni uno malilingo, lao unoja esta malingo, güiya patgon yinilang; para ujacumple y tinigue sija.
12Nilipokuwa nao, mimi niliwaweka salama kwa nguvu ya jina lako ulilonipa. Mimi nimewalinda, wala hakuna hata mmoja wao aliyepotea, isipokuwa yule aliyelazimika kupotea ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia.
13Lao pago mato yo iya jago; ya estesija jusasangan gui tano para y minagofjo ubula guiya sija.
13Basi, sasa naja kwako, na nimesema mambo haya ulimwenguni, ili waweze kushiriki kikamilifu furaha yangu.
14Guajo guinin numae sija ni y sinanganmo; ya y tano manchinatlie sija; sa sija ti iyon y tano, parejoja yan guajo ti iyon y tano.
14Mimi nimewapa neno lako, nao ulimwengu ukawachukia, kwa sababu wao si wa ulimwengu kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.
15Ti jutayuyut jao na unnajanao gui tano, lao unadaje sija gui tinaelaye.
15Siombi uwatoe ulimwenguni, bali naomba uwakinge na yule Mwovu.
16Sija ti iyon y tano, parejo yan guajo ti iyon y tano.
16Wao si wa ulimwengu, kama vile nami nisivyo wa ulimwengu.
17Nagasgas sija pot y minagajetmo; y sinanganmo güiya minagajet.
17Waweke wakfu kwa ukweli; neno lako ni ukweli.
18Taegüenao jago tumago yo gui tano, parejoja guajo locue munajutago sija gui tano.
18Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;
19Ya pot sija, juconsagra yo namaesa, para sija locue ufangasgas pot y minagajet.
19na kwa ajili yao mimi mwenyewe najiweka wakfu ili nao pia wafanywe wakfu katika ukweli.
20Ta ti sijaja jutayuyute, lao ayo sija locue y jumonggue yo pot y sinanganñija.
20"Siwaombei hao tu, bali nawaombea pia wote watakaoamini kutokana na ujumbe wao.
21Sa para todo sija ufanunoja; parejoja yan jago, Tata, gaegue jao guiya guajo, ya guajo gaegue guiya jago; sija locue ufanunoja guiya jita; para ujonggue y tano na jago tumago yo.
21Naomba ili wote wawe kitu kimoja. Baba! Naomba wawe ndani yetu kama vile wewe ulivyo ndani yangu nami ndani yako. Naomba wawe kitu kimoja kusudi ulimwengu upate kuamini kwamba wewe ulinituma.
22Ya y minalag nu y unnae yo, junae sija: para ufanunoja parejo yan jita unoja.
22Mimi nimewapa utukufu uleule ulionipa mimi, ili wawe kitu kimoja kama nasi tulivyo mmoja;
23Guajo guiya sija, ya jago guiya guajo, para ufancabales gui unoja; ya para utungo y tano, na jago tumago yo, ya ungüaeya sija, parejoja yan güinaeyamo nu guajo.
23mimi niwe ndani yao, nawe uwe ndani yangu; naomba wakamilishwe na kuwa kitu kimoja, ili ulimwengu upate kujua kwamba wewe ulinituma, na kwamba unawapenda wao kama unavyonipenda mimi.
24Tata! ayosija y unnae yo, malago yo na manoyo nae gaegue, sija ufangaegue locue; para ujalie y minalagjo ni y unnae yo; sa unguaeya yo antes di jiniyong y tano.
24"Baba! Nataka wao ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili wauone utukufu wangu ulionipa; kwa kuwa ulinipenda kabla ya kuumbwa ulimwengu.
25Tata tunas jao, y tano ti jatungo jao; lao guajo tumungo jao, ya estesija jatungo na jago tumagoyo.
25Baba Mwema! Ulimwengu haukujui, lakini mimi nakujua. Hawa nao wanajua kwamba wewe ulinituma.
26Ya guajo minamatungo sija y naanmo ya bae junatungo: na ayo na güinaeya ni y ungüaeya yo, ayo gaegue guiya sija, yan guajo guiya sija.
26Nimekufanya ujulikane kwao na nitaendelea kufanya hivyo, ili upendo ulio nao kwangu uwe ndani yao, nami niwe ndani yao."