Croatian

Swahili: New Testament

2 Corinthians

7

1Dakle, budući da imamo ta obećanja, očistimo se, ljubljeni, od svake ljage tijela i duha te dovršimo posvećenje u strahu Božjemu.
1Basi, wapenzi wangu, tukiwa tumepewa ahadi hizi zote, na tujitakase na chochote kiwezacho kuchafua miili na roho zetu, tuwe watakatifu kabisa, na tuishi kwa kumcha Mungu.
2Shvatite nas! Nikomu nismo nanijeli nepravde, nikoga nismo upropastili, nikoga zakinuli.
2Tunaomba mtupe nafasi mioyoni mwenu! Hatujamkosea mtu yeyote, hatujamdhuru wala kumdanganya mtu yeyote.
3Ne govorim da osudim. Ta rekoh već: u srcima ste našim te umiremo i živimo zajedno.
3Sisemi mambo haya kwa ajili ya kumhukumu mtu; maana, kama nilivyokwisha sema, ninyi mko mioyoni mwetu, tufe pamoja, tuishi pamoja.
4Veliko je moje pouzdanje u vas, uvelike se vama ponosim. Pun sam utjehe, obilujem radošću uza svu nevolju našu.
4Nina imani kubwa sana ninaposema nanyi; naona fahari kubwa juu yenu! Katika taabu zetu nimepata kitulizo kikubwa na kufurahi mno.
5Doista, i kada dođosmo u Makedoniju, nikakva spokoja nije imalo tijelo naše, nego nevolje odasvud: izvana borbe, iznutra strepnje.
5Hata baada ya kufika Makedonia hatukuweza kupumzika. Kila upande tulikabiliwa na taabu: nje ugomvi; ndani hofu.
6Ali Bog, tješitelj poniznih, utješi nas dolaskom Titovim.
6Lakini Mungu, mwenye kuwapa shime wanyonge alitupa moyo sisi pia kwa kuja kwake Tito.
7Ne samo dolaskom njegovim, nego i utjehom kojom se utješi zbog vas: obavijesti nas o vašoj čežnji, vašem jadikovanju, vašoj žarkoj ljubavi prema meni tako da se još većma obradovah.
7Si tu kwa kule kuja kwake Tito, bali pia kwa sababu ya moyo mliompa ninyi. Yeye ametuarifu jinsi mnavyotamani kuniona, jinsi mlivyo na huzuni, na mnavyotaka kunitetea. Jambo hili linanifurahisha sana.
8Doista, ako sam vas i ožalostio onom poslanicom, nije mi žao; ako mi i bijaše žao - vidim uistinu da vas je ta poslanica makar i načas ožalostila -
8Maana, hata kama kwa barua ile yangu nimewahuzunisha, sioni sababu ya kujuta. Naam, naona kwamba barua hiyo iliwatia huzuni lakini kwa muda.
9sad se radujem, ne što ste se ožalostili, nego što ste se ožalostili na obraćenje. Jer ožalostili ste se po Božju te zbog nas ni u čemu niste štetovali.
9Sasa nafurahi, si kwa sababu mmehuzunika, ila kwa kuwa huzuni yenu imewafanya mbadili nia zenu na kutubu. Mmehuzunishwa kadiri ya mpango wa Mungu, na kwa sababu hiyo hatukuwadhuru ninyi kwa vyovyote.
10Jer žalost po Božju rađa neopozivo spasonosnim obraćenjem, a žalost svjetovna rađa smrću.
10Kuwa na huzuni jinsi atakavyo Mungu, husababisha badiliko la moyo, badiliko lenye kuleta wokovu; hivyo hakuna sababu ya kujuta. Lakini huzuni ya kidunia huleta kifo.
11Gle, doista baš to što ste se po Božju ožalostili, kolikom gorljivošću urodi među vama, pa opravdavanjem, pa ogorčenjem, pa strahom, pa čežnjom, pa revnošću, pa kažnjavanjem. Svime ste time pokazali da ste u onome nedužni.
11Sasa mnaweza kuona matokeo ya kuona huzuni jinsi Mungu atakavyo: ninyi mmepata kuwa sasa watu wenye jitihada, wenye hoja, mnashtuka na kuogopa, mna bidii na mko tayari kuona kwamba haki yatekelezwa. Ninyi mmethibitisha kwa kila njia kwamba hamna hatia kuhusu jambo hili.
12Ako sam vam dakle pisao, nisam to zbog uvreditelja ni zbog uvrijeđenoga, nego zbog toga da vam se očituje vaša gorljivost za nas pred Bogom.
12Hivyo, ingawa niliandika ile barua, haikuwa kwa ajili ya yule aliyekosa, au kwa ajili ya yule aliyekosewa. Niliandika kusudi ionekane wazi mbele ya Mungu jinsi mlivyo na bidii kwa ajili yetu.
13To nas je utješilo. A povrh te naše utjehe još se mnogo više obradovasmo zbog radosti Titove jer svi vi okrijepiste duh njegov.
13Ndiyo maana sisi tulifarijika sana. Siyo kwamba tulifarijika tu, ila pia Tito alitufurahisha kwa furaha aliyokuwa nayo kutokana na jinsi mlivyomchangamsha moyo.
14Doista, ako sam mu se što vama pohvalio, ne postidjeh se, nego kao što smo po istini vama govorili, tako je istina bila i pohvala naša pred Titom.
14Mimi nimewasifu sana mbele yake, na katika jambo hilo sikudanganyika. Tumewaambieni ukweli daima, na kule kuwasifia ninyi mbele ya Tito kumekuwa jambo la ukweli mtupu.
15I njegovo je srce prema vama još nježnije kad se sjeti poslušnosti svih vas, kako ga sa strahom i trepetom primiste.
15Hivyo upendo wake wa moyo kwenu unaongezeka zaidi akikumbuka jinsi ninyi nyote mlivyo tayari kutii, na jinsi mlivyomkaribisha kwa hofu nyingi na kutetemeka.
16Radujem se što se u svemu mogu pouzdati u vas.
16Nafurahi sana kwamba naweza kuwategemea ninyi kabisa katika kila jambo.