Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Mark

12

1YA sigue di jacuentuse sija acomparasion sija. Un taotao mananom gui fangualuan ubas, ya jacolat nu trongcon tituca, ya manguadog un joyo para un lagat ya jafatinas un tore, ya jaatquila y manfafachocho, ya mapos güe malag otro tano.
1Yesu alianza kusema nao kwa mifano: "Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu. Akalizungushia ukuta, na katikati yake akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga mnara pia. Akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, akasafiri hadi nchi ya mbali.
2Ya anae esta tiempo, jatago uno gui tentagoña para ayo y manmachochocho, para ujaresibe guinen manmachochocho y tinegcha y fangualuan ubas.
2Wakati wa mavuno, alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima akamletee sehemu ya mazao ya shamba lake.
3Ya macone y tentago, ya masaulag, ya manajanao taesinajguan.
3Wale wakulima wakamkamata, wakampiga, wakamrudisha mikono mitupu.
4Ya jatago talo y otro tentagoña; ya mapoca y iluña, ya manataelaye güe gosdangculo.
4Akatuma tena mtumishi mwingine; huyu wakamuumiza kichwa na kumtendea vibaya.
5Ya jatalo tumago y otro, ya mapuno; yan otro megae ya palo manmasaulag yan palo manmapuno.
5Mwenye shamba akatuma mtumishi mwingine tena, na huyo wakamuua. Wengine wengi waliotumwa, baadhi yao walipigwa, na wengi wakauawa.
6Ya guaja unoja lajiña na sumenyaña; ya güiya uttimo jatago, ilegña: Ufangaerespeto ni y lajijo.
6Alibakiwa bado na mtu mmoja, yaani mwanawe mpendwa. Mwishowe akamtuma huyo akisema, Watamheshimu mwanangu.
7Ya ayo sija y manmachochocho, ilegñija gui sumanjalomñija. Estagüe y eredero; nije tapuno, ya y fangualuan uiyota.
7Lakini hao wakulima wakaambiana, Huyu ndiye mrithi, basi, tumuue ili urithi wake uwe wetu!
8Ya macone güe, ya mapuno, ya mayute juyong gui fangualuan.
8Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
9Jafa pago ufatinas y magas y fangualuan? Ufato, ya uyulang todo y manmachochocho, ya ufannae otro ni y fangualuan.
9"Basi, mwenye shamba atafanya nini? Atakuja kuwaangamiza hao wakulima na kulikodisha hilo shamba la mizabibu kwa watu wengine.
10Taya nae intaetae este na tinigue: Y acho, ni y jarechasa y manmanmatitinas ni y guima, esteja mapolo cuentan ulo gui esquina.
10Je, hamjasoma Maandiko haya? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
11Este finatinas y Señot, ya janafanmanman gui menan atadogta.
11Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu."
12Ya maaliligao para umagote lao manmaañao ni y linajyan taotao; sa matungo na jasasangan y acomparasion contra sija: ya madingo, ya manmapos gui jinanaoñija.
12Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. Kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. Basi, wakamwacha wakaenda zao.
13¶ Ya manmatago guato guiya güiya palo gui Fariseo sija yan taotao Herodes; para umaquegacha gui sinanganña.
13Basi, baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa kikundi cha Herode walitumwa ili wamtege Yesu kwa maneno yake.
14Ya anae manmato, ilegñija nu güiya: Maestro, intingo na jago magajetjao; ya taya unadadaje ni un taotao; sa ti guaelaye nu jago y finaboresen taotao, lao mamananagüejao ni y magajet na chalan Yuus. Tunas na infanmanaejam tributo as Sesat, pat aje?
14Wakamwendea, wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali mtu yeyote. Wala cheo cha mtu si kitu kwako, lakini wafundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la? Tulipe au tusilipe?"
15Innae, pat mungajam numae? Lao si Jesus jatungoja y quinadoñija, ya ilegña nu sija: Jafa muna na intietientayo? maela un denarion salape ya julie.
15Lakini Yesu alijua unafiki wao, akawaambia, "Mbona mnanijaribu? Nionyesheni sarafu."
16Ya anae machulie guato, ilegña nu sija: Iyon jaye este na imagen yan tinigue? Ylegñija nu güiya: Iyon Sesat.
16Wakamwonyesha. Naye akawauliza, "Sura na chapa hii ni ya nani?" Wakamjibu, "Ni ya Kaisari."
17Ayonae si Jesus ilegña nu sija: Nae si Sesat ni y iyon Sesat, ya si Yuus ni y iyon Yuus. Ya ninafangosmanman nu güiya.
17Basi, Yesu akawaambia, "Mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mungu yaliyo yake Mungu." Wakashangazwa sana naye.
18¶ Ya manmato guiya güiya y Saduseo sija ni y ilegñija, na taya quinajulo y mannatae; ya mafaesen güe, ilegñija:
18Masadukayo wasemao kwamba hakuna ufufuo walimwendea Yesu, wakamwuliza,
19Maestro, jatuguiejam si Moises: Yanguin y chelun un taotao matae, ya y palaoan ni y asaguaña sumaga ya taya patgonña, ayo y laje ni y chelun y matae, uasagua talo y palaoan, ya ufamasemiya gui cheluña.
19"Mwalimu, Mose alituagiza hivi: Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane amzalie watoto ndugu yake marehemu.
20Ya guaja seite lalaje na mañelu: y finenana umasagua, ya matae ti mapolo semiya:
20Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.
21Inasagua talo y palaoan ni y mina dos, ya matae talo taya pineloña semiya: ya y mina tres taegüijeja talo.
21Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.
22Ya y siete, ti mapolo semiyañijo; despues di todos, matae y palaoan locue.
22Wote saba walikufa bila kuacha mtoto. Mwishowe yule mama mjane naye akafa.
23Y quinajulo y manmatae, jaye guiya sija ugae asagua y palaoan? sa todo y siete manmasagua.
23Basi, siku watu watakapofufuka, mama huyo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa."
24Si Jesus ilegña nu sija: Ada ti manlache jamyo, sa ti intingo y tinigue, ni y ninasiñan Yuus?
24Yesu akawaambia, "Ninyi mmekosea sana, kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu.
25Sa y mangajulo guinen manmatae, ni ufanasagua, ni umanafanasagua; lao manparejoja yan y angjet sija gui langet.
25Maana wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni.
26Ya y manmatae ni y ufannacajulo; ti untaetae gui leblon Moises, jaftaemano si Yuus gui jalomtano guiya trongcon jayo ni y ilegña as Moises: Guajo si Yuus Abraham, yan si Yuus Ysaac, yan si Yuus Jacob?
26Lakini kuhusu kufufuliwa kwa wafu, je, hamjasoma kitabu cha Mose katika sehemu inayohusu kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto? Mungu alimwambia Mose, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.
27Ti güiya si Yuus y manmatae, na si Yuus y manlâlâlâ; enaomina ninafangoslache jamyo.
27Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Ninyi mmekosea sana!"
28¶ Ya uno gui escriba mato, ya jajungog na manafaesen entresija, ya jatungo na mauleg inepeña nu sija, finaesen güe: Jafa y finenana qui todo na tinago?
28Mmojawapo wa walimu wa Sheria alifika, akasikia mabishano yao. Alipoona kwamba Yesu aliwajibu vyema, akajitokeza akamwuliza, "Katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza?"
29Si Jesus manope: Este y finenana na tinago: Jingog O Israel: Y Señot Yuusta, unoja na Señot:
29Yesu akamjibu, "Ya kwanza ndiyo hii: Sikiliza, Israeli! Bwana Mungu wetu ndiye peke yake Bwana.
30Ya guaeya jamyo y Señot, Yuusmiyo, contodo y corasonmiyo, yan contodo y antenmiyo, yan contodo y jinasonmiyo, yan contodo y minetgotmiyo.
30Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.
31Ya este y segundo: Guaeya y tiguangmo parejo yan jago. Taya otro tinago mas, mandangculo qui estesija.
31Na ya pili ndiyo hii: Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi."
32Ya y escriba ilegña nu güiya. Magajet Maestro, mauleg na unsangan na güiya unoja; ya taya otro na güiyaja.
32Basi, yule mwalimu wa Sheria akamwambia, "Vyema Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu ni mmoja tu wala hakuna mwingine ila yeye.
33Ya ugumaeya güe contodo y corason, yan contodo y tiningo, yan contodo y minetgot, yan ugumaeya y tiguangña parejo yan güiya, mas qui todo y inefrese, yan y ninae sija.
33Na ni lazima mtu kumpenda Mungu kwa moyo wote, kwa akili yote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani yake kama anavyojipenda mwenyewe. Jambo hili ni muhimu zaidi kuliko dhabihu na sadaka zote za kuteketezwa."
34Ya anae jalie si Jesus ni y minejnalom inepeña, ilegña nu güiya: Ti chagojao gui raenon Yuus. Ya taya ni un taotao fumaesen güe talo desde ayo.
34Yesu alipoona kwamba huyu mtu alimjibu kwa ujasiri, akamwambia, "Wewe huko mbali na Ufalme wa Mungu." Baada ya hayo, hakuna mtu aliyethubutu tena kumwuliza kitu.
35¶ Ya maninepe as Jesus gui anae mamananagüe gui templo, ilegña: Jafa na ilegñija y escriba sija, na si Cristo Lajin David?
35Wakati Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, aliuliza, "Mbona walimu wa Sheria wanasema ya kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
36Sa si David mismo ilegña gui Espiritu Santo: Y Señot ilegña ni y Señotto: Fatachong gui agapa na canaejo, asta qui jupolo y enemigumo sija gui papa y fañajangan adengmo.
36Daudi mwenyewe akiongozwa na Roho Mtakatifu alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, Mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako."
37¶ David jafanaan güe Señot; ya jaftaemano na y lajiña? Ya manmagof y dangculon linajyan taotao sija anae majungog.
37"Daudi mwenyewe anamwita Kristo Bwana. Basi, Kristo atakuwaje mwanae?" Umati wa watu ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.
38¶ Ya ilegña gui finanagüeña: Adaje jamyo ni y escriba sija, sa yanñija manjanao yan y anaco magagoñija, yan yanñija manmasaluda gui metcado,
38Katika mafundisho yake, Yesu alisema, "Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamejivalia kanzu ndefu na kusalimiwa na watu kwa heshima sokoni; hupenda kuketi mahali pa heshima katika masunagogi,
39Yan y manmagas na tachong gui sinagoga, yan y ya jululo na tachong gui guipot;
39na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.
40Ni y jatucho y guima y biuda sija, ya janafananaco tinaetaeñija ni y dinague: este sija ujaresibe dangculo na sentensia.
40Huwanyonya wajane huku wakijisingizia kusali sala ndefu. Siku ya hukumu watapata adhabu kali!"
41¶ Ya anae matachong si Jesus gui menan y cajon ni y para y ninae; megae na taotao manmato, ya manmanyute jalom salape gui cajon; ya y megae na manrico sija, megae yiniteñija jalom.
41Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. Akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya Hekalu. Matajiri wengi walitoa fedha nyingi.
42Ya mato un pobble na buida; ya manyute jalom dos cobble na bale buente un centavos.
42Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.
43Ya si Jesus jaagang y disipuluña, ya ilegña nu sija: Magajet jusangane jamyo: Este y pebble na biuda, mas megae yiniteña jalom qui ni todo ayo sija y guinen manmanyute jalom gui cajon.
43Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, "Kweli nawaambieni, huyu mama mjane maskini ametoa zaidi kuliko wengine wote waliotia fedha katika sanduku la hazina.
44Sa todo y manmanyute jalom, pot y minegaeñijaja; lao güiya pot y minalagoñaja na jayute jalom todo y güinajaña; asta y sustentoña todo.
44Maana wote walitoa kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa yote aliyokuwa nayo, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi."