Chamorro: Psalms, Gospels, Acts

Swahili: New Testament

Matthew

8

1YA anae tumunog güe guinin y sabana, madalalag güe dangculo na linajyan taotao.
1Yesu aliposhuka kutoka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.
2Ya estagüe na mato un ategtog ya tinayuyut güe ilegña: Señot, yaguin malagojao, siña unnagasgas yo.
2Basi, akaja mtu mmoja mwenye ukoma, akamsujudia akisema, "Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa!"
3Ya jaestira y canaeña ya japacha ya ilegña: malagoyo, gasgasjao! Ya enseguidas y ategtog gasgas.
3Yesu akanyosha mkono wake, akamgusa na kusema, "Nataka! Takasika." Mara huyo mtu akapona ukoma wake.
4Ayo nae ilegña si Jesus: Adaje ya chamo fañangangane ni jaye; lao falag y pale ya unfanue nu jago, ya unchule y ninae ni manago si Moises para testimonioñija.
4Kisha Yesu akamwambia, "Sikiliza, usimwambie mtu yeyote, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na ukatoe sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia kwamba umepona."
5¶ Ya anae jumalom si Jesus guiya Capernaum, mato guiya güiya un senturion guinagao güe,
5Yesu alipokuwa anaingia mjini Kafarnaumu, ofisa mmoja Mroma alimwendea, akamsihi
6Ya ilegña: Señot, y tentagojo gaegue guiyajame na umaason sa malango paralitico, ya gogosninachatsaga sa adit.
6akisema, "Mheshimiwa, mtumishi wangu amelala nyumbani, mgonjwa wa kupooza na anaumwa sana."
7Ya ilegña nui guiya: Bae jufato ya junajomlo.
7Yesu akamwambia, "Nitakuja kumponya."
8Lao senturion manope ya ilegña: Señot, ti siña na guajojao junafato gui papa atufjo, lao sanganja un palabra ya ujomlo y tentagojo.
8Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, sistahili uingie nyumbani mwangu. Lakini sema tu neno, na mtumishi wangu atapona.
9Sa guajo locue un taotao gui papa ninasiña, ya guaja sendalojo gui papa ninasiñajo; ya yaguin ilegco nu este na taotao: Janao, ya jumanao; yan ilegco ni otro: Maela, ya mamaela, yan ilegco ni tentagojo: Chogüe este, ya jachogüe.
9Maana, hata mimi niliye mtu chini ya mamlaka ya wengine, ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda! naye huenda; na mwingine, Njoo! naye huja; na mtumishi wangu, Fanya kitu hiki! naye hufanya."
10Ya anae jajungog si Jesus, ninamanman, ya ilegña nu y dumadalalag güe: Magajet jusangane jamyo, na tayayo nae mañoda ni este na dangculon jinenggue guiya Israel!
10Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia watu waliokuwa wanamfuata, "Kweli nawaambieni, sijapata kumwona mtu yeyote katika Israeli aliye na imani kama hii.
11Ya guajo sumangane jamyo, na ufanmato megae guine y sancatan, yan guine y sanlichan; ya ufanmatachong yan si Abraham yan si Ysaac yan si Jacob gui raenon langet;
11Basi, nawaambieni kwamba watu wengi watakuja kutoka mashariki na magharibi, nao wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo katika Ufalme wa mbinguni.
12Lao y famaguon y raeno ufanmayute gui sumanjiyong gui jemjom; ya ayo nae uguaja cumasao yan checheg nifen.
12Lakini wale ambao wangalipaswa kuwa katika Ufalme huo watatupwa nje, gizani, ambako watalia na kusaga meno."
13Entonses si Jesus ilegña nu y senturion: Janao, parejoja y unjonggue, umafatinas guiya jago; ya y tentagoña jumonlo güije na ora.
13Kisha Yesu akamwambia huyo ofisa Mroma, "Nenda nyumbani; na iwe kama ulivyoamini." Na mtumishi wake akapona saa ileile.
14¶ Ya anae mato si Jesus gui guiman Pedro, jalie y suegran Pedro na umaason gui cama, sa guaja calenturaña.
14Yesu alifika nyumbani kwa Petro, akamkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, ana homa kali.
15Ya japacha canaeña; ya pinelo ni calentura: ya cajulo ya jasetbe sija.
15Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.
16Ya anae esta pupuenge, maconie güe megae na maninanite, ya janajanao guiya sija todo y anite pot y sinanganña, yan janafanjomlo todo y manmalango.
16Ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. Aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.
17Para umacumple y esta masangan pot y profeta Isaias, na ilegña: Güiya chumule y chetnotta yan cumacatga y pinitita.
17Alifanya hivyo ili yale aliyosema nabii Isaya yatimie: "Yeye mwenyewe ameondoa udhaifu wetu, ameyachukua magonjwa yetu."
18¶ Ya anae jalie si Jesus y linajyan taotao gui oriyaña, manago na ufanmalag y otro banda y sadog.
18Yesu alipoona kundi la watu limemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake waende ng'ambo ya ziwa.
19Ya mato un escriba ya ilegña nu güiya: Maestro, judalalag jao mano y malagomo guato.
19Mwalimu mmoja wa Sheria akamwendea, akamwambia, "Mwalimu, mimi nitakufuata kokote uendako."
20Ya si Jesus ilegña nu güiya: Y sora sija guaja liyangñija, ya y pajaro gui langet guaja chenchonñija: lao y Lajin taotao taya mano nae unaason y iluña.
20Yesu akamjibu, "Mbweha wana mapango, na ndege wana viota; lakini Mwana wa Mtu hana mahali pa kupumzikia."
21Ya otro uno gui disipuluña ilegña nu güiya: Señot, nae yo lisensia ya jujanao finena ya jujafot y tatajo.
21Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, "Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu."
22Ya si Jesus ilegña nu güiya: Dalalag yo; ya polo ya y manmatae ufanjinafot ni y mangaematae.
22Lakini Yesu akamwambia, "Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao."
23¶ Ya anae jumalom gui un sajyan, y disipuluña sija madalalag güe.
23Yesu alipanda mashua, na wanafunzi wake wakaenda pamoja naye.
24Ya dangculo na pagyo mato gui tase ya y sajyan tinatampe nu y napo sija; ya güiya mamaegoja.
24Ghafla, dhoruba kali ikatokea ziwani, hata mawimbi yakaanza kuifunika mashua. Yesu alikuwa amelala usingizi.
25Ya manmato guiya güiya y disipuluña ya mayajogüe ilegñija: Señot, nafanlibrejam sa manmalingojam!
25Wanafunzi wakamwendea, wakamwamsha wakisema, "Bwana, tuokoe, tunaangamia!"
26Güiya ilegña nu sija: Jafa na manmaañao jamyo, taotao na didide jinengguenmiyo? Ayo nae cajulo ya jachoma y manglo yan y tase, ya dangculo na minalinao guaja.
26Yesu akawaambia, "Enyi watu wenye imani haba; mbona mnaogopa?" Basi, akainuka, akazikemea pepo na mawimbi; kukawa shwari kabisa.
27Ya y taotao sija manmanman, ya ilegñija; jafa este na taotao na y manglo yan y tase maoosgueja güe?
27Watu wakashangaa, wakasema, "Ni mtu wa namna gani huyu? Hata pepo na mawimbi vinamtii!"
28¶ Ya anae mato gui otro banda gui tano y taotao Gadara sija, umasoda yan dos na gaemanganite na manguine y naftan, yan mangosnamaañao y jechurañija; ya taya siña malofan güije na chalan.
28Yesu alifika katika nchi ya Wagerasi, ng'ambo ya ziwa, na huko watu wawili waliopagawa na pepo wakakutana naye wakitokea makaburini. Watu hawa walikuwa wenye kutisha mno, hata hakuna mtu aliyethubutu kupita katika njia hiyo.
29Ya estagüe, na manaagang ilegñija: Para jafajam nu jago Lajin Yuus? Matojao güine para usapetjam antes di y tiempo?
29Nao wakaanza kupiga kelele, "Una shauri gani nasi, wewe Mwana wa Mungu? Je, umekuja kututesa kabla ya wakati wake?"
30Ya chago guiya sija estaba un manada na gosmegae na babue mañochocho.
30Karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.
31Y anite sija matayuyutgüe ilegñija: Yaguin unyutejam juyong, najanaojam na fanmalag ayo y babue sija.
31Basi, hao pepo wakamsihi, "Ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale."
32Ya ilegña nu sija: Janao. Ya sija manjuyong ya, manmalag gui jalom y manadan babue; ya, estagüe, todo y babue manmalago papa gui un didog na lugat, asta y jalom tase, ya manmatae gui janom tase.
32Yesu akawaambia, "Haya, nendeni." Hapo wakawatoka watu hao, wakawaingia nguruwe. Kundi lote la nguruwe likaporomoka kwenye ule mteremko mkali, likatumbukia ziwani; nguruwe wote wakafa maji.
33Y munafañochocho y babue manmalago ya manmalag y siuda, ya jasangan todo y guaja, ya jafa susede yan y mangaemanganite.
33Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakaenda mjini. Huko walitoa habari zote na mambo yaliyowapata wale watu waliokuwa wamepagawa.
34Ya, estagüe, todo y siuda manjanao para ufanasoda yan si Jesus, ya anae maliigüe, matayuyutgüe na ujanao gui tanoñija.
34Basi, watu wote katika mji ule walitoka, wakamwendea Yesu; na walipomwona, wakamsihi aondoke katika nchi yao.