1YA cajulo güije, mato qui oriyan Judea, gui otro bandan Jordan; ya manalo y linajyan taotao mandaña guiya güiya; ya jatalo fumanagüe, taegüije, y costumbreña.
1Yesu alitoka hapo akaenda mkoani Yudea na hata ng'ambo ya mto Yordani. Umati wa watu ukamwendea tena, naye akawafundisha tena kama ilivyokuwa desturi yake.
2Ya manmato y Fariseo sija guiya güiya, ya mafaesen güe cao tunas y laje uyute y asaguaña? matietienta güe.
2Basi, Mafarisayo wakamwendea, na kwa kumjaribu wakamwuliza, "Je, ni halali mtu kumpa talaka mkewe?"
3Lao güiya manope, ilegña nu sija: Jafa mantinago jamyo as Moises?
3Yesu akawajibu, "Mose aliwapa maagizo gani?"
4Ya sija ilegñija: Si Moises japetmite na umatugue papet inapattan umasagua ya uyute.
4Nao wakasema, "Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha."
5Ya si Jesus manope, ilegña nu sija: Pot y majetog corasonmiyo na mantiniguie jamyo ni este na tinago.
5Yesu akawaambia, "Mose aliwaandikia amri hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
6Lao desde tutujon y jiniyong, Laje yan palaoan fumatinas sija Yuus.
6Lakini tangu kuumbwa ulimwengu, Mungu aliumba mwanamume na mwanamke.
7Pot este na rason y laje udingo si tataña yan si nanaña, ya udaña yan y asaguaña.
7Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe,
8Ya y este y dos, umana unoja na catne; ya esta ti udos mas, na unoja na catne.
8nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.
9Jafaja si Yuus munadaña, y taotao ti unadesapatta.
9Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe."
10Ya y jalom guma, y disipulo sija mafaesen güe talo ni ayoja.
10Walipoingia tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake walimwuliza juu ya jambo hilo.
11Ya ilegña nu sija: Jayeja y yumute y asaguaña, ya umasagua yan otro, jafatinas y adulterio contra y palaoan.
11Naye akawaambia, "Anayemwacha mkewe na kuoa mwingine, anazini dhidi ya mkewe.
12Ya yaguin y palaoan yumute y asaguaña, ya umasagua yan otro, jafatinas adulterio.
12Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini."
13¶ Ya machulie guato guiya güiya diquique na famaguon para upacha: ya y disipulo sija jalalatde ayo sija.
13Watu walimletea Yesu watoto wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wakawakemea.
14Ya anae jalie si Jesus, sen ti ninamagof ya ilegña nu sija: Polo y diquique na famaguon ya ufanmamaela guiya guajo; chamiyo chumochoma; sa iyon este sija y raenon Yuus.
14Yesu alipoona hivyo, alikasirika akawaambia, "Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni kwa ajili ya watu walio kama watoto hawa.
15Magajet jusangane jamyo, na y ti rumesibe y raenon Yuus calang un patgon, ti ujalom gui jalom ayo.
15Nawaambieni kweli, mtu yeyote asiyeupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hataingia katika Ufalme huo."
16Ya jajogüe sija ya japolo y canaeña gui jiloñija, ya jabendise sija.
16Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki.
17¶ Ya anae jumanao gui chalan, mato uno malalago ya dinimuye güe gui menaña ya finaesen güe: Mauleg na Maestro, jafa jufatinas para juereda y taejinecog na linâlâ?
17Yesu alipoanza tena safari yake, mtu mmoja alimjia mbio, akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, "Mwalimu mwema, nifanyeje ili niupate uzima wa milele?"
18Si Jesus ilegña nu güiya: Jafa na ilegmo nu guajo mauleg? Taya mauleg, na unoja, si Yuus.
18Yesu akamjibu, "Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.
19Untungo y tinago sija: Chamofamumuno; chamo fumatinas adulterio; chamo fañañaque; chamo sumanganñaejon y ti magajet na testimonio; chamo chumu y ti iyomo; onra si tatamo yan si nanamo.
19Unazijua amri: Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Usidanganye; Waheshimu baba na mama yako."
20Güiya manope ilegña: Maestro, todo este juadadaje desde nae patgonyo.
20Naye akamjibu, "Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu."
21Ayo nae matan güe as Jesus, güinaeya güe, ya ilegña nu güiya: Fatta jao uno: Janao ya ufajan todo y güinajamo, ya unnae y mamobble sija, ya uguaja güinajamo gui langet: ya maela, ya undalalag yo.
21Yesu akamtazama, akampenda, akamwambia, "Umepungukiwa na kitu kimoja: nenda ukauze vitu ulivyo navyo, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate."
22Lao güiya ninamatolaeca y mataña ni este na sinangan ya mapos ninatriste; sa guaja megae güinajaña.
22Aliposikia hayo, alisikitika, akaenda zake akiwa na huzuni, kwa maana alikuwa na mali nyingi.
23Ayo nae si Jesus manatan gui oriya, ya ilegña ni disipuluña sija: Na minapot manjalom gui raenon Yuus ayo sija y mangaegüinaja!
23Yesu akatazama pande zote, akawaambia wanafunzi wake, "Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!"
24Ya y disipulo sija ninafanmanman ni sinanganña: Lao si Jesus manope ilegña talo: Famaguon, na minapot manjalom, gui raenon Yuus y umangongoco sija gui güinaja!
24Wanafunzi walishangazwa na maneno yake. Yesu akawaambia tena, "Watoto wangu, ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa Mungu!
25Mas guse malofan un cameyo gui matan un jaguja, qui y gaegüinaja ujalom gui raenon Yuus.
25Ni rahisi zaidi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu."
26Ya sija ninagos fanmanmanman, ya ilegñija nu güiya: Ayo nae, jaye siña satbo?
26Wanafunzi wake wakashangaa sana wakaulizana, "Ni nani basi, atakayeweza kuokoka?"
27Ayo nae si Jesus jaatan sija, ya ilegña: Para y taotao sija, este ti siña, lao para si Yuus ti taegüine; sa para si Yuus todo ninasiña.
27Yesu akawatazama, akawaambia, "Kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu si hivyo, maana kwa Mungu mambo yote huwezekana."
28Ayonae si Pedro jatutujon ilegña nu güiya: Estagüejamja na indingo todo, ya indadalalagjao.
28Petro akamwambia, "Na sisi je? Tumeacha yote, tukakufuata!"
29Inepe as Jesus ilegña. Magajet jusanganejao: Taya ni un taotao ni y dumingo gumaña, pat mañeluña lalaje, pat mañeluña famalaoan, pat nanaña, pat tataña, pat famaguonña, pat fangualuaña, pot guajo, yan y ibangelio;
29Yesu akasema, "Kweli nawaambieni, kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au mama, au baba, au watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema,
30Na ti uresibe pagoja sienbiaje: guma sija, yan mañeluña lalaje, yan mañeluña famalaoan, yan nanaña, yan famaguonña, yan fangualuan sija, yan umapetsigue; ya y mámamaela na siglo, taejinecog na linâlâ.
30atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele.
31Lao megae na manfinenana, ufanuttimo, ya y manuttimo, ufanfinenana.
31Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza."
32¶ Ya anae mangaegue gui chalan, mangajulo guiya Jerusalem; ya si Jesus malag y menañija; ya ninafanmanman: ya y dumadalalag mangosmaañao. Ya jacone talo y dose, ya jatutujon sumangane sija jafa ususede güe.
32Basi, walikuwa njiani kwenda Yerusalemu, na Yesu alikuwa anawatangulia. Wanafunzi wake walijawa na hofu, na watu waliofuata waliogopa. Yesu akawachukua tena kando wale kumi na wawili, akaanza kuwaambia yale yatakayompata:
33Ylegña: Estagüejit na mangajulo guiya Jerusalem, ya y Lajin taotao umaentrega gui magas mamale, yan y escriba sija, ya umasentensia para umapuno, ya umaentrega gui Gentiles.
33"Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe na kumkabidhi kwa watu wa mataifa.
34Ya umamofea, yan umatolae, yan umasaulag, yan umapuno; ya y despues di tres na jaane ucajulo talo.
34Nao watamdhihaki; watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumwua. Na baada ya siku tatu atafufuka."
35¶ Ya si Santiago yan si Juan, lalajin Sebedeo, manmato jijot guiya güiya ya ilegñija nu güiya: Maestro, manmalagojam na unfatinas guiyajame jafa y malagomame.
35Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, walimwendea Yesu wakamwambia, "Mwalimu, tunataka utufanyie kitu tutakachokuomba."
36Ya ilegña nu sija: Jafa malagonmiyo na jufatinas guiya jamyo?
36Yesu akawauliza, "Mnataka niwafanyie nini?"
37Ilegñija nu güiya: Nafanmatachongjam, y uno gui agapamo, ya y otro gui acagüemo, gui minalagmo.
37Wakamjibu, "Uturuhusu tuketi mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto katika utukufu wa Ufalme wako."
38Si Jesus ilegña nu sija: Ti intingo jafa ingagagao. Siña jamyo manguimen gui copa anae gumiguimenyo? yan infanmatagpange ni y matagpangeco?
38Yesu akawaambia, "Hamjui mnachoomba! Je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa, au kubatizwa kama nitakavyobatizwa?"
39Ya ilegñija nu güiya: Mansiñajam. Ayonae ilegña si Jesus nu sija: infanguimen gui copa anae gumiguimenyo, yan infanmatagpange ni y ma tagpangeco;
39Wakamjibu, "Tunaweza." Yesu akawaambia, "Kikombe nitakachokunywa mtakinywa kweli, na mtabatizwa kama nitakavyobatizwa.
40Lao y infanmatachong gui agapajo, yan y acagüeco; ti guajo jufannae; lao para ayo sija ufanmanae y manmapreparaye.
40Lakini ni nani atakayeketi kulia au kushoto kwangu si wajibu wangu kupanga, bali nafasi hizo watapewa wale waliotayarishiwa."
41Ya anae majungog este ni y dies, ninafanlalalo as Santiago yan Juan.
41Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, walianza kuchukizwa na Yakobo na Yohane.
42Lao maninagang as Jesus ya ilegña nu sija: Intingo na ayo y manmanafanmagas gui Gentiles, jafatinas minagas gui jiloñija; ya y manmagas, jafatinas ninasiña gui jiloñija.
42Yesu akawaita, akawaambia, "Mnajua kwamba wale wanaofikiriwa kuwa watawala wa mataifa huwatawala watu wao kwa mabavu, na wakuu hao huwamiliki watu wao.
43Lao ti utaegüenao guiya jamyo; sa jaye y malago dumangculo guiya jamyo; güiya ufañeñetbe.
43Lakini kwenu isiwe hivyo, ila anayetaka kuwa mkuu kati yenu, sharti awe mtumishi wenu.
44Ya jaye guiya jamyo y malago mumagas; utentago para todo.
44Anayetaka kuwa wa kwanza, sharti awe mtumishi wa wote.
45Sa magajet ni y Lajin taotao ti mato para umasetbe, lao para ufañetbe, ya para ufannae y jaaniña ni un rescate para unafanlibre megae.
45Maana Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, ila alikuja kutumikia, na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi."
46¶ Ya manmato Jerico. Ya anae manjanao gui Jerico, yan y disipuluña yan un dangculon linajyan taotao, si Bartimeo lajin Timeo, na bachet, matatachong gui oriyan chalan, ya umegagao.
46Basi, wakafika Yeriko, naye Yesu alipokuwa anatoka katika mji huo akiwa na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mwombaji aitwaye Bartimayo mwana wa Timayo alikuwa ameketi kando ya barabara.
47Ya anae jajungog na si Jesus Nasareno, jatutujon umagang ilegña: Jesus, Lajin David, gaease nu guajo.
47Aliposikia kwamba ni Yesu wa Nazareti aliyekuwa anapita mahali hapo, alianza kupaaza sauti, "Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!"
48Ya megae mumomye para ufamatquilo: lao mas umagang gosagang: Jago ni y Lajin David, gaease nu guajo.
48Watu wengi walimkemea ili anyamaze, lakini yeye akazidi kupaaza sauti, "Mwana wa Daudi, nihurumie!"
49Ya si Jesus tumojgüe ya ilegña: Agang güe. Ya maagang y bachet ilegñija nu güiya: Magofjao; cajulo sa inaagangjao.
49Yesu alisimama, akasema, "Mwiteni." Basi, wakamwita huyo kipofu, wakamwambia, "Jipe moyo! Simama, anakuita."
50Ya janasuja y capaña, y cajulo, ya malag as Jesus.
50Naye akatupilia mbali vazi lake, akaruka juu, akamwendea Yesu.
51Ya si Jesus manopegüe ya ilegña: Jafa malagomo jufatinas guiya jago? Y bachet ilegña nu güiya: Raboni, nafanliiyo.
51Yesu akamwuliza, "Unataka nikufanyie nini?" Huyo kipofu akamwambia, "Mwalimu, naomba nipate kuona."
52Si Jesus ilegña: Janao, y jinengguemo munajomlojao. Ya enseguidas manlie, ya jadalalag si Jesus gui jinanaoña.
52Yesu akamwambia, "Nenda, imani yako imekuponya." Mara huyo kipofu akaweza kuona, akamfuata Yesu njiani.