1YA anae jumanao güije mato gui tanoña; ya y disipuluña sija madalalag güe.
1Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.
2Ya anae mato y sábado na jaane, jatutujon mamanagüe gui sinagoga; ya megae ni jumungog güe ninafanmanman, ya ilegñija: Mano nae guaja este taotao este sija na güinaja? Yan jafa este na tiningo y esta manae güe? ya jaftaemano este sija na ninámanman ni mafatinas ni canaeña?
2Siku ya Sabato ilipofika, alianza kufundisha katika sunagogi. Wengi waliomsikia walishangaa, wakasema, "Je, ameyapata wapi mambo haya? Ni hekima gani hii aliyopewa? Tena, anatendaje maajabu haya anayoyafanya?
3Ada ti este y catpintero, lajin Maria, chelun Santiago, yan si Joses, yan si Juda, yan si Simon? Ada ti manjijita yan y mañeluña famalaoan güine? Ya maninefefende nu güiya.
3Je, huyu si yule seremala mwana wa Maria, na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda na Simoni; Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?" Basi, wakawa na mashaka naye.
4Lao si Jesus ilegña nu sija: Taya profeta sin onraña lao y tanoñaja, yan entre y parientesña sija, ya y guimaña.
4Yesu akawaambia, "Nabii hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake, kwa jamaa zake na nyumbani mwake."
5Ya ti siña jafatinas güije jafa na námanman, na japolo y canaeña gui jilo palo manmalango sija, ya janajomlo.
5Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache, akawaponya.
6Ya güiya ninámanman ni ti manmanjongguenñija; ya malilicue gui y sengsong sija mananagüe.
6Alishangaa sana kwa sababu ya kutoamini kwao. Kisha Yesu alivitembelea vijiji vya pale karibu akiwafundisha watu.
7¶ Ya jaagang y dose sija, y jatutujon tumago dos en dos, ya janae ninasiñañija gui jilo manáplacha na espiritu sija;
7Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawiliwawili. Aliwapa uwezo wa kuwatoa pepo wachafu,
8Ya jatago sija na chañija fanmañuñule ni jafa para y chalan, na un bastoñija; ni costat, ni pan, ni salape gui betsanñija;
8na kuwaamuru, "Msichukue chochote mnapokwenda isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni.
9Lao ufanchenancleta; ya munga manminagago dos na magago.
9Vaeni viatu lakini msivae kanzu mbili."
10Ya ilegña nu sija: Manoja na guma nae manjalom jamyo; fañaga güije, asta gui manjanao jamyo güije na lugat.
10Tena aliwaambia, "Popote mtakapokaribishwa nyumbani, kaeni humo mpaka mtakapoondoka mahali hapo.
11Ya todo ayo sija y ti rumesibe jamyo, ni ti maninecungog jamyo, fanjanao güije, sacude y petbos ni gaegue gui papa adengmiyo para testimonio contra sija. Magajet jusangane jamyo, na mas sungunon na castigon Sodoma, yan Gomora gui jaanin y sentensia, qui ayo na sidua.
11Mahali popote ambapo watu watakataa kuwakaribisheni au kuwasikiliza, ondokeni hapo na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao."
12Ya manmapos jasetmon na y taotao sija ufanmañotsot.
12Basi, wakaondoka, wakahubiri watu watubu.
13Ya jayute juyong megae na anite sija, ya japapalae laña megae na manmalango sija, ya janafanjomlo.
13Waliwafukuza pepo wengi wabaya; wakawapaka mafuta wagonjwa wengi, wakawaponya.
14¶ Ya jajungog y ray Herodes y faman Jesus (sa afamao y naanña), ya ilegña: Si Juan Bautista cajulo guine y manmatae sija; ya pot este mangaeninasiña na chocho, esta fumatinas nu güiya.
14Basi, mfalme Herode alisikia juu ya hayo yote, maana sifa za Yesu zilienea kila mahali. Baadhi ya watu walikuwa wakisema, "Yohane Mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
15Palo ilegñija: Si Elias. Y palo ilegñija: Profeta güe, pat uno gui profeta sija.
15Wengine walisema, "Mtu huyu ni Eliya." Wengine walisema, "Huyu ni nabii kama mmojawapo wa manabii wa kale."
16Ya anae jajungog si Herodes, ilegña: Este si Juan ni guine judegüeya: güiya cajulo guine y manmatae sija.
16Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, "Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka."
17Sa güiyaja si Herodes manago na umamantiene si Juan, ya umapreso gui catset pot si Herodias, asaguan y cheluña as Felipe, sa jacone para asaguaña.
17Hapo awali Herode mwenyewe alikuwa ameamuru Yohane atiwe nguvuni, akamfunga gerezani. Herode alifanya hivyo kwa sababu ya Herodia ambaye Herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa Filipo, ndugu yake.
18Sa si Juan ilegña as Herodes: Ti cabales na uncone y asaguan y chelumo.
18Yohane alikuwa amemwambia Herode, "Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako."
19Ya pot este si Herodias uninaguaguat contra güiya, ya jadesesao na upuno, lao ti janasiña.
19Basi Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumwua, asiweze.
20Sa si Herodes maañao as Juan, jatungo na tunas yan Santos na taotao ya jaguefadaje. Ya anae jajungog, gosbumuebuente gui corasonña; ya jaecungogjao ni minagofña.
20Herode alimwogopa Yohane kwa maana alijua kwamba yeye ni mtu mwema na mtakatifu, na hivyo akamlinda. Herode alipenda kumsikiliza Yohane, ingawaje baada ya kumsikiliza, alifadhaika sana.
21Ya anae mato un jaane na si Herodes gumupot ni mafañaguña, ya mamatinas sena para y prinsipeña sija yan y capitan sija, yan y manmagas sija guiya Galilea;
21Ikapatikana nafasi, wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode. Herode aliwafanyia karamu wazee wa baraza lake, majemadari na viongozi wa Galilaya.
22Ya jumalom y jagan Herodias, ya bumaela, ya janamagof si Herodes, yan ayo sija y mangachochongña gui lamasa; ya y ray ilegña ni patgon na palaoan: Gagaoyo ni malagomo, ya junaejao.
22Basi, binti yake Herodia aliingia, akacheza, akawafurahisha sana Herode na wageni wake. Mfalme akamwambia huyo msichana, "Niombe chochote utakacho, nami nitakupa."
23Ya manjula: Todo y ungagaoyo, junae asta lamita gui raenoco.
23Tena akamwapia, "Chochote utakachoniomba, nitakupa: hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu."
24Ya mapos güe, ya ilegña as nanaña: Jafa jugagao? Si nanaña ilegña: Y ilun Juan Bautista.
24Hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, "Niombe nini?" Naye akamjibu, "Kichwa cha Yohane mbatizaji."
25Ayo nae jumalom enseguidas gui ray ya jagagao, ilegña: Malagoyo pago na unnaeyo gui un plato ni ilun Juan Bautista.
25Msichana akamrudia mfalme mbio akamwomba, "Nataka unipe sasa hivi katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji."
26Ya y ray ninagostriste; lao pot y juramentoña, yan ayo sija y mangachongña gui lamasa, ti malago japune.
26Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake, na kwa ajili ya wale wageni wake karamuni, hakutaka kumkatalia.
27Ya enseguidas y ray manago uno gui guatdia, jatago na ujanao ya uchinilie ni iluña. Ya mapos, ya jadegüeya gui jalom catset.
27Basi, mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari akaenda, akamkata kichwa Yohane mle gerezani,
28Ya machule guato y iluña gui un plato, ya manae y patgon palaoan, ya y patgon palaoan janae y nanaña.
28akakileta katika sinia, akampa msichana naye msichana akampa mama yake.
29Ya anae majungog ni disipuluña sija, manmato, ya machule y tataotaoña, ya mapolo gui un naftan.
29Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakachukua mwili wake, wakauzika kaburini.
30¶ Ya y apostoles mandaña gui as Jesus, ya masangane güe todo ni chechoñija, yan y finanagüenñija.
30Wale mitume walirudi, wakakusanyika mbele ya Yesu wakamwarifu yote waliyotenda na kufundisha.
31Ya güiya ilegña su sija: Maela jamyo apatte gui un lugat desierto, ya infandescansa didide; sa megae sija manjajanao, yan manmafato, ya manaelugat mañocho.
31Alisema hivyo kwa kuwa kulikuwa na watu wengi mno walikuwa wanafika hapo na kuondoka hata Yesu na wanafunzi wake hawakuweza kupata nafasi ya kula chakula. Basi, Yesu akawaambia, "Twendeni peke yetu mahali pa faragha kula chakula, mkapumzike kidogo."
32Ya manmapos gui un batco gui un lugat desierto apatte.
32Basi, Wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.
33Ya y lumie sija na manjanao megae, ya matungo güe; ya manmalalago para ayo megae manmamomocat gui siuda sija, ya manmato antes qui sija, ya mandaña guiya güiya.
33Lakini watu wengi waliwaona wakienda, wakawatambua. Hivyo wengi wakatoka katika kila mji, wakakimbilia huko Yesu na wanafunzi wake walikokuwa wanakwenda, wakawatangulia kufika.
34Ya anae jumuyong si Jesus jalie y linajyan taotao ya ninamaase nu sija, sa manparejoja yan y quinilo sija ni taya pastotñija; ya jatutujon fumanagüe megae na güinaja.
34Waliposhuka pwani, Yesu aliona umati mkubwa wa watu, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. Akaanza kuwafundisha mambo mengi.
35Ya anae estaba pupuenge, y disipuluña sija manmato guiya güiya, ilegñija: Y lugat desierto este, ya esta pupuenge.
35Saa za mchana zilikwisha pita. Basi, wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwambia, "Hapa ni nyikani, na sasa kunakuchwa.
36Najanao sija para ufanmalag y campo yan y sengsong sija gui oriya, ya ujafanmamajan pan para sija.
36Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula."
37Lao manope, ilegña nu sija: Nae sija mañija. Ya sija ilegñija nu güiya: Infanjanao ya infanmamajan pan pot dosientos na denario, para innae sija nañija?
37Lakini Yesu akawaambia, "Wapeni ninyi chakula." Nao wakamwuliza, "Je, twende kununua mikate kwa fedha dinari mia mbili, na kuwapa chakula?"
38Ya güiya ilegña nu sija: Cuanto na pan guaja jamyo? Janao, ya inlie. Ya anae jatungo sija, ilegñija: Sinco, yan dos na güijan.
38Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame." Walipokwisha tazama, wakamwambia, "Kuna mikate mitano na samaki wawili."
39Ya jatago, sija na ujanafanmatachong todos pot mangachong gui jilo y manbetde na chaguan.
39Basi, Yesu akawaamuru wanafunzi wawaketishe watu wote makundimakundi penye nyasi.
40Ya manmatachong pot mangachong, siento yan siento, yan sincuenta yan sincuenta.
40Nao wakaketi makundimakundi ya watu mia moja na ya watu hamsini.
41Ya jachule y sinco na pan yan y dos na güijan, ya manatan julo gui langet, ya jabendise, ya jaipe y pan sija; ya janae y disipuluña sija para ujaplanta gui sanmenañija; ya y dos na güiyan manmapatte todos.
41Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akaimega mikate, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu. Na wale samaki wawili pia akawagawia wote.
42Ya mañocho todos, ya manjaspog.
42Watu wote wakala, wakashiba.
43Ya jajatsa y pedaso sija dose na canastra manbula; yan pedaso y güijan sija locue.
43Wakaokota mabaki ya mikate na samaki pia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
44Ya ayo sija y mañocho ni pan, sinco mit na lalaje sija.
44Nao waliokula hiyo mikate walikuwa wanaume elfu tano.
45¶ Ya enseguidas jaapura y disipuluña sija na ufangajulo gui batco, ya ufanjanao gui menaña gui otro banda guiya Betsaida, mientras janajanao y linajyan taotao.
45Mara Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie kwenda Bethsaida, ng'ambo ya ziwa, wakati yeye anauaga umati wa watu.
46Ya despues, anae munjayan janajanao sija, mapos malag y egso para ufanaetae.
46Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.
47Ya anae esta pupuenge, y batco estaba gui talo gui tase, ya güiyaja namaesa gui tano.
47Ilipokuwa jioni, mashua ilikuwa katikati ya ziwa, naye alikuwa peke yake katika nchi kavu.
48Ya jalie sija na manmachochocho mapot manmamómogsae, sa y manglo contrario para sija; ya jijot gui mina cuatro na guatdia gui puenge, mato güe guiya sija, mamómocat gui jilo tase; ya malago na ufalofan gui oriyañija.
48Basi, akawaona wanafunzi wake wakitaabika kwa kupiga makasia, maana upepo ulikuwa unawapinga. Karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea akitembea juu ya maji. Alitaka kuwapita.
49Ya anae malie nu sija, na mamómocat gui jilo tase, jinasoñija na pantasma, ya managang;
49Lakini walimwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu, wakapiga yowe.
50Sa todos lumie güe, ya ninafañatsaga. Lao enseguidas jacuentuse sija, ya ilegña nu sija: Angoco jamyo, guajoyo; chamiyo fanmaaañao.
50Maana wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, "Tulieni, ni mimi. Msiogope!"
51Ya cajulo guiya sija gui batco, ya y manglo mapos: ya sija ninafangosmanman;
51Kisha akapanda mashuani walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana.
52Sa sija ti jatungo y milagron y pan sija; sa y corasonñija estaba mangosmajetog.
52maana hawakuwa bado wameelewa maana ya ile mikate. Akili zao zilikuwa bado zimepumbazika.
53¶ Ya anae manmalofan para y otro banda, manmato gui tano Genesaret, ya manmalag y puetto.
53Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti, wakatia nanga.
54Ya anae manjuyong sija gui batco, enseguidas matungo güe.
54Walipotoka mashuani, mara watu wakamtambua Yesu.
55Ya manmalago gui oriyan todo ayo na tano, ya matutujon mañule gui todo y patte, manmalango sija gui cama, mano nae majungog na estaba güije.
55Basi, kwa haraka wakazunguka katika nchi ile yote, wakaanza kuwachukua wagonjwa wamelala juu ya mikeka yao, wakawapeleka kila mahali waliposikia Yesu yupo.
56Ya manuja nae jumalom, songsong, pat suida, pat fangualuan, mapolo papa y malango sija gui chalan, y matayuyut güe na upacha y canton y magaguña, ya todo ayo sija y japacha, manjomlo.
56Kila mahali Yesu alipokwenda, vijijini, mijini, au mashambani, watu waliwaweka wagonjwa uwanjani, wakamsihi waguse walau pindo la vazi lake. Nao wote waliomgusa walipona.