1Kiekvienas, kas tiki, jog Jėzus yra Pateptasis, yra gimęs iš Dievo, ir kiekvienas, kuris myli Gimdytoją, myli ir iš Jo gimusį.
1Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ni Kristo, huyo ni mtoto wa Mungu; na, anayempenda mzazi humpenda pia mtoto wa huyo mzazi.
2Iš to pažįstame mylį Dievo vaikus, kad mylime Dievą ir laikomės Jo įsakymų.
2Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake;
3Nes tai yra Dievo meilėJo įsakymus vykdyti. O Jo įsakymai nėra sunkūs.
3maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,
4Juk, kas tik gimė iš Dievo, nugali pasaulį; ir štai pergalė, nugalinti pasaulįmūsų tikėjimas!
4maana kila aliye mtoto wa Mungu anaweza kuushinda ulimwengu. Hivi ndivyo tunavyoushinda ulimwengu: kwa imani yetu.
5O kas gi nugali pasaulį, jei ne tas, kuris tiki, kad Jėzus yra Dievo Sūnus?
5Nani, basi, awezaye kuushinda ulimwengu? Ni yule anayeamini kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
6Jis yra Tas, kuris atėjo per vandenį ir kraują,Jėzus Kristus; ne vien per vandenį, bet per vandenį ir kraują. Ir Dvasia tai liudija, nes Dvasia yra tiesa.
6Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji ya ubatizo wake na kwa damu ya kifo chake. Hakuja kwa maji tu, bali kwa maji na kwa damu. Naye Roho anashuhudia kwamba ni kweli, kwani Roho ni ukweli.
7Mat yra trys liudytojai danguje: Tėvas, Žodis ir Šventoji Dvasia; ir šitie trys yra viena.
7Basi, wako mashahidi watatu:
8Ir yra trys liudytojai žemėje: Dvasia, vanduo ir kraujas; ir šie trys sutaria kaip vienas.
8Roho, maji na damu; na ushahidi wa hawa watatu waafikiana.
9Jeigu priimame žmonių liudijimą, tai Dievo liudijimas didesnis. O Dievo liudijimas toks: Jis paliudijo apie savo Sūnų.
9Ikiwa twaukubali ushahidi wa binadamu, ushahidi wa Mungu una uzito zaidi; na huu ndio ushahidi alioutoa Mungu mwenyewe juu ya Mwanae.
10Kas tiki Dievo Sūnų, tas turi liudijimą savyje. Kas netiki Dievu, tas Jį melagiu laiko, nes nepatikėjo liudijimu, kuriuo Dievas paliudijo apie savo Sūnų.
10Anayemwamini mwana wa Mungu anao ushahidi huo ndani yake; lakini asiyemwamini Mungu, anamfanya yeye kuwa mwongo, maana hakuamini ushahidi alioutoa Mungu juu ya Mwanae.
11O liudijimas toks: Dievas mums suteikė amžinąjį gyvenimą, ir tas gyvenimas yra Jo Sūnuje.
11Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uzima wa milele, na uzima huo uko kwa Bwana.
12Kas turi Sūnų, turi gyvenimą. Kas neturi Dievo Sūnaus, tas neturi gyvenimo.
12Yeyote, aliye na Mwana wa Mungu anao uzima huo; asiye na Mwana wa Mungu, hana uzima.
13Tai parašiau jums, tikintiems Dievo Sūnaus vardą, kad žinotumėte turį amžinąjį gyvenimą ir kad tikėtumėte Dievo Sūnaus vardą.
13Nawaandikieni mpate kujua kwamba mnao uzima wa milele ninyi mnaoamini kwa jina la Mwana wa Mungu.
14Ir štai kokį pasitikėjimą mes turime Juo: jei ko tik prašome pagal Jo valią, Jis girdi mus.
14Na sisi tuko thabiti mbele ya Mungu kwani tuna hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya mapenzi yake, yeye hutusikiliza.
15O jeigu žinome, kad Jis girdi mus, ko tik prašome, tai ir žinome, kad turime tai, ko Jo prašėme.
15Yeye hutusikiliza kila tunapomwomba; na kwa vile tunajua kwamba yeye hutusikiliza kila tunapomwomba, twajua pia kwamba atupatia yote tunayomwomba.
16Jei kas mato nusidedant savo brolį, tačiau ne iki mirčiai, teprašo, ir Dievas duos jam gyvybę, būtent tiems, kurie nusideda ne iki mirčiai. Yra nuodėmė iki mirčiai, ir aš kalbu ne apie ją, kad būtų prašoma.
16Mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi isiyompeleka kwenye kifo anapaswa kumwombea kwa Mungu, naye Mungu atampatia uzima. Nasema jambo hili kuhusu wale waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi yenye kumpeleka mtu kwenye kifo nami sisemi kwamba mnapaswa kumwomba Mungu kwa ajili ya hiyo.
17Kiekviena neteisybė yra nuodėmė, tačiau esama nuodėmės ne iki mirčiai.
17Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.
18Mes žinome, jog kiekvienas, gimęs iš Dievo, nenusideda. Kas gimęs iš Dievo, saugo save, ir piktasis jo nepaliečia.
18Tunajua kwamba kila aliye mtoto wa Mungu hatendi dhambi, kwa sababu Mwana wa Mungu humlinda salama, na yule Mwovu hawezi kumdhuru.
19Mes žinome, jog esame iš Dievo, o visas pasaulis yra piktojo.
19Tunajua kwamba sisi ni wake Mungu ingawa ulimwengu wote unatawaliwa na yule Mwovu.
20Ir mes žinome, kad Dievo Sūnus atėjo ir suteikė mums supratimo, kad pažintume Tikrąjį. Ir mes esame TikrajameJo Sūnuje Jėzuje Kristuje. Šis yra tikrasis Dievas ir amžinasis gyvenimas.
20Twajua pia kwamba Mwana wa Mungu amekuja, akatupa elimu ili tumjue Mungu wa kweli; tuishi katika muungano na Mungu wa kweli--katika muungano na Mwanae, Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na huu ndio uzima wa milele.
21Vaikeliai, saugokitės stabų! Amen.
21Watoto wangu, epukaneni na sanamu za miungu.