1YA despues di manmalofan estesija, si Jesus jumanao para Galilea: ya ti malago mamocat guiya Judea, sa y Judio sija maaliligao güe para umapuno.
1Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumwua.
2Ya estaba jijot y guipot y Judio sija, na mafanaan gupot tabetnaculo.
2Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
3Y mañeluña sija pot este na rason ilegñija nu güiya: Falofan güine, ya unjanao para Judea, para y disipulumo sija locue ujalie y chechomo sija ni unfatitinas.
3Basi ndugu zake wakamwambia, "Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya.
4Sa taya ni uno, mamatitinas jafa na güinaja gui secreto, ya güiyaja mismo ualigao na umatungo gui publico. Yaguin unfatitinas este sija na güinaja, fanuejao gui tano.
4Mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu."
5Sa mañeluña sija locue ti majonggue güe.
5(Hata ndugu zake hawakumwamini!)
6Ayo nae si Jesus ilegña nu sija: Y tiempoco ti mafato trabia, lao y tiemponmiyo siempre esta listo.
6Basi, Yesu akawaambia, "Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu ninyi kila wakati unafaa.
7Y tano ti siña manchinatlie jamyo; lao guajo jachatlie, sa mannae yo testimonio pot güiya, na y chechoña manaelaye.
7Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu.
8Jamyo infangajulo güine na gupot; guajo ti jucajulo güine na gupot; sa y tiempoco trabia ti macumple.
8Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika."
9Ya anae munjayan jasangane estesija, sumaga trabia guiya Galilea.
9Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya.
10¶ Lao anae y mañeluña sija mangajulo; ayo nae güiya locue cumajulo gui guipot; ti gui publico, lao calang gui secreto.
10Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.
11Ayo nae y Judio sija maaliligao güe gui guipot; ya ilegñija: Manggue güe?
11Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; Wakauliza: "Yuko wapi?"
12Ya guaja un dangculon gonggong entalo y linajyan taotao sija pot güiya; sa guaja ilegñija: Güiya mauleg na taotao; palo, ilegñija: Aje, lao jadadague y taotao sija.
12Kulikuwa na minong'ono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao walisema, "Ni mtu mwema." Wengine walisema, "La! Anawapotosha watu."
13Lao ni uno umadingan gui publico pot güiya, sa manmaañao ni Judio sija.
13Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi.
14¶ Anae y entalo y guipot, cajulo si Jesus gui templo ya mamanagüe.
14Sikukuu hiyo ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda Hekaluni, akaanza kufundisha.
15Enao muna y Judio sija manamanman ya ilegñija: Jafa muna jatungo este letra na ti umeeyag?
15Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema "Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?"
16Maninepe as Jesus ilegña: Y finanagüeco, ti iyoco lao iyon ayo y tumago yo.
16Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
17Yaguin guaja y mumalago fumatitinas y minalagoña, güiya utumungo y finanagüeco, cao güiya iyon Yuus, pat jusangan estesija na güinaja pot guajo namaesa.
17Mtu anayependa kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka kwa Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe.
18Y umadingan pot güiyaja, ualiligao y minalagña namaesa; lao y umaligao y minalag iyon ayo y tumago güe, güiya magajet ya taya tinaelaye gaegue guiya güiya.
18Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
19Ti manninae jamyo as Moises y tinago sija, ya taya uno guiya jamyo cumumple ya tinago sija? Sajafa na inprocucura para inpino yo?
19Je, Mose hakuwapeni Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika Sheria. Kwa nini mnataka kuniua?"
20Y linajyan taotao manmanope: Anite guaja guiya jago! Jaye promucucuraja pumano jao?
20Hapo watu wakamjibu, "Una wazimu wewe! Nani anataka kukuua?"
21Manope si Jesus ya ilegña: Un chocho guajo fumatinas, ya todo jamyo ninafanmanman.
21Yesu akawajibu, "Kuna jambo moja nililofanya, nanyi mnalistaajabia.
22Pot este si Moises manninae jamyo ni y circunsision (na ti guine as Moises lao iyon y tata sija), ya asta pago gui sabado incircunsida y taotao.
22Mose aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka kwa Mose, bali ilitoka kwa mababu). Sasa ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato.
23Yaguin y taotao resibe gui sabado y circunsision, para ti umapoca y tinagon Moises; manbubo jamyo nu guajo, sa junasenguefjomlo un taotao gui sabado na jaane?
23Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?
24Chamiyo injisga taemanoja y liniinmiyo, lao injisga taemanoja y cabales na juisio.
24Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki."
25¶ Ylegñija locue palo gui taotao Jerusalem: Ti güiya este y manmaliligao para upuno.
25Baadhi ya watu wa Yerusalemu walisema, "Je, yule mtu wanayemtafuta wamuue si huyu?
26Ya lie na umadingan jafa malagoña, ya taya sumangan jafa nu güiya. Siña na y magalaje sija jatungo magajet, na este si Cristo?
26Tazameni sasa! Anawaonya hadharani, wala hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?
27Lao jita tumungo este na taotao, guine mano güe: ya anae mato si Jesucristo, taya uno tumungo taotao mano.
27Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!"
28Si Jesus entonses umagang gui. templo anae mamananagüe ilegña: Jamyo intingo yo, jaye yo, yan intingo locue taotao mano yo; ya guajo mamaela ti pot guajoja: lao y tumago yo, güiya magajet, ya jamyo ti intingo güe.
28Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.
29Guajo tumungo güe, sa guine güiya yo, ya güiya tumago yo!
29Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma."
30Japrocura sija para macone güe, lao taya uno mato canaeña guiya güiya, sa y oraña trabia ti mafato.
30Basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
31Ya megae gui linajyan taotao jumonggue güe, ya ilegñija: Ada yaguin si Cristo mamaela, ujafatinas mas megae na señat qui y fumatiñas este na taotao?
31Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, "Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?"
32Y Fariseo sija jumungog na y linajyan taotao manafaesen pot estesija, ya y manmagas mamale yan y Fariseo sija manmanago ni ofisiatñija para umacone.
32Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.
33Enaomina si Jesus ilegña: Trabia didide na tiempo gaegue yo guiya jamyo, ya despues bae falag ayo y tumago yo.
33Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma.
34Ynaligao yo, ya ti inseda yo; ya mano nae gaegue yo, jamyo ti siña manmamaela.
34Mtanitafuta lakini hamtaniona, maana pale nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika."
35Entonses y Judio sija ilegñija entre sijaja: Para mano este, para ti siñajit tasoda güe? Mapos buente para y manmachapon sija anae mangaegue sija gui entalo y Griego sija, ya mamnanagüe ni y Griego sija?
35Viongozi wa Wayahudi wakasema wao kwa wao, "Mtu huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki?
36Jafa na sinangan na ayo y esta masangan: Inaligao yo ya ti inseda yo, ya mano nae gaegue yo, jamyo ti siña manmamaela.
36Ana maana gani anaposema: Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika?"
37¶ Y uttimo na jaane, dangculo na jaanin gupot, si Jesus tumojgue, ya umagang ilegña: Yaguin y taotao guaja minajo umamaela guiya guajo, ya uguinem.
37Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, "Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
38Ya y jumonggueyo, taegüije y sinangan y Tinigue: y sanjalomña manmimilalag y sadog janom na lalâlâ.
38Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: Anayeniamini mimi, mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!"
39Jasangan este na sinangan pot y Espiritu, ni para uresibe ayo sija y manmanjonggue guiya güiya: sa trabia taya mananae ni Espiritu Santo, sa si Jesus ti rumesibe y minalagña,
39(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)
40Entonses palo gui linajyan taotao, manmanjungog nu este na sinangan, ilegñija: Sumenmagajet na este güiya y ayo na profeta.
40Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, "Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!"
41Y palo ilegñija: Este güiya si ayo na Cristo: Y palo despues ilegñija: Jafa? guinin Galilea umamaela si Cristo?
41Wengine wakasema, "Huyu ndiye Kristo!" Lakini wengine walisema, "Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?
42Ti ilelegña y Tinigue, na si Cristo mamaela gui semiyan David, yan guinin y sengsong iya Betlehem anae sumaga si David?
42Maandiko Matakatifu yasemaje? Yanasema: Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa Bethlehemu, mji wa Daudi!"
43Ya guaja inaguguat gui entalo linajyan taotao pot güiya.
43Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.
44Ya guaja guiya sija y manmalago na ujacone, lao taya uno siña minajalom canaeña guiya güiya.
44Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
45¶ Ayonae y ofisiat sija manmalag y magas na mamale yan y Fariseo sija; ya ilegñija nu sija: Sajafa muna ti inchile güe mague?
45Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, "Kwa nini hamkumleta?"
46Y ofisiat sija manmanope: Taya na taotao umadingan taegüine.
46Walinzi wakawajibu, "Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!"
47Entonses y Fariseo sija maninepe: Jamyo locue manabag gui chalan?
47Mafarisayo wakawauliza, "Je, nanyi pia mmedanganyika?
48Ada guaja palo y jumonggue güe gui magalaje sija pat y Fariseo sija?
48Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?
49Este sija na linajyan taotao ni ti jatungo y tinago sija, manmatdito.
49Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!"
50Ylegña nu sija si Nicodemo (ayo y mato gui as Jesus antes güiya uno guiya sija),
50Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
51Manjujusga un taotao y iyota na tinago, yaguin y finenana ti majungog guiya güiya ya matungo jafa y finatinasña?
51"Je, Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?"
52Manmanope ya ilegñija nu güiya: Jago locue taotao Galilea? Aligao, ya unlie, cao guine Galilea taya nae cajulo profeta.
52Nao wakamjibu, "Je, wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!"
53Manalo guato cada uno gui guimañija.
53Basi, wote wakaondoka, kila mtu akaenda zake;