Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

John

8

1SI Jesus malag y egso Olibo.
1lakini Yesu akaenda kwenye mlima wa Mizeituni.
2Ya y taftaf gui egaan, tumalo guato gui templo ya todo y taotao sija manmato guiya güiya; ya güiya matachong güije ya mamanagüe nu sija.
2Kesho yake asubuhi na mapema alikwenda tena Hekaluni. Watu wote wakamwendea, naye akaketi akawa anawafundisha.
3Entonses y escriba yan y Fariseo sija, macocona un palaoan na masoda gui adulterio, ya mapolo güe gui entalo,
3Basi, walimu wa Sheria na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati yao.
4Ylegñija nu güiya: Maestro, estagüe na palaoan, guine masoda gui adulterio, anae jafatinasja.
4Kisha wakamwuliza Yesu, "Mwalimu! Mwanamke huyu alifumaniwa katika uzinzi.
5Y tinago Moises jatagojam na infagas ni y acho enao sija. Jago, jafa unsangan?
5Katika Sheria yetu Mose alituamuru mwanamke kama huyu apigwe mawe. Basi, wewe wasemaje?"
6Este ilegñija, intienta güe para siña mafaaelagüe. Lao si Jesus dumilog papa, manugue gui tano ni y calolotña.
6Walisema hivyo kumjaribu, wapate kisa cha kumshtaki. Lakini Yesu akainama chini, akaandika ardhini kwa kidole.
7Ya como sisigue mafaesen, manatunasgüe ya ilegña nu sija: Yaguin uno guiya jamyo taeisao, fumagas nu y güiya, y finenana na acho.
7Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, "Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe."
8Ya dumilog talo papa ya manugue gui tano ni y calolotña.
8Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.
9Ya anae manjungog sija, manjajanao juyong uno yan uno, matutujon gui mansenbijo asta y manuttimo; ya si Jesus sumaga yan y palaoan ni y gaegue gui entalo.
9Waliposikia hivyo, wakaanza kutoweka mmojammoja, wakitanguliwa na wazee. Yesu akabaki peke yake, na yule mwanamke amesimama palepale.
10Ya cajulo si Jesus, ya ilegña nu güiya: Palaoan, mano nae mangaegue sija? taya ni uno nientensia jao?
10Yesu alipoinuka akamwuliza huyo mwanamke, "Wako wapi wale watu? Je, hakuna hata mmoja aliyekuhukumu?"
11Ya ilegña: Taya uno Señot. Ya ilegña si Jesus: Guajo locue ti jusentensia jao: janao ya chamo unisao talo.
11Huyo mwanamke akamjibu, "Mheshimiwa, hakuna hata mmoja!" Naye Yesu akamwambia, "Wala mimi sikuhukumu. Nenda zako; na tangu sasa usitende dhambi tena."
12¶ Mansinangane as Jesus talo ilegña nu sija: Guajo candet y tano: y dumalalag yo ti ufamocat gui jemjon; ya guajaja candet y linâlâ.
12Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, "Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu. Anayenifuata mimi hatembei kamwe gizani, bali atakuwa na mwanga wa uzima."
13Enaomina y Fariseo sija ilegñija nu güiya: Jago guiya jagoja mananae testimonio lao ti magajet na testimoniomo.
13Basi, Mafarisayo wakamwambia, "Wewe unajishuhudia mwenyewe; kwa hiyo ushahidi wako si halali."
14Manope si Jesus, ilegña nu sija: Achoja guajoja manae testimonio nu guajo, magajet na testimoniojo; sa jutungo guine mano yo, yan para mano yo; lao jamyo ti intingo guine mano yo, yan para mano yo.
14Yesu akawajibu, "Hata kama ninajishuhudia mwenyewe, ushahidi wangu ni wa kweli kwa sababu mimi najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda.
15Jamyo pot y catne injisga; lao guajo ti jumusga ni jaye.
15Ninyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.
16Yaguin guajo jumusga, y juisioco, güiya magajet; sa ti guajoja; lao guajo yan Tata ni tumago yo.
16Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba aliyenituma yuko pamoja nami.
17Junggan, ya esta matugue gui tinagomiyo na y testimonio y dos taotao, güiya magajet.
17Imeandikwa katika Sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.
18Guajo manae testimomio pot guajoja, yan manae yo testimonio si Tata ni tumago yo.
18Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia."
19Entonses ilegñija nu guiya: Mano nae gaegue si Tatamo? Manope si Jesus: Ti intingo yo yan ti intingo y Tatajo; yaguin intingo yo, y Tatajo locue intingo.
19Hapo wakamwuliza, "Baba yako yuko wapi?" Yesu akawajibu "Ninyi hamnijui mimi wala hamumjui Baba. Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba yangu pia."
20Este na finijo jasangan si Jesus gui tesoro mamanagüe gui templo; ya taya cumone güe; sa asta pago ti mafato y oraño.
20Yesu alisema maneno hayo kwenye chumba cha hazina alipokuwa anafundisha Hekaluni. Wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
21¶ Ya ilegña talo nu sija si Jesus: Guajo bae janao, ya inaligao yo, ya y isaomiyo nae infanmatae; mano yo guato, jamyo ti siña manmamaela.
21Yesu akawaambia tena, "Naenda zangu nanyi mtanitafuta, lakini mtakufa katika dhambi zenu. Niendako mimi, ninyi hamwezi kufika."
22Ylegñija entonses y Judio sija; Upuno maesa güe? sa ilegña mano yo guato, jamyo ti siña manmamaela.
22Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, "Je, atajiua? Mbona anasema: Niendako ninyi hamwezi kufika?"
23Ya ilegña nu sija: Jamyo iyon sampapa, guajo iyon sanjilo; jamyo iyon este na tano; guajo ti iyon este na tano.
23Yesu akawaambia, "Ninyi mmetoka papa hapa chini, mimi nimetoka juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
24Pot enao jusangane jamyo na infanmatae gui isaomiyo; sa yaguin ti injenggue na guajo yo; y isaomiyo nae infanmatae.
24Ndiyo maana niliwaambieni mtakufa katika dhambi zenu. Kama msipoamini kwamba Mimi ndimi, mtakufa katika dhambi zenu."
25Enao muna ilegñija nu güiya? Jago, jayejao? Si Jesus ilegña nu sija: Nae matutujon jusangane jamyo locue.
25Nao wakamwuliza, "Wewe ni nani?" Yesu akawajibu, "Nimewaambieni tangu mwanzo!
26Megae na güinaja yo, para jusangane jamyo ya injisga jamyo: ya y tumago yo, güiya magajet; ya jafa y jiningogco guiya güiya, ayo sija jusangan gui tano.
26Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yule aliyenituma ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."
27Lao sija ti matungo na güiya y jacuentuse sija ni pot Tata.
27Hawakuelewa kwamba Yesu alikuwa akisema nao juu ya Baba.
28Enaomina ilegña si Jesus: Ngaean nae infangajulo jamyo y Lajin taotao, ayo nae intingo na guajo yo, ya taya jufatitinas pot guajoja; lao jaftaemano si Tata fumanagüe yo taegüine jusangan.
28Basi, Yesu akawaambia, "Mtakapokwisha mwinua Mwana wa Mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba Mimi ndimi, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale Baba aliyonifundisha.
29Ya y tumagoyo, güiya gaegue guiya guajo; ti jadingo yo maesaja sa jufatitinas siempre minagofña.
29Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."
30Anae jasasangan este sija na güinaja megae jumongguegüe.
30Baada ya kusema hayo watu wengi walimwamini.
31¶ Ayo nae ilegña si Jesus ni Judio sija ni y jumonggue güe: Yaguin jamyo insisique y sumaga gui sinanganjo, jamyo manmagajet disipulujo;
31Basi, Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, "Kama mkiyazingatia mafundisho yangu mtakuwa kweli wanafunzi wangu.
32Ya intingo y minagajet ya y minagajet inninafanlibre jamyo.
32Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru."
33Manmanope as Jesus: Jame semiyan Abraham, ya ti infanmañetbe ni jaye; jafa muna ilegmo: Jamyo unafanlibre?
33Nao wakamjibu, "Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: mtakuwa huru?"
34Maninepe as Jesus: Magajet ya magajet jusangane jamyo, na todo ayo y fumatinas y isao, güiya tentago y isao.
34Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kila mtu anayetenda dhambi ni mtumwa wa dhambi.
35Ya y tentago ti usago gui guima para todo tiempo; lao y lajiña sumaga para todo y tiempo.
35Mtumwa hana makao ya kudumu nyumbani, lakini mwana anayo makao ya kudumu.
36Yaguin y Lajin Yuus munafanlibre jamyo, entonses magajet na manlibre jamyo.
36Kama mwana akiwapeni uhuru mtakuwa huru kweli.
37Guajo jutungo na jamyo semiyan Abraham; lao manmalago jamyo para inpino yo; sa y sinanganjo ti omlat guiya jamyo.
37Najua kwamba ninyi ni wazawa wa Abrahamu. Hata hivyo, mnataka kuniua kwa sababu hamuyakubali mafundisho yangu.
38Guajo y liniijo gui as Tata jusasangan, ya jamyo y jiningogmiyo gui as tatanmiyo infatitinas.
38Mimi nasema yale aliyonionyesha Baba, lakini ninyi mwafanya yale aliyowaambieni baba yenu."
39Manmanope ya ilegñija nu güiya: Si Abraham tatata. Si Jesus ilegña nu sija: Yaguin famaguon Abraham jamyo; y chechon Abraham infatinas jamyo.
39Wao wakamjibu, "Baba yetu ni Abrahamu!" Yesu akawaambia, "Kama ninyi mngekuwa watoto wa Abrahamu, mngefanya kama alivyofanya Abrahamu,
40Lao manmalago jamyo pago para inpino yo, taotao na jagas jusangane jamyo ni magajet, ayo y jujungog gui as Yuus; si Abraham ti fumatinas este.
40Mimi nimewaambieni ukweli niliousikia kwa Mungu; hata hivyo, ninyi mwataka kuniua. Abrahamu hakufanya hivyo!
41Jamyo infatitinas y finatinas tatanmiyo. Ylegñija nu güiya: Jame ti finañagon ábale; un tataja guajajit, si Yuusja.
41Ninyi mnafanya mambo yaleyale aliyofanya babu yenu." Wao wakamwambia, "Sisi si watoto haramu! Tunaye baba mmoja tu, yaani Mungu."
42Ylegña si Jesus nu sija: Yaguin si Yuus tatanmiyo, magajet na inguflie yo; sa guajo jumuyong yan mato yo guinin as Yuus; ti jumuyong yo guinin guajoja, lao güiya tumago yo.
42Yesu akawaambia, "Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda mimi, maana mimi nilitoka kwa Mungu na sasa niko hapa. Sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila yeye alinituma.
43Jafa muna ti intingo y sinanganjo? Sa ti siña injingog y finojo.
43Kwa nini hamwelewi hayo ninayosema? Ni kwa kuwa hamwezi kuusikiliza ujumbe wangu.
44Jamyo iyon tatanmiyo anite: jamyo ya y guinâumabale y tatanmiyo intatanga na infatinas. Güiya y mamuno desde y tutujoña; ya ti sumaga gui minagajet, sa taya minagajet gaegue guiya güiya. Yaguin jasangan mandague, y iyoña jasangan; sa dacon güe, ya tatan dacon güe.
44Ninyi ni watoto wa baba yenu Ibilisi na mnataka tu kutekeleza tamaa za baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo; hana msimamo katika ukweli, kwani ukweli haumo ndani yake. Kila asemapo uongo, husema kutokana na hali yake ya maumbile, maana yeye ni mwongo na baba wa uongo.
45Ya ti injenggue yo, sa jusangane jamyo ni magajet.
45Mimi nasema ukweli, na ndiyo maana ninyi hamniamini.
46Jaye guiya jamyo ucombense yo ni y isao? Yaguin jusangan y magajet, pot jafa muna jamyo ti injenggue yo?
46Nani kati yenu awezaye kuthibitisha kuwa mimi nina dhambi? Ikiwa basi nasema ukweli, kwa nini hamniamini?
47Y iyon Yuus, y sinangan Yuus jajungog; ya pot este na rason jamyo ti injijingog, sa ti iyon Yuus jamyo.
47Aliye wa Mungu husikiliza maneno ya Mungu. Lakini ninyi hamsikilizi kwa sababu ninyi si (watu wa) Mungu."
48Manmanope entonses y Judio sija, ya ilegñija nu guiya: Ti mauleg y sinanganmame, na jago taotao Samaria, ya gaeanite jao?
48Wayahudi wakamwambia, "Je, hatukusema kweli kwamba wewe ni Msamaria, na tena una pepo?"
49Manope si Jesus: Guajo tae anite yo; lao juonra si Tata, ya jamyo indesonra yo.
49Yesu akajibu, "Mimi sina pepo; mimi namheshimu Baba yangu, lakini ninyi hamniheshimu.
50Ya guajo ti umaliligao inenrajo; guaja ayo na umaliligao ya jajujusga.
50Mimi sijitafutii utukufu wangu mwenyewe; yuko mmoja mwenye kuutafuta utukufu huo, naye ni hakimu.
51Magajet y magajet jusangane jamyo: Yaguin y taotao jaadaje y sinanganjo, ti ulie finatae para taejinecog.
51Kweli nawaambieni, anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele."
52Entonses y Judio sija ilegñija nu güiya. Pago nae intingo na gaeanite jao. Si Abraham matae yan y profeta sija; ya jago sumangan: Yanguin y taotao jaadaje y sinanganjo, ti ulie finatae para taejinecog.
52Basi, Wayahudi wakasema, "Sasa tunajua kweli kwamba wewe ni mwendawazimu! Abrahamu alikufa, na manabii pia walikufa, nawe wasema ati, Anayeuzingatia ujumbe wangu hatakufa milele!
53Jago dangculoña qui si tatanmame as Abraham ni esta matae? Yan y profeta manmatae. Jaye jao fumatinas namaesa?
53Je, unajifanya mkuu zaidi kuliko baba yetu Abrahamu ambaye alikufa? Hata na manabii walikufa. Wewe unajifanya kuwa nani?"
54Manope si Jesus: Yaguin junamalagyo maesa, y minalagjo taya guaja; güiya si Tata y numanamalag yo: ya ilegmiyo na güiya si Yuusmiyo.
54Yesu akawajibu, "Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu. Baba yangu ambaye ninyi mwasema ni Baba yenu, ndiye anayenitukuza.
55Ya ti intingo güe, lao guajo tumungo güe; yaguin ilegco na ti jutungo güe, dacon yo parejo yan jamyo mandacon: lao jutungo güe yan juadaje y sinanganña.
55Ninyi hamjapata kumjua, lakini mimi namjua. Na, nikisema simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi. Mimi namjua na ninashika neno lake.
56Si Abraham, tatanmiyo mumagof sa jalie y jaanijo; ya anae jalie ninamagof.
56Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi."
57Pot este ilegñija nu güiya y Judio sija: Asta pago taya jao sincuenta años, ya unlie si Abraham?
57Basi, Wayahudi wakamwambia, "Wewe hujatimiza miaka hamsini bado, nawe umemwona Abrahamu?"
58Ylegña nu sija si Jesus: Magajet ya magajet jusagane jamyo, antes qui si Abraham, esta guajo.
58Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, kabla Abrahamu hajazaliwa, mimi niko."
59Manmañule entonses acho, para umadagas güe: lao si Jesus mapos gui templo, ti matungo.
59Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka Hekaluni.