1AYO nae si Pilato jachule si Jesus, ya jasaulag.
1Basi, Pilato akaamuru Yesu achukuliwe, apigwe viboko.
2Ya y sendalo sija jadufog tituca para un corona, ya japolo gui iluña ya manaminagago güe ni magagon agaga.
2Nao askari wakasokota taji ya miiba, wakamtia kichwani, wakamvika na joho la rangi ya zambarau.
3Manmato jijot ya ilegñija: Jafa tatatmano jao, Ray Judio sija? Ya manae patmada.
3Wakawa wanakuja mbele yake na kusema: "Shikamoo, Mfalme wa Wayahudi!" Wakampiga makofi.
4Entonses si Pilato jumuyong talo, ya ilegña nu sija: Estagüe na jachule guiya jamyo juyong, para intingo na ni un isao jusoda guiya güiya.
4Pilato akatoka tena nje, akawaambia, "Tazameni, namleta nje kwenu, mpate kujua kwamba mimi sikuona hatia yoyote kwake."
5Ayo anae si Jesus mapos juyong, jachuchule y coronan tituca yan y magagon agaga. Ya ilegña nu sija si Pilato: Estagüe y taotao!
5Basi, Yesu akatoka nje amevaa taji ya miiba na joho la rangi ya zambarau. Pilato akawaambia, "Tazameni! Mtu mwenyewe ni huyo."
6Anae malie güe ni y magas mamale yan y ofisiat sija, manaagang ilegñija: Atane gui quiluus, atane gui quiluus. Si Pilato ilegña nu sija: Chile jamyo ya inatane gui quiluus; sa guajo ti mañoda yo jafa na isao guiya güiya.
6Makuhani wakuu na walinzi walipomwona wakapaaza sauti: "Msulubishe! Msulubishe!" Pilato akawaambia, "Mchukueni basi, ninyi wenyewe mkamsulubishe, kwa maana mimi sikuona hatia yoyote kwake."
7Maope güe ni y Judio sija: Jame guaja laymame, ya segun y laymame, debe umatae, sa jafa na güiya jafatinas maesa güe Lajin Yuus.
7Wayahudi wakamjibu, "Sisi tunayo Sheria, na kufuatana na Sheria hiyo, ni lazima afe, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu."
8Si Pilato anae jajungog este na sinangan, guaja güe mas dangculo na minaañao;
8Pilato aliposikia maneno hayo akazidi kuogopa.
9Ya jumalom talo gui palasyo ya ilegña as Jesus: Jago, taotao mano jao? Ya si Jesus taya inepeña.
9Basi, akaingia tena ndani ya ikulu, akamwuliza Yesu, "Umetoka wapi wewe?" Lakini Yesu hakumjibu neno.
10Si Pilato pues ilegña nu güiya: Jago ti umadingane yo? Ti untungo na guaja yo ninasiñajo para junalibre jao, ya para juatane jao gui quiluus?
10Hivyo Pilato akamwambia, "Husemi nami? Je, hujui kwamba ninayo mamlaka ya kukufungua na mamlaka ya kukusulubisha?"
11Manope güe si Jesus: Ti siña y ninasiñamo contra guajo, yaguin ti manaejao gui sanjilo; enao mina y umentrega yo guiya jago, guaja mas dangculo na isao.
11Yesu akamjibu, "Hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa na Mungu. Kwa sababu hiyo, yule aliyenikabidhi kwako ana dhambi kubwa zaidi."
12Guinin este, si Pilato jaaligao y lugat para unalibre gue: lao y Judio sija managang ilegñija: Yaguin unnalibre este na taotao, ti amigon Sesat jao; sa ayo y umanaray, jasangan contra si Sesat.
12Tangu hapo, Pilato akawa anatafuta njia ya kumwachilia, lakini Wayahudi wakapiga kelele: "Ukimwachilia huyu mtu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu anayejifanya kuwa Mfalme humpinga Kaisari!"
13Anae si Pilato jajungog este na sinangan, jachule si Jesus juyong ya matachong gui tribuna, gui lugat na mafanaan Piso, ya y Hebreo na finojo Gábbatta.
13Basi, Pilato aliposikia maneno hayo akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo: "Sakafu ya Mawe" (kwa Kiebrania, Gabatha).
14Ayo nae y tiempo para ufamauleg y pascua: jijot y ora gui las saes. Entonses ilegña ni y Judio sija: Estagüe y Raymiyo!
14Ilikuwa yapata saa sita mchana, siku ya maandalio ya Pasaka. Pilato akawaambia Wayahudi, "Tazameni, Mfalme wenu!"
15Entonses manaagang, ilegñija: Najanao! najanao! Atane gui quiluus! Ylegña nu sija si Pilato: Juatane y Raymiyo? Magas na mamale manmanope: Taya raymame na si Sesatja.
15Wao wakapaaza sauti: "Mwondoe! Mwondoe! Msulubishe!" Makuhani wakuu wakajibu, "Sisi hatuna Mfalme isipokuwa Kaisari!"
16Entonses maentrega güe guiya sija para umatane gui quiluus. Ya sija cumone si Jesus!
16Basi, hapo Pilato akamtia Yesu mikononi mwao ili asulubiwe. Basi, wakamchukua Yesu.
17¶ Ya güiya chumuchuchule y quiluusña, jumanao para ayo na lugat na mafanaan y sagan calabera, cumequeilegña gui Hebreo na finijo, Golgota;
17Naye akatoka akiwa amejichukulia msalaba wake kwenda mahali paitwapo "Fuvu la Kichwa", (kwa Kiebrania Golgotha).
18Anae maatane gui quiluus; yan y gachongña otro dos, gui dos banda Jesus ya si Jesus gui talo.
18Hapo ndipo walipomsulubisha, na pamoja naye waliwasulubisha watu wengine wawili; mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto, naye Yesu katikati.
19Ya manugue si Pilato un tinigue ya mapolo gui sanjilo y quiluus. Ya y tinigue: SI JESUS NASARENO, RAY Y JUDIO SIJA.
19Pilato aliandika ilani akaiweka juu ya msalaba. Nayo ilikuwa imeandikwa hivi: "Yesu wa Nazareti, Mfalme wa Wayahudi."
20Ya megae na Judio sija tumaetae este na tinigue, sa y lugat anae maatane si Jesus, jijot gui siuda, ya esta matugue gui Hebreo, yan Griega, yan Lating.
20Wayahudi wengi waliisoma ilani hiyo, maana mahali hapo aliposulubiwa Yesu palikuwa karibu na mji. Tena ilani hiyo ilikuwa imeandikwa kwa Kiebrania, Kilatini, na Kigiriki.
21Ayo nae elegñija as Pilato y manmagas na mamale yan y Judio sija: Chamo titigue: Ray y Judio sija: lao güiya umalog: Guajo y Ray y Judio sija.
21Basi, makuhani wakuu wakamwambia Pilato, "Usiandike: Mfalme wa Wayahudi, ila Yeye alisema, Mimi ni Mfalme wa Wayahudi."
22Manope si Pilato: Jafa y jutugue esta jutugue.
22Pilato akajibu, "Niliyoandika, nimeandika!"
23¶ Entonses y sendalo sija, anae munjayan maatane gui quiluus si Jesus, machule y magaguña, ya mafatinas cuatro patte, cada sendalo un patte; yan y tunico na magago locue; güiya taya malagseña, lao todo matufog desde y sanjilo asta y sanpapa.
23Askari walipokwisha msulubisha Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Walichukua pia na kanzu yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono.
24Pot enao ilegñija entre sija: Mungajit umipe, lao tapolo suette gui jiloña, jaye gaeyo güe: para umacumple y tinigue na ilegña: Mapatte entre sija y magagujo, ya y tunico na magagojo mafatinas y suette. Estesija y sendalo fumatinas.
24Basi, hao askari wakashauriana: "Tusiipasue, ila tuipigie kura itakuwa ya nani." Jambo hilo lilifanyika ili yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: "Waligawana mavazi yangu, na nguo yangu wakaipigia kura." Basi, ndivyo walivyofanya hao askari.
25¶ Ya manotojgue gui fiun quiluus Jesus, si nanaña, yan y chelun nanaña as Maria, yan si Maria palaoan Cleopas, yan si Maria Magdalena.
25Karibu na msalaba wake Yesu walikuwa wamesimama mama yake, na dada ya mama yake, Maria mke wa Kleopa, na Maria Magdalene.
26Ya anae jalie si Jesus si nanaña, yan y disipuluña ni jaguaeya na tomotojgue jijot, ilegña as nanaña: Palaoan, enaogüe y lajimo!
26Yesu alipomwona mama yake, na karibu naye amesimama yule mwanafunzi aliyempenda, akamwambia mama yake: "Mama! Tazama, huyo ndiye mwanao."
27Despues, ilegña ni disipulo: Enaogüe si nanamo. Desde ayo na ora y disipulo inadaje güe gui guimaña.
27Halafu akamwambia yule mwanafunzi: "Tazama, huyo ndiye mama yako." Na tangu saa ile huyo mwanafunzi alimchukua akae nyumbani kwake.
28¶ Despues di este, jatungo si Jesus na todosija esta manmacumple, para y tinigue umacumple, ilegña: Majoyo.
28Yesu alijua kwamba yote yalikuwa yametimia; na, ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia, akasema, "Naona kiu."
29Ya gaegue güije un nayan na bula y binagle: Ya sija nabula y espongja y binagle ya mapolo gui jilo un jayo na naanña y hisopo, ya manafalag y pachotña.
29Hapo palikuwa na bakuli limejaa siki. Basi, wakachovya sifongo katika hiyo siki, wakaitia juu ya ufito wa husopo, wakamwekea mdomoni.
30Anae si Jesus jaguinem y binagle, elegña: Jocog esta: ya janaeguen y iluña ya jaentrega y espiritu.
30Yesu alipokwisha pokea hiyo siki, akasema, "Yametimia!" Kisha akainama kichwa, akatoa roho.
31¶ Entonses y Judio sija, sa ayo na jaane y jaanen Preparasion; para y tataotao sija taya usaga gui quiluus gui sabado na jaane (sa dangculo ayo na jaane y sabado), manmangagao as Pilato na ufanmajulog y adengñija ya umanafanjanao güije.
31Ilikuwa Ijumaa, siku ya Maandalio. Kwa hiyo, kusudi miili isikae msalabani siku ya Sabato, maana siku hiyo ya Sabato ilikuwa siku kubwa, Wayahudi walimwomba Pilato miguu ya hao waliosulubiwa ivunjwe na miili yao iondolewe.
32Manmanmato sija y sendalo ya majulog y adengña y finenana, yan y otro, ayo dos y guinin y matane gui quiluus yan guiya;
32Basi, askari walikwenda, wakaivunja miguu ya yule mtu wa kwanza na yule wa pili ambao walikuwa wamesulubiwa pamoja na Yesu.
33Ya anae manmato gui as Jesus, ya malie na güiya esta matae, ti julog y adengña:
33Lakini walipomfikia Yesu waliona kwamba alikwisha kufa, na hivyo hawakumvunja miguu.
34Lao uno gui sendalo sija, janaadotgan gui calaguagña y lansaña, ya jumuyong y jâgâ yan janom.
34Lakini askari mmoja alimtoboa ubavuni kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji.
35Ya güiya y lumie mannae testimonio, ya y testimonioña, güiya magajet: ya güiya tumungo na jafa, ilegña magajet, para jamyo locue injenggue.
35(Naye aliyeona tukio hilo ametoa habari zake ili nanyi mpate kuamini. Na hayo aliyosema ni ukweli, tena yeye anajua kwamba anasema ukweli.)
36Sa este na güinaja jumuyong esta para umacumple y tinigue na ilegña: Ni un tolang guiya güiya umajulog.
36Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: "Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa."
37Yan locue otro tinigue ilegña: Umaatan ayo ni janaadotgan.
37Tena Maandiko mengine yanasema: "Watamtazama yule waliyemtoboa."
38¶ Despues di malofan estesija, si José taotao Arimatea, ya disipulon Jesus, lao gui secreto sa maañao ni Judio sija, jagagao si Pilato na güiya unajanao y tataotao Jesus: entonses si Pilato japolo. Ya mato güe ya janajanao y tataotaoña.
38Baada ya hayo, Yosefu, mwenyeji wa Armathaya, alimwomba Pilato ruhusa ya kuuchukua mwili wa Yesu. (Yosefu alikuwa mfuasi wa Yesu, lakini kwa siri, maana aliwaogopa viongozi wa Wayahudi). Basi, Pilato akamruhusu. Hivyo Yosefu alikwenda, akauondoa mwili wa Yesu.
39Mato locue si Nicodemo, na jagas mato gui as Jesus gui puenge, mañuñule un dinañan mira yan chaguan na jajatot, na y minacatña sien libra.
39Naye Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu usiku, akaja akiwa amechukua mchanganyiko wa manemane na ubani kiasi cha kilo thelathini.
40Ayo nae jachule y tataotao Jesus, ya maafuyut magago yan paopao, taemanoja y costumbre y Judio sija an manmanjafot.
40Basi, waliutwaa mwili wa Yesu, wakaufunga sanda pamoja na manukato kufuatana na desturi ya Wayahudi katika kuzika.
41Ya ayo na lugat nae maatane gui quiluus, guaja un güetta, ya y güetta nae guaja un naftan nuebo, ya asta pago taya nae mapoluye.
41Mahali hapo aliposulubiwa Yesu palikuwa na bustani, na katika bustani hiyo kulikuwa na kaburi jipya ambalo hakutiwa bado mtu yeyote ndani yake.
42Ayo nae mapolo si Jesus, sa ayo na jaane y jaanin Preparasion y Judio sija (sa ayo na naftan estaba jijot).
42Basi, kwa sababu ya shughuli za Wayahudi za maandalio ya Sabato, na kwa vile kaburi hilo lilikuwa karibu, wakamweka Yesu humo.