1Kaip kai kurie iš jūsų, turėdami ginčų, drįsta bylinėtis vieni su kitais pas neteisiuosius, o ne pas šventuosius?
1Anathubutuje mmoja wenu kumshtaki ndugu muumini mbele ya mahakama ya watu wasiomjua Mungu badala ya kumshtaki mbele ya watu wa Mungu?
2Ar nežinote, kad šventieji teis pasaulį? O jeigu teisite pasaulį, tai nejaugi esate neverti išspręsti menkų bylų?
2Je, hamjui kwamba watu wa Mungu watauhukumu ulimwengu? Ikiwa basi, ulimwengu utahukumiwa nanyi, kwa nini hamstahili kuhukumu hata katika mambo madogo?
3Ar nežinote, kad mes teisime angelus, tad juo labiaukasdieninius dalykus?
3Je, hamjui kwamba, licha ya kuhukumu mambo ya kawaida ya kila siku, tutawahukumu hata malaika?
4Taigi, kai turite bylų kasdieniais reikalais, negi savo teisėjais paskirsite neturinčius balso bažnyčioje?
4Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?
5Tai sakau, norėdamas jus sugėdinti. Nejaugi pas jus nėra nė vieno išmintingo, kuris sugebėtų išspręsti tarp brolių iškilusią bylą?
5Aibu kwenu! Ndiyo kusema hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?
6Bet brolis bylinėjasi su broliu ir tai daro pas netikinčius.
6Badala yake, kweli imekuwa mtindo ndugu kumpeleka ndugu yake mahakamani, tena mbele ya mahakimu wasioamini.
7Ir iš viso jums didelis pažeminimas, kad tarpusavyje bylinėjatės. Ar ne geriau pakęsti skriaudą? Ar ne geriau pakęsti apgaulę?
7Kwa kweli huko kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha kwamba mmeshindwa kabisa! Je, haingekuwa jambo bora zaidi kwenu kudhulumiwa! Haingekuwa bora zaidi kwenu kunyang'anywa mali yenu?
8Deja, jūs patys skriaudžiate ir apgaudinėjate, ir dar brolius!
8Lakini, badala yake, ninyi ndio mnaodhulumu na kunyang'anya; tena, hayo mnawafanyia ndugu zenu!
9Ar nežinote, kad neteisieji nepaveldės Dievo karalystės? Neapsigaukite! Nei ištvirkėliai, nei stabmeldžiai, nei svetimautojai, nei homoseksualistai,
9Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi Utawala wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti,
10nei vagys, nei gobšai, nei girtuokliai, nei keikūnai, nei plėšikai nepaveldės Dievo karalystės.
10wevi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyang'anyi, hao wote hawatashiriki Utawala wa Mungu.
11Kai kurie iš jūsų buvote tokie, bet dabar esate nuplauti, pašventinti, išteisinti Viešpaties Jėzaus Kristaus vardu ir mūsų Dievo Dvasia.
11Baadhi yenu mlikuwa hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na kupatanishwa na Mungu kwa jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.
12Viskas man leistina, bet ne viskas naudinga. Viskas man leistina, bet aš nesiduosiu niekieno pavergiamas!
12Mtu anaweza kusema: "Kwangu mimi kila kitu ni halali." Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali kwamba kila kitu ni halali kwangu lakini sitaki kutawaliwa na kitu chochote.
13Valgis yra pilvui ir pilvasvalgiui, bet Dievas sunaikins ir vieną, ir kitą. Tačiau kūnas skirtas ne ištvirkavimui, bet Viešpačiui, o Viešpatskūnui.
13Unaweza kusema: "Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula." Sawa; lakini Mungu ataviharibu vyote viwili. Mwili wa mtu si kwa ajili ya uzinzi bali ni kwa ajili ya kumtumikia Bwana, naye Bwana ni kwa ajili ya mwili.
14Kaip Dievas prikėlė Viešpatįprikels ir mus savo jėga.
14Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.
15Argi nežinote, kad jūsų kūnai yra Kristaus nariai? Tad nejaugi aš, ėmęs Kristaus narius, paversiu juos paleistuvės nariais? Jokiu būdu!
15Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo vya mwili wa Kristo? Je, mnadhani naweza kuchukua sehemu ya mwili wa Kristo na kuifanya kuwa sehemu ya mwili wa kahaba? Hata kidogo!
16Ar nežinote, kad tas, kuris susijungia su paleistuve, tampa vienas kūnas su ja? Nes “du taps,sako Raštas,vienu kūnu”.
16Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja."
17Taip pat, kas susijungia su Viešpačiu, tampa viena dvasia su Juo.
17Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.
18Saugokitės ištvirkimo! Bet kokia kita žmogaus daroma nuodėmė nepaliečia kūno, o ištvirkėlis nusideda savo kūnui.
18Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili lakini mzinzi hutenda dhambi dhidi ya mwili wake mwenyewe.
19Ar nežinote, kad jūsų kūnas yra šventykla jumyse gyvenančios Šventosios Dvasios, kurią gavote iš Dievo, ir kad jūs nebepriklausote patys sau?
19Je, hamjui kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, ambaye mlimpokea kutoka kwa Mungu? Ninyi basi, si mali yenu wenyewe.
20Jūs esate nupirkti už didelę kainą. Tad šlovinkite Dievą savo kūnu ir savo dvasia, kurie yra Dievo.
20Mlinunuliwa kwa bei kubwa. Kwa hiyo, itumieni miili yenu kwa ajili ya kumtukuza Mungu.