Lithuanian

Swahili: New Testament

1 John

4

1Mylimieji, ne kiekviena dvasia tikėkite, bet ištirkite dvasias, ar jos iš Dievo, nes pasklido pasaulyje daug netikrų pranašų.
1Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni.
2Iš to pažinsite Dievo Dvasią: kiekviena dvasia, kuri išpažįsta Jėzų Kristų kūne atėjusį, yra iš Dievo,
2Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.
3ir kiekviena dvasia, kuri neišpažįsta Jėzaus Kristaus kūne atėjusio, nėra iš Dievo. Tokia­iš antikristo, apie kurį girdėjote, kad jis ateisiąs. Jis jau dabar yra pasaulyje.
3Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
4Jūs esate iš Dievo, vaikeliai, ir nugalėjote juos, nes Tas, kuris jumyse, didesnis už tą, kuris pasaulyje.
4Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
5Jie yra iš pasaulio, todėl kalba kaip iš pasaulio, ir pasaulis jų klauso.
5Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.
6Mes esame iš Dievo. Kas pažįsta Dievą, tas mūsų klauso, o kas ne iš Dievo­mūsų neklauso. Iš to pažįstame tiesos Dvasią ir klaidos dvasią.
6Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
7Mylimieji, mylėkime vieni kitus, nes meilė yra iš Dievo. Kiekvienas, kuris myli, yra gimęs iš Dievo ir pažįsta Dievą.
7Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu.
8Kas nemyli, tas nepažįsta Dievo, nes Dievas yra meilė.
8Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
9O Dievo meilė pasireiškė mums tuo, jog Dievas atsiuntė į pasaulį savo viengimį Sūnų, kad gyventume per Jį.
9Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.
10Meilė­ne tai, jog mes pamilome Dievą, bet kad Jis mus pamilo ir atsiuntė savo Sūnų kaip permaldavimą už mūsų nuodėmes.
10Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
11Mylimieji, jei Dievas mus taip pamilo, tai ir mes turime mylėti vieni kitus.
11Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.
12Dievo niekas niekada nėra matęs. Jei mylime vieni kitus, Dievas mumyse pasilieka, ir Jo meilė mumyse tobula tampa.
12Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.
13Iš to pažįstame, kad pasiliekame Jame ir Jis mumyse: Jis davė mums savo Dvasios.
13Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.
14Taigi mes matėme ir liudijame, kad Tėvas atsiuntė Sūnų, pasaulio Gelbėtoją.
14Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.
15Kiekvienas, kas išpažįsta, kad Jėzus yra Dievo Sūnus, Dievas tame ir tas Dieve pasilieka.
15Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu.
16Mes pažinome ir įtikėjome meilę, kuria Dievas mus myli. Dievas yra meilė, ir kas pasilieka meilėje, tas pasilieka Dieve, ir Dievas jame.
16Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.
17Tuo meilė pasiekia mumyse tobulumą, kad galime turėti drąsų pasitikėjimą teismo dieną, nes koks Jis yra, tokie ir mes esame šiame pasaulyje.
17Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo.
18Meilėje nėra baimės, nes tobula meilė išveja baimę. Baimėje yra kančia, ir kas bijo, tas nėra tobulas meilėje.
18Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu.
19Mes mylime Jį, nes Jis mus pirmas pamilo.
19Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
20Jei kas sako: “Aš myliu Dievą”, o savo brolio nekenčia,­tas melagis. Kas nemyli savo brolio, kurį mato, kaip gali mylėti Dievą, kurio nemato?
20Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.
21Mes turime tokį Jo įsakymą: kas myli Dievą, turi mylėti ir savo brolį.
21Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.