1Jeigu aš kalbu žmonių ir angelų kalbomis, bet neturiu meilės, esu kaip skambantis varis ar žvangantys cimbolai.
1Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele.
2Ir jei turiu pranašavimo dovaną ir suprantu visas paslaptis, ir turiu visą pažinimą; jei turiu visą tikėjimą, kad galiu kalnus perkelti, tačiau neturiu meilės, esu niekas.
2Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu.
3Ir jei išdalinu vargšams pamaitinti visa, ką turiu, ir jeigu atiduodu savo kūną sudeginti, bet neturiu meilės,man nėra iš to jokios naudos.
3Nikitoa mali yangu yote na kuwapa maskini, na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe, kama sina upendo hiyo hainifai chochote.
4Meilė kantri ir maloni, meilė nepavydi; meilė nesigiria ir neišpuiksta.
4Mwenye upendo huvumilia, hufadhili; mwenye upendo hana wivu, hajidai, wala hajivuni.
5Ji nesielgia nepadoriai, neieško savo naudos, nepasiduoda piktumui, nemąsto piktai,
5Mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
6nesidžiaugia neteisybe, džiaugiasi tiesa;
6hafurahii uovu, bali hufurahia ukweli.
7visa pakenčia, visa tiki, viskuo viliasi ir visa ištveria.
7Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.
8Meilė niekada nesibaigia. Baigsis pranašystės, paliaus kalbos, išnyks pažinimas,
8Upendo hauna kikomo kamwe. Kama kuna vipaji vya kutangaza ujumbe wa Mungu, hivyo vitatoweka siku moja; kama ni vipaji vya kusema lugha ngeni, vitakoma; kama kuna elimu, nayo itapita.
9nes mes žinome iš dalies ir mes pranašaujame iš dalies.
9Maana ujuzi wetu si kamili, na kipaji chetu cha kutangaza neno la Mungu si kamili.
10Bet kai ateis tobulumas, tai, kas iš dalies, pasibaigs.
10Lakini kile kilicho kikamilifu kitakapofika, vyote visivyo vikamilifu vitatoweka.
11Kai buvau vaikas, kalbėjau kaip vaikas, supratau kaip vaikas, mąsčiau kaip vaikas, bet tapęs vyru, palikau tai, kas vaikiška.
11Nilipokuwa mtoto mchanga nilisema kitoto, nilifahamu kitoto, nilifikiri kitoto. Lakini sasa, maadam mimi ni mtu mzima, mambo ya kitoto nimeyaacha.
12Dabar mes matome kaip per stiklą, miglotai, bet tadaveidas į veidą. Dabar žinau iš dalies, bet tada pažinsiu, kaip ir pats esu pažintas.
12Tunachoona sasa ni kama tu sura hafifu katika kioo, lakini hapo baadaye tutaona uso kwa uso. Sasa ninajua kiasi fulani tu, lakini hapo baadaye nitajua yote kikamilifu, kama vile Mungu anavyonijua mimi.
13Taigi dabar pasilieka tikėjimas, viltis ir meilėšis trejetas, bet didžiausia iš jų yra meilė.
13Sasa yanadumu haya matatu: imani, tumaini na upendo; lakini lililo kuu kupita yote ni upendo.