1YA manmato gui otro bandan tase gui tano y taotao Gadara sija.
1Basi, wakafika katika nchi ya Wagerase, ng'ambo ya ziwa.
2Ya anae jumuyong güe gui batco, enseguidas umasoda yan un taotao gui naftan sija ni guaja un áplacha na espiritu.
2Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye.
3Ya guaja sagaña gui jalom naftan sija, ya taya siña gumode güe nu y cadenaja:
3Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.
4Sa megae na biaje nae magode nu y tale sija yan cadena sija, lao y cadena sija esta manmayamag pot guiya; ya y tale sija manmagtos, ya taya siña munamanso güe.
4Mara nyingi walimfunga kwa pingu na minyororo lakini kila mara aliweza kuikata hiyo minyororo na kuzivunja hizo pingu, wala hakuna mtu aliyeweza kumzuia.
5Ya siempre yan puenge yan jaane, jumajanao ya umaagang gui entalo naftan sija, yan gui jalomtano sija, ya janalalamen güe ni acho sija.
5Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaaza sauti na kujikatakata kwa mawe.
6Ya anae jalie si Jesus gui chago, malago, ya jaadora güe.
6Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia
7Ya umagang gosdangculo na inagang, ilegña: Para jafayo ni jago, Jesus, Lajin y Gueftaquilo na Yuus? Jufanjula nu jago pot si Yuus na chamoyo munachachatsaga.
7akisema kwa sauti kubwa, "Una shauri gani nami, wewe Yesu Mwana wa Mungu aliye juu? Kwa jina la Mungu, nakusihi usinitese!"
8Sa ilegña nu güiya: Juyong güine na taotao, áplacha na espiritu.
8(Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, "Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.")
9Ya jafaesen: Jaye naanmo? Ya inepe, ilegña: Linajyan naanjo: sa manmegaejam.
9Basi, Yesu akamwuliza, "Jina lako nani?" Naye akajibu, "Jina langu ni Jeshi, maana sisi tu wengi."
10Ya jatayuyut megae, para chaña yiniyite juyong güije na tano.
10Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.
11Ya gaegue güije, jijot gui jalomtano sija, un dangculo na manadan babue na mañochocho.
11Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.
12Ya matayuyut güe ni ayo todo sija na anite, ilegñija: Tagojam para y babue sija para infanjalom guiya sija.
12Basi, hao pepo wakamsihi, "Utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie."
13Ya manpinetmite as Jesus. Ya manjuyong ayo sija y manáplacha na espiritu, ya manjalom gui babue sija; ya y manada manmalago papa gui un didog na lugat asta y jalom tase, ya guaja sija dos mit; ya manmatmos gui tase.
13Naye akawaruhusu. Basi, hao pepo wachafu wakatoka, wakawaingia wale nguruwe. Kundi lote la nguruwe wapatao elfu mbili likaporomoka kwenye ule mteremko mkali mpaka ziwani, likatumbukia majini.
14Ya y munafañochocho y babue sija manmalago ya manmañangane gui siuda yan y fangualuan sija. Ya manjanao sija para ujalie jafa ayo y guinin mafatinas.
14Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakatangaza jambo hilo mjini na mashambani. Watu wakafika kuona yaliyotukia.
15Ya manmato gui as Jesus, ya malie y guinin ninachatsaga ni anite, matatachong, ya minagagago, ya jatungo ayo y guaja ni linajyan; ya manmaañao.
15Wakamwendea Yesu, wakamwona na mtu yuleyule aliyekuwa amepagawa na jeshi la pepo ameketi chini, amevaa nguo na ana akili yake sawa, wakaogopa.
16Ya mansinagane ni ayo sija y lumie; jafa taemano matoña ayo y guinin guaja anite, yan y babue sija.
16Watu walishuhudia tukio hilo wakaeleza wengine mambo yaliyompata huyo mtu aliyekuwa amepagawa na pepo na juu ya wale nguruwe.
17Ya matutujon matayuyut güe na ujanao gui tanoñija.
17Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.
18Ya anae jumalom güe gui batco, tinayuyut güe ni ayo y guinin guaja anite, para ujasija.
18Yesu alipokuwa anapanda mashuani, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akamwomba amruhusu kwenda naye.
19Ya si Jesus ti pinetmite, lao ilegña un güiya: Janao falag iyajamyo gui amigumo sija; ya unsangane sija na dangculon güinaja y Señot finatinasña nu jago, yan guaja minaaseña nu jago.
19Lakini Yesu akamkatalia. Badala yake akamwambia, "Nenda nyumbani kwa jamaa yako, ukawaambie mambo yote Bwana aliyokutendea na jinsi alivyokuonea huruma."
20Ya maposgüe ya jatutujon sumanganñaejon guiya Decapolis na dangculon güinaja y finatinas Jesus nu güiya: ya todo ninafanmanman.
20Basi, huyo mtu akaenda, akaanza kutangaza huko Dekapoli mambo yote Yesu aliyomtendea; watu wote wakashangaa.
21Ya anae malofan otro biaje si Jesus gui un batco para y otro banda, mandaña guiya güiya un dangculo na linajyan taotao; ya gaegue güe gui oriyan tase.
21Yesu alivukia tena upande wa pili wa ziwa kwa mashua. Umati mkubwa wa watu ukakusanyika mbele yake, naye akawa amesimama kando ya ziwa.
22Ya mato uno gui prinsipe sija gui sinagoga, y naanña si Jairo; ya anae linie güe, podong gui adengña;
22Hapo akaja mmojawapo wa maofisa wa sunagogi, jina lake Yairo. Alipomwona Yesu, akajitupa mbele ya miguu yake,
23Ya tinayuyut güe megae, ilegña: Y jagajo cumequematae. Nije ya unpolo y canaemo gui jiloña, para ujomlo, yan ulâlâ.
23akamsihi akisema, "Binti yangu mdogo ni mgonjwa karibu kufa. Twende tafadhali, ukamwekee mikono yako, apate kupona na kuishi."
24Ya jumanao yan Jesus, ya megae na taotao sija madalalag güe, ya machiguet güe.
24Basi, Yesu akaondoka pamoja naye. Watu wengi sana wakamfuata, wakawa wanamsonga kila upande.
25Ya un palaoan na numanajuyong jâgâ esta dose años.
25Mmojawapo alikuwa mwanamke mwenye ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili.
26Ya japadese megae medico, ya jagasta todo y güinajaña, ya taya jaaprobecha; lao lumala adid,
26Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.
27Ya anae jajungog ayosija na cumuentos si Jesus, jumalom gui entalo y taotao sija gui sumantate, ya japacha y magaguña.
27Alikuwa amesikia habari za Yesu, na hivyo akaupenya msongamano wa watu kutoka nyuma, akagusa vazi lake.
28Sa ilegña: Yaguin jupacha y magaguñaja, uguajayo jinemlo.
28Alifanya hivyo, maana alijisemea, "Nikigusa tu vazi lake, nitapona."
29Ya enseguidas y menegae y jâgâña umanglo, ya jasiente y tataotaoña na esta jomlo ni ayo na chetnot.
29Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
30Ya si Jesus enseguidas jatungo guiya güiyaja, na ninasiña jumuyong guiya güiya, jabira güe guato gui linajyan taotao, ya ilegña: Jaye pumacha y magagujo?
30Yesu alitambua mara kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia ule umati wa watu, akauliza, "Nani aliyegusa mavazi yangu?"
31Ya y disipuluña sija ilegñija nu güiya: Unlie y linayan taotao na machichiguetjao, ya ilegmo: Jaye pumachayo?
31Wanafunzi wake wakamjibu, "Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona wauliza nani aliyekugusa?"
32Ya güiya manatan gui oriya para ulie y fumatinas este.
32Lakini Yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo.
33Lao ayo nae y palaoan maañao ya manlaloalao, jatungo na iyagüiya nae mafatinas, mato ya podong gui menaña, ya jasangane todo ni magajet.
33Hapo huyo mwanamke, akifahamu yaliyompata, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa chini mbele ya Yesu na kusema ukweli wote.
34Ya güiya ilegña: Jagajo, y jinengguemo unninajomlo; janao yan minagof, ya unjomio ni chetnotmo.
34Yesu akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako."
35¶ Y tiempo nae cumuecuentos güe, manmato guine y guima y prinsipen sinagoga ya ilegñija: Y jagamo matae: para jafa di unnachachatsaga mas y Maestro?
35Yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, "Binti yako amekwisha kufa. Ya nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?"
36Lao si Jesus, anae jajungog este na sinangan, ilegña ni prinsipen sinagoga: Chamo maaañao; jonggueja.
36Lakini, bila kujali walichosema, Yesu akamwambia mkuu wa sunagogi, "Usiogope, amini tu."
37Ya ti japetmite ni uno na událalag güe, solo si Pedro, yan si Santiago, yan si Juan, chelun Santiago.
37Wala hakumruhusu mtu yeyote kufuatana naye ila Petro, Yakobo na Yohane nduguye Yakobo.
38Ya mato gui guima y prinsipen y sinagoga, ya jalie y atboroto yan y manatanges yan y manugung.
38Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi.
39Ya anae jumalom, ilegña nu sija: Jafa na manatborotao jamyo, yan manatanges jamyo? Y patgon na palaoan ti matae, na mamaego.
39Akaingia ndani, akawaambia, "Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa, amelala tu."
40Ya mamofea güe. Lao güiya janafanjuyong todo, ya jacone y tata yan y nanan y patgon na palaoan, yan y mangachochongña, ya manjalom anae gaegue y patgon na palaoan.
40Lakini wao wakamcheka. Basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama ya huyo msichana na wale wanafunzi wake, wakaingia chumbani alimokuwa huyo msichana.
41Ya jamantiene y canae y patgon palaoan, ya ilegña: Talitha cumi; cumequeilegña: Patgon palaoan, jago jucuentutuse, cajulo.
41Kisha akamshika mkono, akamwambia, "Talitha, kumi," maana yake, "Msichana, nakwambia, amka!"
42Ya enseguidas ayo na patgon palaoan cajulo, ya mamocat; sa sacaña y dose años. Ya enseguidas ninafanmanman ni gosdangculo na namanman.
42Mara msichana akasimama, akaanza kutembea. (Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili.) Hapo watu wakashangaa kupita kiasi.
43Lao güiya jagosencatga sija na taya ujanatungo: ya manago na umanachocho y patgon palaoan.
43Yesu akawakataza sana wasimjulishe mtu jambo hilo. Kisha akawaambia wampe huyo msichana chakula.