1YA jumalom talo gui sinagoga; ya guaja güije un taotao na anglo un canaeña.
1Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
2Ya sija maaatanja güe cao unajomlo gui sabado na jaane; para umafaaela.
2Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.
3Ayo nae ilegña ni ayo na taotao y anglo un canaeña: Tojgue julo gui entalo.
3Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, "Njoo hapa katikati."
4Ya ilegña nu sija: Siña tafatinas mauleg gui sabado na jaane pat taelaye? nalibre y linâlâ pat puno? Lao sija manmamatquiquiloja.
4Kisha, akawauliza, "Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?" Lakini wao hawakusema neno.
5Ya anae jaatan gui oriya sija yan y linalalo, ninapinite pot y majetog corasoññija, ya ilegña nu y taotao: Estira mona y canaemo. Ya jaestira, ya y canaeña tumalo mauleg parejo yan y otro.
5Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, "Nyosha mkono wako!" Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
6Ayo nae manmapos y Fariseo sija, ya manaconseja yan y taotao Herodes sija, contra güiya, para umapuno.
6Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu.
7Lao si Jesus sumuja para y tase yan y disipuluña sija; ya madalalag un dangculon linajyan taotao guine Galilea, yan guine Judea,
7Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea,
8Yan guine Jerusalem, yan guine Idumea, yan y otro bandan Jordan, yan guine oriyan Tiro yan Sidon, dangculo na linajyan taotao anae majungog y dangculon finatinasña sija, manmato guiya güiya.
8Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
9Ya jasangane y disipoluña sija, na un diquique na batco uninananggaja güe, pot y linajyan taotao para munga güe manachatsaga,
9Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.
10Sa guaja megae janafanjomlo; ya pot ayo na manpodong gui jiloña, todo y mangaechetnot para umapacha,
10Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
11Ya y manáplacha sija na espiritu locue, anae malie güe, manpodong papa gui menaña, ya managang, ilegñija: Jago y Lajin Yuus.
11Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, "Wewe ni Mwana wa Mungu!"
12Lao guiya jagosencatga sija, na chañija munamatutungo güe.
12Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.
13¶ Ya cajulo gui egso, ya jaagang guiya güiya ayo sija y malagoña, ya sija manmato guiya güiya.
13Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,
14Ya jaayig y dose, na ufañisijaja, yan para unafanjanao ya ujafanmansetmon;
14naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
15Yan ufangaeninasiña para ujayute juyong y anite sija.
15na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo.
16Sija si Simon, ni japolo sobrenaaña si Pedro;
16Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
17Yan si Santiago, lajin Sebedeo, yan si Juan chelun Santiago; ni japolo sobrenaañija si Boanerges ni comoqueilegña lalajin julo.
17Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake "wanangurumo"),
18Yan si Andres, yan si Felipe, yan si Bartolome, yan si Mateo, yan si Tomas yan si Santiago, lajin Alfeo, yan si Tadeo, yan si Simon y Cananeo;
18Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na
19Yan si Judas Iscariote ni y locue umentrega güe: ya manjalom talo gui guima.
19Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
20¶ Ya y linajyan taotao mandaña talo, ya pot este sija ti siña ni ufañochocho pan.
20Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.
21Ya anae majungog na familiaña sija, manmato para umaguot; sa ilegñija: Esta ti guiya güe.
21Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.
22Ya y escriba sija ni manmato guine Jerusalem, ilegñija, na guaja güe as Beetsebub, ya pot y prinsipen anite na manyuyute juyong anite sija.
22Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, "Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo."
23Lao güiya umagang sija, ya ilegña nu sija pot acomparasion: Jafataemano siña si Satanas jayute juyong si Satanas?
23Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, "Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
24Yaguin un raeno madibide contra güiyaja, ayo na raeno ti siña sumaga.
24Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu.
25Yaguin un guma madibide contra güiyaja, ayo na guma ti siña sumaga.
25Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.
26Yaguin si Satanas cajulo contra güiyaja, ya madibide ti siña sumaga: lao gae jinecog.
26Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.
27Taya ni un taotao siña jumalom gui guima y matatnga na taotao, ya unataelaye y güinajaña sija, yaguin ti jagode finena y matatnga na taotao; ya ayo nae unataelaye y güinajaña.
27"Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
28Magajet jusangane jamyo, na todo y isao sija ufanmaasie gui lalajin taotao sija, yan y chinatfino contra cuatquieraja sija na chinatfinue.
28"Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;
29Lao jayeja y chumatfino contra y Espiritu Santo, taemaasie ni ngaean; ya peligroña y taejinecog na isao:
29lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
30Sa ilegñija, güiya guaja áplacha na espiritu.
30(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu.")
31Ya manmato si nanaña, yan y mañeluña, ya manestaba gui sumanjiyong, manmanago na umaagang güe.
31Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona.
32Ya y linajyan taotao estaba manmatatachong gui oriyaña; ya ilegñija nu güiya: Estagüe si nanamo yan y mañelumo gui sumanjiyong na maaliligaojao.
32Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona."
33Ya güiya jaope sija, ilegña: Jaye nanajo yan jaye mañelujo?
33Yesu akawaambia, "Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?"
34Ya manaatan gui oriya anae manestaba manmatatachong gui oriyaña, ya ilegña: Estagüe y nanajo, yan y mañelujo!
34Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, "Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
35Sa jayeja y fumatinas y minalago Yuus, güiya chelujo laje, yan chelujo palaoan, yan nanajo.
35Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu."