Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Luke

21

1YA anae manatan julo, jalie y manrico na taotao sija, na jayuyute jalom y ninaenñija gui cajon salape.
1Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu,
2Ya jalie locue un pobble na biuda, na manyute jalom güije dos coble.
2akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo.
3Ya ilegña: Jusangane jamyo ni y magajet. Este y pebble na biuda, manyute jalom mas qui todo sija:
3Basi, akasema, "Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote.
4Sa todo estesija, y sebblanñijaja manmayute jalom minaeñija: lao este yan y pinebbleña, jayute todo jalom y güinajaña.
4Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi."
5¶ Yan pot y manguecuentos palo pot y templo, ni y maadotna manbonito na acho sija yan ninae sija, ilegña:
5Baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya Hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa Mungu. Yesu akasema,
6Este sija na güinaja y inlie, estagüe, ufanmato jaane sija, na taya usobbla güine un acho gui jilo y otro, na ti umayute papa.
6"Haya yote mnayoyaona--zitakuja siku ambapo hakuna hata jiwe moja litakalosalia juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa."
7¶ Ya mafaesen güe, ilegñija: Maestro, ngaean nae ujuyong estesija? yan jafa na señat uguaja, yanguin jijot para ufanmato este sija na güinaja?
7Basi, wakamwuliza, "Mwalimu, mambo hayo yatatokea lini? Na ni ishara gani zitakazoonyesha kwamba karibu mambo hayo yatokee?"
8Ayonae ilegña: Guesadaje jamyo ya chamiyo fanmafabábaba: sa megae ufanmato pot y naanjo, ya ujaalog: Güiya yo ya y tiempo esta jijijot; chamiyo dumalálalaque sija.
8Yesu akawajibu, "Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye, na, Wakati ule umekaribia. Lakini ninyi msiwafuate!
9Lao yanguin injingog y guera sija, yan y atboroto, chamiyo faninespápanta: sa nesesita ufanmato este sija finena; lao y uttimo ti enseguidas.
9Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado."
10¶ Ayo nae ilegña nu sija: Y nasion sija ufangajulo contra y nasion, ya y raeno contra raeno:
10Halafu akaendelea kusema: "Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
11Ya uguaja dangculon linao, ya y cada lugat ñinalang yan peste; yan uguaja minaañao sija, yan mandangculo na señat guinin y langet.
11Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, kutakuwa na njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.
12Lao antes di todo este sija, ujapolo y canaeñija gui jilomiyo, ya infanmapetsigue, yan infanmaentrega gui sinagoga sija, yan y catset, yan infanmacone guato gui ray sija, yan y manmagas pot y naanjo.
12Lakini kabla ya kutokea hayo yote, watawatieni nguvuni, watawatesa na kuwapelekeni katika masunagogi na kuwatia gerezani; mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya jina langu.
13Ya ujuyong este guiya jamyo para testimonio.
13Hii itawapeni fursa ya kushuhudia Habari Njema.
14Polo gui corason miyo, na chamiyo jumajaso finena jafa para inepe:
14Muwe na msimamo huu mioyoni mwenu: hakuna kufikiria kabla ya wakati juu ya jinsi mtakavyojitetea,
15Sa guajo junae jamyo pachot yan tiningo, ni todo y enimigunmiyo ti siña macontra ni umachaba.
15kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
16Ya infanenentrega ni y mañaenanmiyo, yan y mañelunmiyo, yan y parientesmiyo, yan y amigonmiyo; yan guaja guiya jamyo umanamapuno.
16Wazazi wenu, ndugu, jamaa na rafiki zenu watawasaliti ninyi; na baadhi yenu mtauawa.
17Ya infanmachatlie ni todo y taotao pot y naanjo.
17Watu wote watawachukieni kwa sababu ya jina langu.
18Lao ni uno gui gaponulonmiyo ufalingo.
18Lakini, hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea.
19Ya y manpasensianmiyo nae, inganaye y antenmiyo.
19Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu.
20Ya anae inlie Jerusalem, na esta ineriyaye ni y sendalo sija, intingoja na esta jijijot y mayulangña.
20"Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo mtambue ya kwamba wakati umefika ambapo mji huo utaharibiwa.
21Ya ayonae y mangaegue guiya Judea, ufanmalago para y egso sija; ya ayo sija y mangaegue gui entaloña ufanjuyong; ya y mangaegue gui fangualuan, chañija fanjajalom güije.
21Hapo walioko Yudea wakimbilie milimani; wale walio mjini watoke; na wale walio mashambani wasirudi mjini.
22Sa este sija y jaanin inemog, sa para umacumple todo y güinaja ni y esta manmatugue.
22Kwa maana siku hizo ni siku za adhabu, ili yote yaliyoandikwa yatimie.
23Lao mannamaase ayo sija y manmapotgue, yan y mannanasusu güije sija na jaane! sa uguaja dangculon chinatsaga gui jilo tano, yan binibo gui jilo este taotao sija.
23Ole wao waja wazito na wanyonyeshao siku hizo! Kwa maana kutakuwa na dhiki kubwa katika nchi, na hasira ya Mungu itawajia watu hawa.
24Ya ufamodong gui jilo y filon y espada, ya ufanmacone preso gui todo y nasion: ya Jerusalem umagacha papa ni y Gentiles, asta qui umacumple y tiempon y Gentiles.
24Wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
25¶ Ya uguaja señat sija gui atdao yan y pilan, yan y pution sija; yan chinatsagan nasion sija gui jilo tano pot y guinadon pangpang y tase yan y napo.
25"Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari.
26Manlalalango y taotao sija, pot y manmaañaoñija, yan pot y ninanangga ni ayo sija y manmamamaela para y tano: sa manmayengyong y ninasiñan y langet sija.
26Watu watazirai kwa sababu ya uoga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
27Ya ayonae ujalie y Lajin taotao na mamamaela gui y mapagajes yan y ninasiña yan y dangculon minalag.
27Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.
28Ya anae esta jatutujon sumesede este sija, ayonae infanalag jilo, ya injatsa julo y ilunmiyo; sa esta jijijot y para inmanafanlibre.
28Wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia."
29¶ Ya jasangane sija un acomparasion, ilegña: Atanja y trongcon igos, yan todo y trongcon jayo sija.
29Kisha akawaambia mfano: "Angalieni mtini na miti mingine yote.
30Yanguin esta manmañúñuso, inlie ya intingoja maesa jamyo na esta jijijot y verano.
30Mnapoona kwamba imeanza kuchipua majani, mwatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
31Taegüenaoja locue jamyo yanguin inlie esta sija na masusede, tingo na esta jijijot y raenon Yuus.
31Vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
32Magajet jusangane jamyo: Ti ufapos este na generasion, asta qui todo sija manmacumple.
32Nawaambieni hakika, kizazi hiki cha sasa hakitapita kabla ya hayo yote kutendeka.
33Y langet yan y tano ufanmalofan, lao y finojo ti ufalofan.
33Mbingu na dunia vitapita, lakini maneno yangu hayatapita.
34¶ Ya inguesadaje jamyo na ufanbula y corasonmiyo ni y pinadog mañocho yan inelacho, yan y inadajen este na linâlâ, ya ufato guiya jamyo ayo na jaane derepente,
34"Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, Siku ile itawajieni ghafla.
35Taegüijeja y laso: sa taegüijeja ufinatoña gui jilo todo sija y mañasaga gui jilo tano.
35Kwa maana itawajia kama mtego, wote wanaoishi duniani pote.
36Enaomina fanbela todo tiempo, ya infanmanaetae, ya para infansiña manescapa ni todo estesija y ni ufanmato, yan para infanojgue gui menan y Lajin taotao.
36Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu."
37¶ Ya mamananagüe cada jaane gui templo; yan cada puenge jumajanao, ya sumasaga gui un ogso na mafanaan ogso Olibo.
37Wakati wa mchana, siku hizo, Yesu alikuwa akifundisha watu Hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa Mizeituni na kukaa huko.
38Ya todo y taotao sija manmafato gui templo, taftaf gui egaan, para umaecungog güe.
38Watu wote walikuwa wanakwenda Hekaluni asubuhi na mapema, wapate kumsikiliza.