Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Matthew

28

1YUTTIMO na ora y sabalo, gui egaan anae mumanánaná y finénana na jaane gui semana, mato si Maria Magdalena yan y otro Maria, para ujalie y naftan.
1Baada ya Sabato, karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kutazama lile kaburi.
2Ya, estagüe un dangculon linao; sa y angjet y Señot tumunog guine y langet, ya janagalileg y acho gui petta, ya matachong gui sumanjilo.
2Ghafla kutatokea tetemeko kubwa la nchi; malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe, akalikalia.
3Ya y jechuraña parejo yan y lamlam, ya y magaguña apaca calang niebe.
3Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.
4Ya pot y minaañao nu güiya, y guatdia sija mayengyong ya sumaga calang manmatae.
4Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
5Ya manope y angjet, ilegña ni famalaoan sija: Chamiyo fanmaaañao jamyo; sa jutungoja na inaliligao si Jesus, ni guinin maatane gui quiluus.
5Lakini yule malaika akawaambia wale wanawake, "Ninyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa.
6Taegüe güine; sa esta cajulo, taegüine guinin jasangan. Maela ya inlie y lugat anae guinin umaason y Señot;
6Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.
7Ya janao fanlagoguse, ya sangane y disipuluña sija, na esta cajulo gui entalo y manmatae, ya infanninanangga Galilea: ya ayo nae inlie güe; estagüe, na esta jusangane jamyo.
7Basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka wafu, na sasa anawatangulieni kule Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni."
8Ayo nae sija manapos gui naftan, manmaañao yan mangosmagof, yan manmalalago para umannae notisia y disipuluña sija.
8Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake.
9¶ Ya estagüe si Jesus na manasoda ya ilegña nu sija: Fanmagof todos! Ya sija manmato, ya manmagote y adengña ya maadora güe.
9Mara, Yesu akakutana nao, akawasalimu: "Salamu." Hao wanawake wakamwendea, wakapiga magoti mbele yake, wakashika miguu yake.
10Ayo nae si Jesus ilegña nu sija: Chamiyo fanmaañao; janao ya sangane mañelujo na ufanjanao para Galilea; ya ayo nae ujaliiyo güije.
10Kisha Yesu akawaambia, "Msiogope! Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, na huko wataniona."
11¶ Anae manmapos sija, estagüe palo gui guatdia sija na manmato gui siuda, ya janatungo y prinsipen y mamale sija, todo y munjayan manmafatinas.
11Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia.
12Ya anae mandaña yan y manamco na taotao ya manaconseja entre sija, mannae y sendalo sija megae na salape,
12Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
13Ya ilegñija: Alog, y disipuluña sija manmato gui anae puenge, ya masaque güe, anae manmamaegojam.
13wakisema, "Ninyi mtasema hivi: Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.
14Yaguin jaecungog este y magalaje, jame innamalago güe ya infanseguro.
14Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa ninyi hamtapata matatizo."
15Ayo nae sija jachule y salape ya jafatinas jafa y manmafanagüe sija: ya esta na sinangan mapublilica ni Judio sija asta pago na jaane.
15Wale walinzi wakazichukua zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Habari hiyo imeenea kati ya Wayahudi mpaka leo.
16¶ Ya y onse na disipulo sija manmapos para Galilea, gui un ogso anae guinin mantinago as Jesus.
16Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza Yesu.
17Ya anae malie, maadoragüe; lao y palo buebuente.
17Walipomwona, wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.
18¶ Ya mato guiya sija si Jesus ya jasangane sija, ilegña: Todo y ninasiña manaeyo, gui langet yan y tano.
18Yesu akaja karibu, akawaambia, "Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19Fanjanao, ya fannaquilisyano todo y nasion sija, tagpange sija pot y naan y Tata, yan y Lajiña, yan y Espiritu Santo:
19Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu; mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
20Fanagüe sija, na ujaadaje todosija ni jutago jamyo; sa estagüe jugagaegueja guiya jamyo todo y jaane, asta y jinecog y tano. Amen.
20Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati."