1A što se tiče Dolaska Gospodina našega Isusa Krista i našeg okupljanja oko njega, molimo vas, braćo:
1Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana
2ne dajte se brzo pokolebati u svom shvaćanju niti uznemiriti ni nekim duhom, ni nekom riječju, ni nekim tobože našim pismom, kao da će sad-na Dan Gospodnji.
2msifadhaike upesi moyoni, na wala msitiwe wasiwasi kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu.
3Neka vas nitko ne zavede ni na koji način. Jer ako prije ne dođe onaj otpad i ne otkrije se Čovjek bezakonja, Sin propasti,
3Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu utokee na yule Mwovu aonekane ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.
4Protivnik, onaj koji uzdiže sebe protiv svega što se zove Bog ili svetinja, dotle da i u Božji hram zasjedne gradeći se Bogom...
4Yeye atapinga kila kitu wanachokiona watu kuwa ni mungu, au wanachokiabudu. Naam, hata ataingia na kuketi ndani ya Hekalu la Mungu akijidai kuwa Mungu.
5Ne sjećate li se, to sam vam govorio dok sam još bio među vama?
5Je, hamkumbuki kwamba niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja nanyi?
6I sada znate što ga zadržava da bi se pojavio tek u svoje vrijeme.
6Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao.
7Doista, otajstvo bezakonja već je na djelu, samo ima tko da ga sada zadržava dok ne bude uklonjen.
7Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe.
8Tada će se otkriti Bezakonik. Njega će Gospodin Isus pogubiti dahom usta i uništiti pojavkom Dolaska svoga -
8Hapo ndipo Mwovu atakapotokea; lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa mng'ao wa kuja kwake.
9njega koji djelovanjem Sotoninim dolazi sa svom silom, lažnim znamenjima i čudesima
9Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,
10i sa svim nepravednim zavaravanjem onih koji propadaju poradi toga što ne prihvatiše ljubavi prema istini da bi se spasili.
10na kutumia udanganyifu wa kila namna kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea. Hao watapotea kwa sababu hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.
11I zato im Bog šalje djelovanje zavodničko da povjeruju laži
11Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.
12te budu osuđeni svi koji nisu povjerovali istini, nego su se odlučili za nepravednost.
12Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, ila wafurahia dhambi, watahukumiwa.
13Mi pak moramo uvijek zahvaljivati Bogu za vas, braćo od Gospodina ljubljena, što vas je od početka odabrao za spasenje, posvećenjem u Duhu i vjerom u istinu.
13Tunapaswa kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu amewateua tangu mwanzo mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu kwa imani yenu katika ukweli.
14Da, na to vas pozva po našem evanđelju - na posjedovanje slave Gospodina našega Isusa Krista.
14Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni; aliwaiteni mpate kupokea sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
15Stoga braćo, čvrsto stojte i držite se predaja u kojima ste poučeni bilo našom riječju, bilo pismom.
15Basi, ndugu, simameni imara na zingatieni yale mafundisho tuliyowafundisheni kwa mahubiri yetu na barua zetu.
16A sam Gospodin naš Isus Krist i Bog, Otac naš, koji nas uzljubi i koji nam po milosti dade trajno ohrabrenje i dobru nadu,
16Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema,
17neka ohrabri vaša srca i neka ih učvrsti u svakom dobru djelu i riječi!
17aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.