1Y finenana na jaane gui semana, gui egaan anae ti claro, si Maria Magdalena mato gui naftan, ya jalie y acho na manajanao gui naftan.
1Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi.
2Entonses malago ya malag as Simon Pedro, yan y otro disipulo ni güinaeya as Jesus, ya ilegña nu sija: Jachule y Señot gui naftan ya jame ti intingo mano nae japolo.
2Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, "Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka."
3Manmapos si Pedro yan y otro disipulo, ya manmato gui naftan.
3Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
4Ya manmalago sija y dos umetnon: ya y otro disipulo malago chadigña qui si Pedro, ya mato finenana gui naftan.
4Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
5Ya ñumejon ya jaatan, ya jalie y magago lenso na mapolo; lao ti jumalom.
5Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani.
6Entonses mato si Simon Pedro ni dumadalalag güe, ya jumalom gui naftan, ya jalie y magago lenso na mapolo,
6Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,
7Ya y magago sudario na gaegue gui jilo y iluña, ti mapolo yan y palo magago, lao y otro lugat na mabalulutan.
7na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake.
8Entonses jumalom locue ayo y otro disipulo, ni guine mato finenana gui naftan; ya jalie yan jajonggue.
8Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini.
9Sa ti matutungo trabia y tinigue, na janesesita na güiya ucajulo guine entalo manmatae.
9(Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
10Ayo nae manalo y disipulo sija guato gui guimañija.
10Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.
11¶ Ya si Maria gaegue güije gui san jiyong, jijot y naftan ya tumatanges; ya tumanges, ñumejon papa y jaatan y sanjalom y naftan;
11Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,
12Ya jalie dos angjet na minagagon apaca, na manmatatachong, y uno gui para y ilo, y otro para y adeng, anae y tataotao Jesus guine mapolo.
12akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni.
13Ya ilegñija nu güiya: Palaoan, jafa na tumatanges jao? Ylegña nu sija: Sa jafa muna jachule y Señotjo, ya ti jutungo mano nae japolo.
13Hao malaika wakamwuliza, "Mama, kwa nini unalia?" Naye akawaambia, "Wamemwondoa Bwana wangu, na wala sijui walikomweka!"
14Anae jasangan este, tumalo tate, ya jalie si Jesus, güije na tomotojgue, lao ti jatungo cao güiya si Jesus.
14Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu.
15Ylegña nu güiya si Jesus: Palaoan, jafa na tumatanges jao? Jaye unaliligao? Pineloña na ayo na taotao y taotao y güetta, ilegña nu guiya: Señot, yaguin jago chumule, sangane yo mano nae unpolo, ya juchule güe.
15Yesu akamwuliza, "Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?" Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani, akamwambia, "Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua."
16Ylegña nu güiya si Jesus: Maria! Jabira guiya güiya ya, ilegña gui Hebreo na finijo: Raboni! cumequeilegña, Maestro;
16Yesu akamwambia, "Maria!" Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, "Raboni" (yaani "Mwalimu").
17Ylegña nu güiya si Jesus: Chamo yo pumapacha; sa asta pago ti cajulo yo gui as Tata; lao janao para y mañelujo ya unsangane sija, na jucajulo gui Tatajo ya yan Tatamiyo, y Yuusjo yan y Yuusmiyo.
17Yesu akamwambia, "Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu."
18Mato si Maria Magdalena ya jasangane y disipulo sija: Esta julie y Señot; ya jaftaemano sinangane güe nu este na güinaja.
18Hivyo Maria Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo.
19¶ Ya anae esta pupuenge, güije mismo na jaane, y finenana gui semana, ya y petta manmajujuchom, güije nae mangaegue y disipulo sija manetnon sa manmaañao ni Judio sija, mato si Jesus, ya tumojgue güe gui talo ya ilegña nu sija: Pas ugaegue guiya jamyo.
19Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, "Amani kwenu!"
20Ya anae munjayan jasangan este, manfinanue ni canaeña yan y calaguagña. Ayo nae manmagof y disipulo sija anae malie y Señot.
20Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana.
21Ya si Jesus ilegña nu sija talo: Pas ugaegue guiya jamyo; taemanoja si Tata ni tumago yo, taegüije locue jutago jamyo.
21Yesu akawaambia tena, "Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi."
22Ya anae munjayan jasangan este, manguaefe gui jiloñija ya ilegña nu sija: Resibe jamyo y Espirito Santo.
22Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, "Pokeeni Roho Mtakatifu.
23Y inasie ni y isaoñija, sija ufanmaasie; ya iyonñija y indetiene sija ufanmadetiene.
23Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi."
24¶ Ya si Tomas, uno gui dose, na mafananaan si Didimo, taegüe guiya sija anae mato si Jesus.
24Thoma mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja.
25Ya ilegñija nu güiya y palo disipulo: Y Señot guinin talie. Lao ilegña nu sija: Yaguin ti julie gui canaeña y señat y lilog sija, ya junajalom y calalotjo gui señat y lilog, yan ti junajalom y canaejo gui calaguagña, ti jujonggue.
25Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, "Tumemwona Bwana." Thoma akawaambia, "Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki."
26¶ Ya despues di manmalofan ocho na jaane, anae disipulo sija mangaegue talo gui sanjalom, mañisija yan si Tomas. Mato si Jesus, macandalo y petta, ya sumaga gui entalo ya ilegña: Pas ugaegue guiya jamyo.
26Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, "Amani kwenu!"
27Ayo nae ilegña as Tomas: Namamaela güine mague y calolotmo, ya unlie y canaejo; ya namamaela güine mague y canaemo, ya unnajalom gui calaguagmo; ya chamo tataeinangoco, lao unjonggue.
27Kisha akamwambia Thoma, "Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!"
28Entonses si Tomas manope ya ilegña nu güiya: Señotjo yan Yuusjo.
28Thoma akamjibu, "Bwana wangu na Mungu wangu!"
29Ylegña nu güiya si Jesus: Pot y unlie yo, Tomas, na unjonggue yo: mandichoso ayo sija y ti manmanlie, lao manmanjonggue.
29Yesu akamwambia, "Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini."
30¶ Magajet, megae sija na señat palo na jafatinas si Jesus gui menan y disipuluña na ti matugue güine na leblo:
30Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara nyingine nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki.
31Lao este sija manmatugue para injenggue na si Jesus, güiya si Cristo, Lajin Yuus; ya anae injenggue, guaja jamyo taejinecog la linâlâ pot y naanña.
31Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake.