1YA mato y egaan, todo y prinsipen y mamale, yan y manamco na taotao sija, mandaña y manaconseja entre sija contra si Jesus, para umapuno güe.
1Kulipopambazuka, makuhani wakuu wote na wazee wa watu walifanya mashauri juu ya Yesu wapate kumwua.
2Ya anae munjayan magode güe, macone ya maentrega gui as Ponsio Pilato y magalaje.
2Wakamfunga pingu, wakamchukua, wakamkabidhi kwa Pilato, mkuu wa mkoa.
3¶ Ayo nae si Judas, y umentrega güe, jalie na esta umayogua, ya mañotsot ya jachule talo guato y treinta pidason salape gui prinsipen y mamale yan y manamco na taotao sija,
3Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha.
4Ya ilegña: Guajo isaoyo, juentrega y taeisao na jâgâ. Lao sija ilegñija: Jafa ayo guiyajame? Jagoja adaje.
4Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako."
5Ya jayute y pidason salape jalom gui jalom y templo, ya mapos ya jañaca güe.
5Naye akazitupa zile fedha Hekaluni, akatoka nje, akaenda akajinyonga.
6Ya y prinsipen y mamale sija, jachule y salape ya ilegñija: Ti tunas na tapolo gui tesoro sa baliña y jâgâ.
6Makuhani wakuu wakazichukua zile fedha, wakasema, "Haifai kuziweka katika hazina ya Hekalu kwa maana ni fedha za damu."
7Ya manaconseja entre sija, ya mafajan y fangualuan oyero, para y naftan y taotaojuyong.
7Basi, wakashauriana, wakazitumia kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.
8Ayo mina mafanaan ayo na fangualuan: Fangualuan jâgâ, asta pago na jaane.
8Ndiyo maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.
9Ayo nae macumple y sinangan na pot y profeta Jeremias, ni ilegña: Ya sija jachule y treinta pidason salape, presio ayo y gaebale, y presio na mapolo gui jiloña y famaguon Israel;
9Hivyo maneno ya nabii Yeremia yakatimia: "Walizichukua sarafu thelathini za fedha, thamani ya yule ambaye watu wa Israeli walipanga bei,
10Ya manmanae sija, para ujafajan y fangualuan y oyero taegüenao, na jatagoyo y Señot.
10wakanunua nazo shamba la mfinyanzi, kama Bwana alivyoniagiza."
11¶ Ya si Jesus estaba tomotojgue gui menan y magalaje, ya y magalaje finaesen güe, ilegña: Jago y Ray Judio sija? Si Jesus ilegña: Jago umalog.
11Yesu alisimamishwa mbele ya mkuu wa mkoa. Basi, mkuu wa mkoa akamwuliza, "Je, wewe ndiwe Mfalme wa Wayahudi?" Yesu akamwambia, "Wewe umesema."
12Ya anae mafaaela ni y prinsipen y mamale, yan y manamco sija, ti manope ni jafa.
12Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.
13Ayo nae si Pilato ilegña nu güiya: Ti unjujungog cuanto na güinaja nae manmadeclara contra jago?
13Hivyo Pilato akamwuliza, "Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?"
14Ya ti manope ni un sinangan; ya ninagosmanman y magalaje.
14Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana.
15Ya y jaanin y guipot, costumbreña y magalaje na usotta pot y taotao sija un preso, jaye y malagoñija.
15Ilikuwa kawaida wakati wa Sikukuu ya Pasaka mkuu wa mkoa kuwafungulia Wayahudi mfungwa mmoja waliyemtaka.
16Ya guaja presoñija uno na afamao, na y naanña si Barabas.
16Wakati huo kulikuwa na mfungwa mmoja, jina lake Baraba.
17Ya anae mandaña ilegña si Pilato nu sija: Jaye malagonmiyo jusottaye jamyo? Si Barabas pat si Jesus, ni mafanaan Cristo?
17Hivyo, watu walipokusanyika pamoja, Pilato akawauliza, "Mwataka nimfungue yupi kati ya wawili hawa, Baraba ama Yesu aitwae Kristo?"
18Sa jatungoja na pot embidiañija muna maentrega güe.
18Alisema hivyo maana alijua wazi kwamba walimleta kwake kwa sababu ya wivu.
19¶ Ya anae estaba güe na matatachong gui tribuna, y asaguaña manago nu güiya, ilegña: Chamo umeentalo nu enao tunas na taotao; sa pago jupadedese megae sija gui güinife pot güiya.
19Pilato alipokuwa amekaa katika kiti cha hukumu, mke wake akampelekea ujumbe: "Usijitie katika shauri la mtu huyu mwema, maana leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake."
20Lao y prisipen y mamale sija, yan y manamco sija jasoyo y taotao sija, na ujagagao si Barabas, ya si Jesus, umapuno.
20Lakini makuhani wakuu na wazee wakawashawishi watu waombe Baraba afunguliwe na Yesu auawe.
21Ya y magalaje manope, ilegña nu sija: Jaye gui dos malagonmiyo jusottaye jamyo? Sija ilegñija: Si Barabas.
21Mkuu wa mkoa akawauliza, "Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka nimfungue?" Wakamjibu, "Baraba!"
22Si Pilato ilegña nu sija: Ya jafa jufatinas as Jesus ni mafanaan Cristo? Todos sija ilegñija: Umatane gui quiluus.
22Pilato akawauliza, "Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?" Wote wakasema, "Asulubiwe!"
23Ya ilegña: Jafa na taelaye finatinasña? Lao sija managang mas duro, ilegñija: Umatane gui quiluus.
23Pilato akauliza, "Kwa nini? Amefanya kosa gani?" Wao wakazidi kupaaza sauti: "Asulubiwe!"
24¶ Anae jalie si Pilato na taya jafa na probecho, lao mas y ninafanyaoyao, mañule janom ya jafagase y canaeña gui menan y taotao sija, ya ilegña: Taeisaoyo gui jâgâ este y tunas na taotao: lie jamyo.
24Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe."
25Ya manmanope todo y taotao sija ilegñija: Y jâgâña usaga guiya jame, yan y famaguonmame.
25Watu wote wakasema, "Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!"
26Ayo nae masotta si Barabas, ya an munjayan mapanag si Jesus, maentrega para umaatane gui quiluus.
26Hapo Pilato akawafungulia Baraba kutoka gerezani, lakini akamtoa Yesu asulubiwe.
27Ayo nae y sendalon y magalaje macone si Jesus gui pretorio, ya mandaña guiya güiya todo y manadan sendalo sija.
27Kisha askari wa mkuu wa mkoa wakamwingiza Yesu ndani ya ikulu, wakamkusanyikia kikosi kizima.
28Ya mapula y magaguña, ya manaminagago agaga na magagon anaco.
28Wakamvua nguo zake, wakamvika joho la rangi nyekundu.
29Ya mapolo gui iluña un corona na mafatinas ni títuca sija, yan un piao gui agapa na canaeña; ya mandimo gui menaña, ya mamofefea, ilegñija: Jafa talatmanu jao Ray Judio sija!
29Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, "Shikamoo mfalme wa Wayahudi!"
30Ya matolae güe, ya machule y piao ya mapanag y iluña.
30Wakamtemea mate, wakauchukua ule mwanzi, wakampiga nao kichwani.
31Ya anae munjayan mamofefea, mapula y magagon anaco, ya manaminagago ni magaguña, ya macone para umaatane gui quiluus.
31Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika nguo zake, kisha wakampeleka kumsulubisha.
32¶ Ya anae jumajanao manasoda yan un taotao Sirene na y naanña si Simon: este maobliga para uchinilie ni quiluusña.
32Walipokuwa wakienda, wakamkuta mtu mmoja jina lake Simoni, mwenyeji wa Kurene, wakamlazimisha kuuchukua msalaba wake Yesu.
33¶ Ya anae manmato gui un lugat na mafanaan Golgota, cumequeilegña, y sagan calabera,
33Walipofika mahali paitwapo Golgotha, maana yake, "Mahali pa Fuvu la kichwa,"
34Mannae para uguimen binagle, manadaña yan lalaet; ya anae jachague, ti malago jaguimen.
34wakampa mchanganyiko wa divai na nyongo. Lakini Yesu alipoonja akakataa kunywa.
35Anae munjayan maatane gui quiluus, mandesapatta y magaguña, mayute suette sija gui jiloña; (para umacumple y mumayan masangan pot y profeta: Ujanaadesapatta y magagujo, ya y jilo y magagujo ufanmayute suette sija.)
35Walimsulubisha, kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
36Ya manmatachong, ya maadadaje güe güije.
36Wakaketi, wakawa wanamchunga.
37Ya mapolo gui iluña y mafaelaña, matugue: ESTE SI JESUS RAY Y JUDIO SIJA.
37Juu ya kichwa chake wakaweka shtaka dhidi yake lilioandikwa, "Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi."
38Ayo nae maatane yan güiya gui quiluus yan y dos na saque; y uno gui agapaña ya y otro gui acagüeña.
38Wanyang'anyi wawili walisulubishwa pia pamoja naye, mmoja upande wa kushoto na mwingine upande wa kulia.
39¶ Ya y taotao na manmalolofan, masangane güe innataelaye, ya jayeyengyong y iluñija,
39Watu waliokuwa wanapita mahali hapo walimtukana wakitikisa vichwa vyao na kusema,
40Ya ilegñija: Jago y yumute papa y templo, ya y mina tres na jaane unnacajulo; libre maesajao; yaguin jago Lajin Yuus, tunog papa güenao gui quiluus.
40"Wewe! Si ulijidai kulivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu? Sasa jiokoe mwenyewe. Kama wewe ni Mwana wa Mungu, basi shuka msalabani!"
41Taegüinija locue mamofefea güe y prisipen mamale sija, yan y escriba sija, yan y Fariseo sija, yan y manamco na taotao sija, ilegñija:
41Hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa Sheria na wazee walimdhihaki wakisema,
42Janalibre y palo, ya ti siñagüe janalibre na maesa. Güiya y Ray y Israel; polo ya utunog papa pago gui quiluus, ya ayo nae utajonggue güe.
42"Aliwaokoa wengine, lakini kujiokoa mwenyewe hawezi! Eti yeye ni mfalme wa Wayahudi! Basi, sasa na ashuke msalabani, nasi tutamwamini.
43Jaangoco si Yuus; polo ya ulinibre pago, yaguin malago nu güiya, sa ilegña: Güajo Lajin Yuus.
43Alimtumainia Mungu na kusema eti yeye ni Mwana wa Mungu; basi, Mungu na amwokoe kama anamtaka."
44Y mañaque locue, ni y manmaatane yan güiya gui quiluus, manajuyonge güe locue.
44Hali kadhalika na wale waliosulubiwa pamoja naye wakamtukana.
45¶ Ya desde y mina saes na ora guaja jinemjom todo y jilo y tano, asta y mina nuebe na ora.
45Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa, nchi yote ikawa katika giza.
46Ya y mina nuebe na ora, si Jesus umagang nu y dangculon inagang ilegña: Eli, Eli, lama sabactani! cumequeilegña: Yuusso, Yuusso, jafa na undingo yo?
46Mnamo saa tisa Yesu akalia kwa sauti kubwa, "Eli, Eli, lema sabakthani?" Maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?"
47Ya y palo ni manestaba güije, majungog güe, ya ilegñija: Si Elias este jaaagang.
47Lakini wale waliosimama pale waliposikia hivyo wakasema, "Anamwita Eliya."
48Ya enseguidas malago uno guiya sija, ya jachule y espongja y janafañopchop binagle, ya japolo gui un piao, ya janae güe para uguimen.
48Mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo, akaichovya katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe.
49Y palo ilegñija: Polo ya talie cao ufato si Elias ya uninalibre.
49Wengine wakasema, "Acha tuone kama Eliya anakuja kumwokoa."
50¶ Ayo nae si Jesus, anae munjayan umagang talo otro biaje nu y dangculon inagang jaentrega y espiritu.
50Basi, Yesu akalia tena kwa sauti kubwa, akakata roho.
51Ya estagüe y cottinan y templo na masise y dos pedaso, guinin sumanjilo asta y sumanpapa; ya y tano mayengyong, ya y acho sija mangoca.
51Hapo pazia la Hekalu likapasuka vipande viwili, toka juu mpaka chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka;
52Ya y naftan sija manmababa ya megae na tataotao mañantos sija ni manmamaego, mangajulo;
52makaburi yakafunguka na watu wengi wa Mungu waliokufa wakafufuliwa;
53Ya jumanao gui naftan, despues di quinajiloña, ya mato gui santos na siuda, ya manalie ya megae.
53nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika Mji Mtakatifu, wakaonekana na watu wengi.
54Ya y senturion, yan y mangaegue yan güiya na maadadaje si Jesus, anae malie y linao yan todo ayo sija y manmafatinas, mangosmaañao ya ilegñija: Sumen magajet na Lajin Yuus este.
54Basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda Yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu."
55Ya mangaegue güije megae na famalaoan na manmanaatan gui chago, ni jadalalag si Jesus guine Galilea ya jasesetbe.
55Mahali hapo walikuwapo wanawake wengi wakitazama kwa mbali. Hao ndio wale waliomfuata Yesu kutoka Galilaya wakimtumikia.
56Gui entalo ayo sija si Maria Magdalena, yan si Maria nanan Santiago yan José, yan y nanan y famaguon Sebedeo.
56Miongoni mwao walikuwa Maria Magdalene, Maria mama yao Yakobo na Yosefu, pamoja na mama yao wana wa Zebedayo.
57¶ Ya anae este pupuenge güije na jaane, mato un taotao Arimatea, na rico, na y naanña si José, na güiya locue disipulon Jesus.
57Ilipokuwa jioni, akaja mtu mmoja tajiri mwenyeji wa Armathaya, jina lake Yosefu. Yeye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
58Güiya mato gui as Pilato, ya jagagao y tataotao Jesus. Ayo nae si Pilato manago na umanae.
58Akamwendea Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu. Basi, Pilato akaamuru apewe.
59Ya jachule si José y tataotao, ya jabalutan ni un sabanas na gasgas,
59Yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
60Ya japolo gui nuebo na naftanña, ni y finatinasñaja gui acho ni sacapico; ya janagalileque guato un dangculon acho y pettan y naftan, ya mapos.
60akauweka ndani ya kaburi lake jipya alilokuwa amelichonga katika mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.
61¶ Ya manestaba güije si Maria Magdalena, yan y otro Maria, na manmatatachong gui menan y naftan.
61Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.
62¶ Ya y inagpaña na jaane, despues di y jaanen finamauleg, mandaña y prinsipen y mamale sija, yan y Fariseo sija gui as Pilato,
62Kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya Maandalio, makuhani wakuu na Mafarisayo walimwendea Pilato,
63Ya ilegñija: Señot, injaso na ayo y dacon ilegña, anae estaba lalâlâ: Despues di tres na jaane, jucajulo talo.
63Wakasema, "Mheshimiwa, tunakumbuka kwamba yule mdanganyifu alisema kabla ya kufa ati, Baada ya siku tatu nitafufuka.
64Enao mina fanago, ya umaasegura y naftan, asta y mina tres na jaane; sa noseaja ufanmato y disipulo sija an puenge ya ujasaque; ya ujaalog ni taotao sija: Cajulo esta gui entalo manmatae: ya y uttimo na linache udangculoña qui y finenana.
64Kwa hiyo amuru kaburi lilindwe mpaka siku ya tatu ili wanafunzi wake wasije wakamwiba na kuwaambia watu kwamba amefufuka. Uongo huu wa mwisho utakuwa mbaya kuliko ule wa awali."
65Ilegña si Pilato nu sija: Inguaja un guatdianmiyo; janao, ya inasegura todo manu y ninasiñanmiyo.
65Pilato akawaambia, "Haya, mnao walinzi; nendeni mkalinde kadiri mjuavyo."
66Ayo nae manmapos sija, ya maadaje y naftan para umaasegura, ya maseyo y acho.
66Basi, wakaenda, wakalilinda kaburi, wakatia mhuri juu ya lile jiwe na kuacha hapo askari walinzi.