Lithuanian

Swahili: New Testament

1 Corinthians

5

1Tenka girdėti apie ištvirkimą tarp jūsų ir net apie tokį ištvirkimą, kokio nesigirdi net pas pagonis: būtent kažkas gyvena su savo tėvo žmona!
1Ziko habari za kuaminika kwamba kuna uzinzi miongoni mwenu; tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu. Nimeambiwa eti mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake!
2Ir jūs dar esate pasipūtę! Užuot nuliūdę ir tai padariusį išmetę ir savo tarpo?!
2Mnawezaje kujivuna? Ingekuwa afadhali kwenu kuomboleza, na huyo aliyefanya kitu hicho aondolewe miongoni mwenu.
3Aš, nebūdamas pas jus kūnu, tačiau būdamas dvasia, jau nuteisiau tą nusikaltimą padariusį, lyg būdamas tarp jūsų.
3Nami, kwa upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: na hivyo, kama vile nipo hapo, nimekwisha mhukumu huyo aliyefanya jambo hilo la aibu.
4Jums susirinkus mūsų Viešpaties Jėzaus Kristaus vardu, dalyvaujant mano dvasiai, mūsų Viešpaties Jėzaus Kristaus jėga
4Wakati mnapokusanyika pamoja kwa jina la Bwana Yesu, nami nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu,
5atiduokite tokį šėtonui, kad sužlugdytų kūną, o dvasia būtų išgelbėta Viešpaties Jėzaus dieną.
5mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana.
6Jūsų gyrimasis niekam tikęs. Argi nežinote, jog truputis raugo suraugina visą maišymą?
6Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?
7Todėl išmeskite senąjį raugą, kad taptumėte nauju maišymu. Jūs juk esate nerauginti, nes jau paskerstas mūsų Paschos Avinėlis, Kristus.
7Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.
8Tad švęskime šventes ne su senu raugu, ne su blogybės ir nusikaltimo raugu, bet su nerauginta tyrumo ir tiesos duona.
8Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale, chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na kweli.
9Jums rašiau savo laiške, kad nebendrautumėte su ištvirkėliais.
9Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.
10Suprantama, ne su visais šio pasaulio ištvirkėliais, gobšais, plėšikais ar stabmeldžiais, nes tada reikėtų pasitraukti iš šio pasaulio.
10Ukweli ni kwamba sikuwa na maana ya watu wote duniani walio wazinzi, wachoyo, walaghai na wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa!
11Bet jums rašiau, kad nebendrautumėte su tuo, kuris vadinasi brolis, o yra ištvirkėlis, gobšas, stabmeldys, keikūnas, girtuoklis ar plėšikas. Su tokiu net nevalgykite kartu.
11Nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.
12Kam man teisti svetimus? Argi ir jūs ne savuosius teisiate?
12Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu ninyi wenyewe?
13Tuos, kurie ne mūsiškiai, Dievas teis. Todėl “pašalinkite piktadarį iš savo pačių tarpo”.
13Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!