Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

18

1ANAE si Jesus munjayan jasangan este sija na sinangan, mapos yan y disipuluña para otro banda y sadog Sidron, anae guaja un güetta, ya jumalom güe yan y disipuluña.
1Yesu alipokwisha sema hayo, alikwenda ng'ambo ya kijito Kedroni, pamoja na wanafunzi wake. Mahali hapo palikuwa na bustani, naye Yesu akaingia humo pamoja na wanafunzi wake.
2Ya si Judas locue, ni y umentrega güe, jatungo ayo na lugat; sa megae na biaje si Jesus jumanao güije yan y disipuluña.
2Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko.
3Ayo nae si Judas mañule y inetnon sendalo, yan y ofisiat sija ni manmagas na mamale yan y Fariseo, mamalag ayo na lugat, manmañuñule falot, yan candet, yan atmas.
3Basi, Yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na Mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
4Enao mina si Jesus jatungo todosija na ufanmato guiya güiya, ya jumuyong güe gui menanñija, ya ilegña nu sija: Jaye inaliligao?
4Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawauliza, "Mnamtafuta nani?"
5Inepeñija: Si Jesus Nasareno. Si Jesus ilegña nu sija: Guajo yo. Gaegue güije locue mañisija yan Judas y umentrega güe.
5Nao wakamjibu, "Yesu wa Nazareti!" Yesu akawaambia, "Mimi ndiye." Msaliti Yuda alikuwa amesimama hapo pamoja nao.
6Anae munjayan jasangan: Guajo yo; manalo guato ya mamodong gui tano.
6Basi, Yesu alipowaambia: "Mimi ndiye", wakarudi nyuma, wakaanguka chini.
7Tomalo jafaesen sija: Jaye inaliligao? Ya ilegñija: Si Jesus Nasareno.
7Yesu akawauliza tena, "Mnamtafuta nani?" Wakamjibu, "Yesu wa Nazareti!"
8Manope si Jesus; Munjayanyo jusangane jamyo na guajo yo: Yaguin guajo inaliligao, polo ya ufanjanao este sija:
8Yesu akawaambia, "Nimekwisha waambieni kwamba mimi ndiye. Basi, kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao."
9Para ucumple y sinangan na esta jasangan: Ayo sija ni unnae yo, ni uno junafalingo.
9(Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: "Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.")
10Ayo nae si Simon Pedro guaja espadaña, jachule ya janachetnudan un tentago mamale, ya jautut un talagaña gui agapa. Ya y tentago naanña si Malco.
10Simoni Petro alikuwa na upanga; basi, akauchomoa, akamkata sikio la kulia mtumishi wa Kuhani Mkuu. Mtumishi huyo aliitwa Malko.
11Enao mina si Jesus elegña as Pedro: Na jalom y espadamo gui baena; y copa ni janaeyo si tata, ada taya para juguimen?
11Basi, Yesu akamwambia Petro, "Rudisha upanga wako alani. Je, nisinywe kikombe alichonipa Baba?"
12Ayo na tiempo y inetnon sendalo, yan y magas sendalo, yan y ofisiat y Judio sija, macone si Jesus ya magode.
12Kile kikosi cha askari, mkuu wake na walinzi wa Wayahudi walimkamata Yesu, wakamfunga
13Ya finenana machule guato as Annas; sa güiya y suegron Caefas, na magasja na pale güije na año.
13na kumpeleka kwanza kwa Anasi; Anasi alikuwa baba mkwe wa Kayafa ambaye alikuwa Kuhani Mkuu mwaka huo.
14Ya si Caefas manae consejo ni y Judio sija, na janesisita un taotao para umatae pot y taotao sija.
14Huyo Kayafa ndiye aliyekuwa amewashauri Wayahudi kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya taifa.
15¶ Ya madalalag si Jesus si Simon Pedro, taegüenao yan otro disipulo. Ya ayo y otro disipulo atungo y magas na pale; ya jumalom yan si Jesus; gui quelat y palasyon y magas na pale.
15Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walimfuata Yesu. Huyo mwanafunzi mwingine alikuwa anajulikana kwa Kuhani Mkuu, hivyo aliingia pamoja na Yesu ndani ya ukumbi wa Kuhani Mkuu.
16Lao si Pedro gaegue gui sanjiyong y petta. Entonses ayo y otro disipulo ni y atungo y magas na pale jumuyong, ya jasangane y pottera, ya janajalom si Pedro.
16Lakini Petro alikuwa amesimama nje, karibu na mlango. Basi, huyo mwanafunzi mwingine aliyekuwa anajulikana kwa Kuhani Mkuu alitoka nje akasema na mjakazi, mngoja mlango, akamwingiza Petro ndani.
17Entonses ayo na palaoan ni y jaadaje y petta ilegña as Pedro: Ti jago locue disipulon este na taotao? Güiya ilegña: Aje, ti guajo.
17Huyo msichana mngoja mlango akamwuliza Petro, "Je, nawe pia ni mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?" Petro akamwambia, "Si mimi!"
18Mangaegue güije y tentago sija yan y ofisiat, sija, manotojgue, ya jafatinas y guafin pinigan; sa manenggeng; ya janafanmamaepe sija: ya esta tomotojgue mañisija yan Pedro janamamaepe güe.
18Watumishi na walinzi walikuwa wamewasha moto kwa sababu kulikuwa na baridi, wakawa wanaota moto. Naye Petro alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
19¶ Ya y magas na pale jafaesen si Jesus jaftaemano y disipuluña yan y doctrinaña.
19Basi, Kuhani akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.
20Inepeña si Jesus: Guajo sumangan claro gui tano; guajo siempre mamanagüe guiya sinagogo yan y templo anae manetnon todo y Judio sija; ya taya jucuentuse gui secreto.
20Yesu akamjibu, "Nimesema na kila mtu daima hadharani. Kila mara nimefundisha katika masunagogi na Hekaluni, mahali wakutanikiapo Wayahudi wote; na wala sijasema chochote kwa siri.
21Sajafa mina unfafaesen yo? Faesen y manmanjungog ni y jusangane sija. Estagüe, sija y tumungo y sinanganjo.
21Kwa nini waniuliza mimi? Waulize wale waliosikia nini niliwaambia. Wao wanajua nilivyosema."
22Ya anae güiya esta sumangan este, uno gui ofisiat sija na mangaegue güije, japatmada si Jesus ya ilegña: Taegüenao unope y magas na pale?
22Alipokwisha sema hayo mlinzi mmoja aliyekuwa amesimama hapo akampiga kofi akisema, "Je, ndivyo unavyomjibu Kuhani Mkuu?"
23Ynepe güe as Jesus: Yaguin jusangan taelaye, nae testimonio nu y taelaye; yaguin mauleg, pot jafa mina innachinudan yo?
23Yesu akamjibu, "Kama nimesema vibaya, onyesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?"
24Ayo nae si Annas ninamacone güe mangode para as Caefas, magas na pale.
24Basi, Anasi akampeleka Yesu akiwa amefungwa, kwa Kuhani Mkuu Kayafa.
25¶ Ayo nae si Simon Pedro estaba tomotojgue janamamaepe güe. Entonses ilegñija nu güiya: Ada ti güiya jao uno gui disipuluña? Güiya mandague ya ilegña: Ti guajo yo.
25Petro alikuwa hapo akiota moto. Basi, wakamwuliza, "Je, nawe pia si mmoja wa wanafunzi wake?" Yeye akakana na kusema, "Si mimi!"
26Uno gui tentagon magas na pale, parientes ayo y jautut si Pedro y talagaña, ya sinangane: Ti julie jao gui güetta yan güiya?
26Mmoja wa watumishi wa Kuhani Mkuu, jamaa wa yule aliyekatwa sikio na Petro, akamwuliza, "Je, mimi sikukuona wewe bustanini pamoja naye?"
27Luego mandague talo si Pedro. Y enseguidas y gayo umoo.
27Petro akakana tena; mara jogoo akawika.
28¶ Ayo nae macone si Jesus güine as Caefas gui jalom palasyo: ya ogaan güije; ya sija ti manjalom gui palasyo, pot no sea infanninaale, lao para usiña mañocho gui pascua.
28Basi, walimchukua Yesu kutoka kwa Kayafa, wakampeleka ikulu. Ilikuwa alfajiri, nao ili waweze kula Pasaka, hawakuingia ndani ya ikulu wasije wakatiwa najisi.
29Entonses mapos juyong si Pilato guiya sija ya ilegña: Jafa na finaaela inchichile contra este na taotao?
29Kwa hiyo, Pilato aliwaendea nje, akasema, "Mna mashtaka gani juu ya mtu huyu?"
30Manmanope ya ilegñija nu güiya: Yaguin ti taelaye finatinasña, ti inentregao.
30Wakamjibu, "Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako."
31Enaomina si Pilato ilegña nu sija: Chile güe jamyo ya injisga jaftaemano y laymiyo. Ylegñija y Judio sija nu güiya: Ti tunas na jame, infanmannae finatae ni jaye.
31Pilato akawaambia, "Haya, mchukueni ninyi wenyewe, mkamhukumu kufuatana na Sheria yenu." Wayahudi wakamjibu, "Sisi hatuna mamlaka ya kumwua mtu yeyote."
32Para umacumple y sinangan Jesus ni jasangan, janamatungo jafa na finataeña nae umatae.
32(Ilifanyika hivyo yapate kutimia maneno aliyosema Yesu kuonyesha atakufa kifo gani.)
33¶ Entonses si Pilato tumalo jumalom gui palasyo ya jaagang si Jesus ya ilegña nu güiya: Jago jao y Ray Judio sija?
33Pilato akaingia tena ndani ya ikulu, akamwita Yesu na kumwuliza: "Ati wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?"
34Ynepe as Jesus: Unsasangan este pot jagoja namaesa, pat otro sija sumangangane jao pot guajo?
34Yesu akamjibu, "Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekwambia habari zangu?"
35Si Pilato manope: Guajo Judio yo? Nasionmo, ya y manmagas na mamale, maentrega yo nu jago: Jafa finatinasmo?
35Pilato akamjibu, "Je, ni Myahudi mimi? Taifa lako na makuhani wamekuleta kwangu. Umefanya nini?"
36Ynepe as Jesus: Y raenoco, ti ujuyong gui sanjilo este na tano: Yaguin y raenoco ujuyong gui sanjilo este na tano, y tentagojo sija ufanmumo, pot guajo, ya ti jumaentrega gui Judio sija: lao pago y raenoco ti ujuyong güine.
36Yesu akamjibu, "Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu watumishi wangu wangenipigania nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa."
37Entonses si Pilato ilegña nu güiya: Jago pues un ray jao? Ynepe as Jesus: Jago umalog na guajo un ray. Guajo minamafañago yo, pot este, yan minamamaela yo gui tano pot este, para umanae testimonio ni minagajet. Todo ayo y iyon minagajet, jajungog y inagangjo.
37Hapo Pilato akamwambia, "Basi, wewe ni Mfalme?" Yesu akajibu, "Wewe umesema kwamba mimi ni Mfalme. Mimi nimezaliwa kwa ajili hiyo; na kwa ajili hiyo nimekuja ulimwenguni kuwaambia watu juu ya ukweli. Kila mtu wa ukweli hunisikiliza."
38Si Pilato ilegña nu güiya: Jafa na güinaja y minagajet? Anae munjayan jasangan este, tumalo guato gui Judio sija ya ilegña nu sija: Guajo ti mañoda yo guiya güiya jafa na isao.
38Pilato akamwambia, "Ukweli ni kitu gani?" Pilato alipokwisha sema hayo, aliwaendea tena Wayahudi nje, akawaambia, "Mimi sioni hatia yoyote kwake.
39Lao jamyo guaja costumbrenmiyo na junalibre uno para jamyo gui pascua. Manmalago jamyo na junalibre y Ray Judio sija?
39Lakini, mnayo desturi kwamba mimi niwafungulie mfungwa mmoja wakati wa Pasaka. Basi, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?"
40Entonses managang talo ya ilegñija: Ti este; lao si Barabas. Ya si Barabas güiya un saque.
40Hapo wakapiga kelele: "La! Si huyu ila Baraba!" Naye Baraba alikuwa mnyang'anyi.