Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Mark

1

1TUTUJON y ibangelion Jesucristo, Lajin Yuus.
1Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.
2Jaftaemano esta matugue gui profeta Isaias: Estagüe, guajo tumago y tentagojo gui menan matamo, para ufamauleg y chalanmo gui menamo.
2Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: "Tazama, namtuma mjumbe wangu akutangulie; yeye atakutayarishia njia yako.
3Ynagang ni umaagang gui desierto: Fanmauleg y chalan y Señot: natunas y cayejonña.
3Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni mapito yake."
4Si Juan managpange gui desierto, ya jasetmon y tinagpangen minañotsot para inasiin isao sija.
4Yohane Mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao.
5Ya manjanao guiya güiya guato todo y tano Judea, yan todo sija guiya Jerusalem; ya todo sija mantinagpange gui sadog Jordan, ya jaconfesatñaejon y isaoñija.
5Watu kutoka sehemu zote za Yudea na wenyeji wote wa Yerusalemu walimwendea, wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.
6Ya si Juan minagagon pulon cameyo, yan sinturon cuero gui senturaña; ya y naña, apacha yan miet monte.
6Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia, na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
7Ya mansesetmon, ilegña: Ufato gui tateco uno na masgaeninasiña qui guajo, y coreas y sapatosña, ti digno yo nu jutecon ya jupula.
7Naye alihubiri akisema, "Baada yangu anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi, ambaye mimi sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake.
8Guajo magajet na jutagpange jamyo yan janom; lao güiya infantinagpange ni Espiritu Santo.
8Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu."
9¶ Ya susede ayo sija na jaane, na si Jesus mato guine Nasaret Galilea, ya tinagpange as Juan gui Jordan.
9Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani.
10Ya enseguidas nae cajulo gui janom, jalie na mababa y langet, ya y Espiritu, calang paluma tumunog gui jiloña,
10Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa.
11Ya mato un inagang guine y langet na ilegña: Jago y lajijo ni yajo, iya jago nae gosmagof yo.
11Sauti ikasikika kutoka mbinguni: "Wewe ni Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe."
12Ya enseguidas ninafalag y desierto ni Espiritu.
12Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani,
13Ya sumaga güije cuarenta na jaane, ya tinienta as Satanas; yan mañisija y manmachaleg na gâgâ sija; ya y angjet sija masetbe güe.
13akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na Shetani. Alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.
14¶ Anae munjayan si Juan mapreso, mato si Jesus guiya Galilea, jasesetmon y ibangelion Yuus.
14Yohane alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema ya Mungu, akisema,
15Ya ilegña: Y tiempo esta macumple; ya y raenon Yuus esta jijot: fanmañotsot, ya injenggue y ibangelio.
15"Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!"
16¶ Ya mamomocat gui oriyan tasen Galilea, jalie si Simon, yan si Andres chelun Simon, na jayuyute y lagua gui tase, sa sija manpescadot.
16Alipokuwa anapita kando ya ziwa Galilaya, aliwaona wavuvi wawili: Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa wavu.
17Ya si Jesus ilegña nu sija: Maela dalalagyo, ya junafanpescadot taotao jamyo.
17Yesu akawaambia, "Nifuateni nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu."
18Enseguidas japolo y laguañija ya madalalag güe.
18Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
19Anae malofan talo didide mona, jalie si Santiago, lajin Sebedeo, yan si Juan cheluña, na manestaba locue gui batco na jalememenda y laguañija.
19Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Nao pia walikuwa ndani ya mashua yao wakizitengeneza nyavu zao.
20Ya enseguidas jaagang; ya jadingo si tatanñija as Sebedeo gui batco yan y manmachocho sija, ya madalalag güe.
20Yesu akawaita mara, nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, wakamfuata.
21¶ Ya manjalom Capernaum; ya enseguidas, gui sábado na jaane, jumalom gui sinagoga ya mamanagüe.
21Wakafika mjini Kafarnaumu, na mara ilipofika Sabato, Yesu akaingia katika Sunagogi, akaanza kufundisha.
22Ya sija ninafanmanman ni finanagüeña; sa jafananagüe sija calang uno ni gaeninasiña, ya ti calang y escriba sija.
22Watu wote waliomsikia walishangazwa na mafundisho yake, maana hakuwa anafundisha kama walimu wao wa Sheria, bali kama mtu mwenye mamlaka.
23Ya enseguidas guaja güije gui sinagogañija un taotao na guaja áplacha na espiritu, ya güiya umagang,
23Mara akatokea mle ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu,
24Ylegña: Parajafa jam nu jago, Jesus taotao Nasaret? Matojao para unnafanaelayejam? Jutungoja jayejao, jago y Santos guine as Yuus.
24akapaaza sauti, "Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Najua wewe ni nani: wewe ni Mtakatifu wa Mungu!"
25Ya si Jesus jalalatde ilegña: Pacaca, ya maela juyong guiya güiya.
25Yesu akamkemea, "Nyamaza! Mtoke mtu huyu."
26Ya anae y áplacha na espiritu tiniteg güe, ya ninaagang gosdangculo na inagang, jumuyong guiya güiya.
26Basi, huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo, kisha akalia kwa sauti kubwa, akamtoka.
27Ya todo sija ninafanmanman, pot este manafaesen entre sija, ilegñija: Jafa este? Jafa na nuebo finanagüe este! yan ninasiña jatago y manáplacha na espiritu, ya maosgueja güe?
27Watu wote wakashangaa, wakaulizana, "Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya? Mtu huyu anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!"
28Enseguidas y famaña manamamta todo gui tano oriyan Galilea.
28Habari za Yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya.
29¶ Ya enseguidas anae jumuyong gui sinagoga, mato gui guima Simon yan si Andres, yan si Santiago yan si Juan.
29Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao.
30Ya y suegran Simon estaba na umaason sa malango yan calentura: ya masangane güe enseguidas nu y palaoan.
30Basi, mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa kitandani ana homa kali. Wakamwarifu Yesu mara alipowasili.
31Ayo nae mato güe, ya jamantiene canaeña, ya jajatsa julo; ya pinelo ni calentura, ya güiya sumetbe sija.
31Yesu akamwendea huyo mama, akamshika mkono, akamwinua. Na ile homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.
32¶ Ya anae estaba esta pupuenge, anae machom y atdao, maconiigüe todo ni manmañetnot yan y maninanite.
32Jioni, jua lilipokwisha tua, wakamletea Yesu wagonjwa wote na watu waliopagawa na pepo.
33Ya todo y siuda mandaña gui petta.
33Watu wote wa mji ule wakakusanyika nje ya mlango.
34Ya janafanjomlo megae ni manestaba manmalango todo clasen chetnot sija; ya jayute juyong megae na anite sija; ya ti japolo nu y anite sija cumuentos sa matungo güe.
34Naye Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali; aliwafukuza pepo wengi, lakini hakuwaruhusu kusema kitu maana walikuwa wanamjua yeye ni nani.
35¶ Ya y egaan güije, cajulo gostaftaf, jojomjomja trabia, ya jumuyong, ya malag y un lugat desierto, ya manaetae güije.
35Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali.
36Ya tinatiye güe as Simon, yan y mangachochongña.
36Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta.
37Ya anae masoda güe, ilegñija nu güiya: Todo umaliligaojao.
37Walipomwona wakamwambia, "Kila mtu anakutafuta."
38Güiya ilegña nu sija: Nije tafanmalag y otro lugat gui sengsong ni jijot, ya jufansetmon locue güije; sa pot este na matoyo.
38Yesu akawaambia, "Twendeni katika miji mingine ya jirani nikahubiri huko pia, maana nimekuja kwa sababu hiyo."
39Ya jumalom gui sinagogañija todo Galilea, sesetmon ya jayuyute juyong y anite sija.
39Basi, akaenda kila mahali Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.
40¶ Ya un ategtog mato guiya güiya, tinayuyut güi ya dumimo, ya ilegña: Yaguin malagojao, siña unnagasgasyo.
40Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu, akapiga magoti, akamwomba, "Ukitaka, waweza kunitakasa!"
41Ya si Jesus ninamaase ya jaestira y canaeña, ya japacha, ya ilegña: Malagoyo, ungasgas.
41Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono wake, akamgusa na kumwambia, "Nataka, takasika!"
42Ya enseguidas y chetnot y ategtog mapos guiya güiya ya gasgas güe.
42Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.
43Ya jagosencatga, ya jatago na ujanao,
43Kisha Yesu akamwambia aende zake upesi na kumwonya vikali,
44Ya ilegña nu güiya: Atan ya chamo sumangangane ni jaye jafa; lao sigueja gui jinanaomo ya unfanue y pale nu jago, ya unofrese ni guinasgasmo ni si Moises manago, para testimonioñija.
44"Usimwambie mtu yeyote jambo hili, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani; kisha utoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona."
45Lao güiya mapos, ya jatutujon munamatungo, yan janagosmamta y checho; pot este, si Jesus ti siña jumalom matungo nu güiya gui siuda; lao sumasagaja gui sumanjiyong gui lugat desierto sija, ya manmato guiya güiya guinin todo y patte sija.
45Lakini huyo mtu akaenda, akaanza kueneza habari hiyo kila mahali na kusema mambo mengi hata Yesu hakuweza tena kuingia katika mji wowote waziwazi; ikamlazimu kukaa nje, mahali pa faragha. Hata hivyo, watu wakamwendea kutoka kila upande.