Croatian

Swahili: New Testament

1 Thessalonians

5

1A o vremenima i trenucima nije, braćo, potrebno pisati vam.
1Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira yatakapotukia mambo haya.
2Ta i sami dobro znate da Dan Gospodnji dolazi baš kao kradljivac u noći.
2Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.
3Dok još budu govorili: "Mir i sigurnost", zadesit će ih iznenadna propast kao trudovi trudnicu i neće umaći.
3Watu watakapokuwa wanasema: "Kila kitu ni shwari na salama" ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.
4Ali vi, braćo, niste u tami, da bi vas Dan mogao zaskočiti kao kradljivac:
4Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi.
5ta svi ste vi sinovi svjetlosti i sinovi dana. Nismo doista od noći ni od tame.
5Ninyi nyote ni watu mnaoishi katika mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza.
6Onda i ne spavajmo kao ostali, nego bdijmo i trijezni budimo.
6Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
7Jer koji spavaju, noću spavaju; i koji se opijaju, noću se opijaju.
7Wanaolala hulala usiku, na walevi hulewa usiku.
8A mi koji smo od dana, budimo trijezni, obucimo oklop vjere i ljubavi i stavimo kacigu, nadu spasenja!
8Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma.
9Ta Bog nas nije odredio za gnjev, nego da imamo spasenje po Gospodinu našem Isusu Kristu,
9Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
10koji je za nas umro da - bdjeli ili spavali - zajedno s njime živimo.
10ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa.
11Zato, tješite se uzajamno i izgrađujte jedan drugoga, kako i činite.
11Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa.
12Molimo vas, braćo: priznajte one koji se trude među vama, koji su vam predstojnici u Gospodinu i opominju vas;
12Ndugu, tunawaombeni muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza na kuwafundisheni kuhusu maisha ya Kikristo.
13s ljubavlju ih nadasve cijenite poradi njihova djela! Gajite mir među sobom!
13Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.
14Potičemo vas, braćo: opominjite neuredne, sokolite malodušne, podržavajte slabe, budite velikodušni prema svima!
14Ndugu, tunawahimizeni muwaonye watu walio wavivu, muwatie moyo watu wanyonge, muwasaidie watu dhaifu, muwe na subira kwa wote.
15Pazite da tko komu zlo zlom ne uzvrati, nego uvijek promičite dobro jedni prema drugima i prema svima.
15Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, ila nia yenu iwe kutendeana mema daima na kuwatendea mema watu wote.
16Uvijek se radujte!
16Furahini daima,
17Bez prestanka se molite!
17salini kila wakati
18U svemu zahvaljujte! Jer to je za vas volja Božja u Kristu Isusu.
18na muwe na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.
19Duha ne trnite,
19Msimpinge Roho Mtakatifu;
20proroštava ne prezirite!
20msidharau unabii.
21Sve provjeravajte: dobro zadržite,
21Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho chema,
22svake se sjene zla klonite!
22na epukeni kila aina ya uovu.
23A sam Bog mira neka vas posvema posveti i cijelo vaše biće - duh vaš i duša i tijelo - neka se besprijekornim, savršenim sačuva za Dolazak Gospodina našega Isusa Krista.
23Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu--roho, mioyo na miili yenu--mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
24Vjeran je Onaj tko vas poziva: on će to i učiniti.
24Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
25Braćo, molite i za nas!
25Ndugu, tuombeeni na sisi pia.
26Pozdravite svu braću cjelovom svetim.
26Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo.
27Zaklinjem vas u Gospodinu: neka se ova poslanica pročita svoj braći.
27Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii.
28Milost Gospodina našega Isusa Krista s vama!
28Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.