1AYO sija na jaane, anae guaja talo un dangculon linajyan taotao ya taya jafa nañija, si Jesus jaagang y disipuluña sija, ya ilegña nu sija:
1Wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. Basi, Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia,
2Maase yo ni linajyan taotao sa esta tres jaane na manjame; ya taya jafa nañija.
2"Nawahurumia watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula.
3Yaguin junafanjanao sin mañocho para iyasija, ufanlalango gui chalan; sa palo guiya sija manmato guine y chago.
3Nikiwaacha waende nyumbani wakiwa na njaa watazimia njiani, maana baadhi yao wametoka mbali."
4Ya y disipuluña sija, maope güe: Guine mano nae siña manafanjaspog este taotao sija pan, güine gui desierto?
4Wanafunzi wake wakamwuliza, "Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?"
5Guiya jafaesen sija: Cuanto na pan guaja jamyo? Ylegñija, siete.
5Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi?" Nao wakamjibu, "Saba."
6Ayo nae jatago y linajyan taotao na ufanason gui jilo oda; ya jachule y siete na pan, ya janae Yuus maase ya jaipe, ya janae y disipuluña sija para ujaplanta gui menanñija; ya sija japlanta gui menan y linajyan taotao.
6Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.
7Yan guaja locue palo mandiquique na güijan sija; ya anae jabendise, jatago na ujaplanta locue gui menanñija.
7Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.
8Pues mañocho, ya manjaspog; ya majatsa y pidaso sija ni sebbla, siete canastra.
8Watu wakala, wakashiba. Wakaokota mabaki yaliyosalia wakajaza makapu saba.
9Ya y mañocho sija, buente cuatro mit; ya jadespide.
9Nao waliokula walikuwa watu wapatao elfu nne. Yesu akawaaga,
10Ya enseguidas jumalom gui batco yan y disipuluña sija, ya manmato gui oriyan Dalmanuta.
10na mara akapanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha.
11¶ Ya manmato y Fariseo sija, ya matutujon manafaesen yan güiya, manmanaliligao guiya güiya un señat guine y langet, matietienta güe.
11Mafarisayo walikuja, wakaanza kujadiliana na Yesu. Kwa kumjaribu, wakamtaka awafanyie ishara kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni.
12Ya sumospiros gostadong gui espirituña, ya ilegña: Jafa na mangagagao señat este na generasion? Magajet jusangane jamyo, na ti umanae señat este na generasion.
12Yesu akahuzunika rohoni, akasema, "Mbona kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote!"
13Ya jadingo sija, ya jumalom talo gui batco, ya mapos para y otro banda.
13Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.
14¶ Ya manmalefa ti manmañule pan, ya taya na unoja na pan gui batco.
14Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.
15Ya jaencatga sija, ilegña: Atan, adaje jamyo ni lebaduran y Fariseo sija, yan y lebaduran Herodes.
15Yesu akawaonya, "Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode."
16Ya manafaesen gui entalo sija, ilegña: Pot y taya panta.
16Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, "Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate."
17Ya anae jatungo si Jesus ilegña nu sija: Jafa manafaesen gui entalomiyo pot y taya panmiyo? Ti injaso ni ti intingo? Majejetogja trabia y corasonmiyo?
17Yesu alitambua hayo, akawaambia, "Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?
18Guaja atadogmiyo, lao ti manmanlilie jamyo? Guaja talanganmiyo, ya ti manmanjujungogja jamyo? Ya ti injajasoja?
18Je, Mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki
19Anae juipe y sinco na pan sija entalo y sinco mit, cuanto na canastra injatsa bula ni pidaso sija ni sebbla? Ylegñija: Dose.
19wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? Mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?" Wakamjibu, "Kumi na viwili."
20Ya anae y siete na pan sija entalo y cuatro mit, cuanto na canastra injatsa bula ni pidaso sija ni sebbla? Ylegñija: Siete.
20"Na nilipoimega ile mikate saba na kuwapa watu elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?" Wakamjibu, "Saba."
21Güiya ilegña nu sija: Ti intingo asta pago?
21Basi, akawaambia, "Na bado hamjaelewa?"
22¶ Ya mato guiya Betsaida; ya maconie güe guato un bachet, ya matayuyut güe na upacha güe.
22Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse.
23Ayo nae jamantiene y canae y bachet, ya jacone asta y jiyong y siuda; ya anae jatolae y atadogña, japolo y canaeña gui jiloña, ya jafaesen: Unlie jafa?
23Yesu akamshika mkono huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea mikono, akamwuliza, "Je, unaweza kuona kitu?"
24Ya güiya manatan ya, ilegña: Julie taotao sija; lao julie sija calang trongconjayo na manmamómocat.
24Huyo kipofu akatazama, akasema, "Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea."
25Entonses japolo ya canaeña talo gui atadogña ya jaguefatan; ya jomlo, ya manlie claro todo.
25Kisha Yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa.
26Ya jatago para iyasija, ilegña: Chamo jumajalom gui sengsong (ni usangane jaye gui siuda).
26Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, "Usirudi kijijini!"
27¶ Ya mapos si Jesus yan y disipuluña sija gui sensong sija y Cesarean Felipe: ya y chalan jafaesen y disipuluña sija, ilegña nu sija: Jaye ilegñija y taotao sija nu guajo?
27Kisha Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu aliwauliza wanafunzi wake, "Watu wanasema mimi ni nani?"
28Ya sija masangane güe, ilegñija: Si Juan Bautista; y palo ilegñija: Si Elias; y palo ilegñija: Uno gui profeta sija.
28Wakamjibu, "Wengine wanasema wewe ni Yohane Mbatizaji, wengine Eliya na wengine mmojawapo wa manabii."
29Ayo nae jafaesen sija: Ya jamyo, jaye ilegmiyo nu guajo? Inepe as Pedro ilegña: Jago si Cristo jao.
29Naye akawauliza, "Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?" Petro akamjibu, "Wewe ndiwe Kristo."
30Ya jaencatga sija na chañija sumangangane ni jaye pot güiya.
30Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
31Ya jatutujon fumanagüe sija na y Lajin taotao janesesita upadese megae, ya umarechasa ni manamco sija, yan y prinsipen y mamale sija, yan y escriba sija, ya umapuno; ya ucajulo talo gui mina tres na jaane.
31Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: "Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka."
32Ya claroja nae jasangan este na sinangan. Ayo nae si Pedro quinene güe, ya tinitujon güe rineprende.
32Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Basi, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
33Lao anae jabira güe, ya jaatan y disipuluña sija, jalalatde si Pedro ilegña: Suja guiya guajo, Satanas; sa ti unadadaje y güinaja sija ni para si Yuus, na y güinajan taotao sija.
33Lakini Yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro akisema, "Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!"
34Ya jaagang y linajyan taotao yan y disipuluña sija, ya ilegña nu sija; Jaye y malago tumatiye yo, upune maesa güe, ya uchule y quiluusña ya udalalagyo.
34Kisha akauita umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, "Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
35Sa y malago sumatba y linâlâña, ufinalingaeguan; lao y finalingaeguan ni linâlâña pot guajo, yan y ibangelio, este usatba y linâlâña.
35Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.
36Sa, jafa uaprobecha y taotao, yaguin jagana todo y tano, ya finalingaeguan ni linâlâña?
36Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?
37Pat jafa na apas ufannae y taotao pot y linâlâña?
37Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake?
38Sa y mamajlao nu guajo yan y sinaganjo, gui sanmenan este y generasion ábale yan gaeisao, unimamajlaogüe locue ni Lajin taotao y tiempo nae mato gui minalag y Tataña, yan y mañantos na angjetña sija.
38Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali Mungu anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu."